Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamusoko aibeba Yanga

Bao la dakika za majeruhi la Mzimbabwe Thaban Kamusoko lilitosha kuipa Yanga ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya African Sports kwenye mchezo uliofanyika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga jana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

I’m ready for the challenge, says Yanga’s Kamusoko

The Zimbabwean says Yanga is the club where he can meet his footballing ambitions

 

10 years ago

Vijimambo

KIIZA AIBEBA YANGA KWA GOLI LA 'FAIRPLAY' DHIDI YA EXPRESS YA UGANDA-Father Kidevu

Mabingwa mara 24 wa soka la Tanzania, Yanga ya Dar es Salaam imewazamisha Express ya Uganda kwa goli 1-0 lilifungwa katika dakika ya 90 kufuatia mpira wa kurushwa uliotolewa nje baada ya mchezaji wa Xpress ya Uganda kuumia.
Mchezaji wa kulipwa wa Uganda, Hamisi Kiiza anaekipia na Yanga ndiye aliyepachika goli hilo ambalo hata hivyo lilionesha kulalamikiwa na benchi la ufundi la Express ambao walikuwa wakihoji tunawafundisha nini wachezaji juu ya Fair Play?Wachezaji wakiwania mpira wakati wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Kamusoko mtamu, we acha tu!

Kiungo wa Yanga, Thabani Kamusoko ‘rasta’ ameonyesha utaalamu uwanjani baada ya kupiga pasi 46 na kutengeneza bao la pili lililofungwa na Amissi Tambwe katika mechi dhidi Tanzania Prisons ambayo Yanga ilishinda 3-0 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam juzi.

 

9 years ago

Habarileo

Kamusoko safi - Hans van Pluijm

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm amemwagia sifa kiungo mpya wa timu hiyo, Mzimbabwe Thabani Kamusoko kwa kuonesha kiwango kizuri katika mechi ya ufunguzi ya michuano ya Kombe la Mapinduzi.

 

9 years ago

Habarileo

Kamusoko, Msuva wakosa penalti tena

WACHEZAJI Thaban Kamusoko, Vicent Bossou na Simon Msuva wamekosa penalti wakati wa mazoezi yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Karume Dar es Salaam.

 

9 years ago

Global Publishers

Rekodi ya Kamusoko iliyomtoa Haruna Niyonzima

02-Yanga+kiungoKiungo wa Yanga, Mzimbabwe, Thabani Kamusoko.

Mohammed Mdose,

Dar es Salaam

MABAO ya kiungo wa Yanga, Mzimbabwe, Thabani Kamusoko, yamekuwa na maajabu ya aina yake na kutengeneza kastori f’lani ka kuvutia katika mechi za ligi kuu tangu kuanza kwa msimu huu, Septemba 12, mwaka huu.

NIYONZIMANEW4Haruna Niyonzima.

Kamusoko ambaye alisajiliwa na Yanga mwanzoni mwa msimu huu akitokea timu ya FC Platinum ya Ligi Kuu ya Zimbabwe, katika mabao 30 ya Yanga mpaka sasa, yeye amefunga manne.

Katika mabao hayo yote...

 

10 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard aibeba Liverpool FA

Nahodha wa Liverpool, Steven Gerrard ameibuka shujaa baada ya kufunga mabao 2-1 dhidi ya Wimbledon katika mchezo FA

 

9 years ago

Mtanzania

Xavi Hernandez aibeba Al Sadd

xavi_hernandez_1DOHA, QATAR

NYOTA wa zamani wa klabu ya Barcelona ambaye kwa sasa anakipiga klabu ya Al Sadd, Xavi Hernandez, ameanza vizuri katika klabu hiyo mpya baada ya kutoa pasi za mwisho katika mchezo wa Ligi dhidi ya Al-Mesaimeer.

Katika mchezo huo wa Ligi Kuu nchini Qatar, Xavi alitoa mchango mkubwa wa kuongeza mashambulizi huku akitoa pasi ya mwisho na klabu yake ikishinda mabao 4-0.

Hata hivyo, mchezaji huyo alishangaa kuona mashabiki wachache ambao walijitokeza katika uwanja huo ambao ulichukua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani