Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rekodi ya Kamusoko iliyomtoa Haruna Niyonzima

02-Yanga+kiungoKiungo wa Yanga, Mzimbabwe, Thabani Kamusoko.

Mohammed Mdose,

Dar es Salaam

MABAO ya kiungo wa Yanga, Mzimbabwe, Thabani Kamusoko, yamekuwa na maajabu ya aina yake na kutengeneza kastori f’lani ka kuvutia katika mechi za ligi kuu tangu kuanza kwa msimu huu, Septemba 12, mwaka huu.

NIYONZIMANEW4Haruna Niyonzima.

Kamusoko ambaye alisajiliwa na Yanga mwanzoni mwa msimu huu akitokea timu ya FC Platinum ya Ligi Kuu ya Zimbabwe, katika mabao 30 ya Yanga mpaka sasa, yeye amefunga manne.

Katika mabao hayo yote...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Haruna Niyonzima akubali kuuzwa

Kiungo Haruna Niyonzima ameweka wazi kuwa hawezi kupingana na mpango wa uongozi wa klabu ya Yanga iliyopanga kumuuza.

 

10 years ago

TheCitizen

Yanga ready to sell Haruna Niyonzima

The reigning Mainland champions, Young Africans, are considering cashing in on their Rwandan midfield maestro, Haruna Niyonzima.

 

9 years ago

MillardAyo

Majibu ya msemaji wa Simba Haji Manara kuhusu Simba kuhusishwa kumsajili Haruna Niyonzima (+Audio)

Siku moja baada ya klabu ya Dar Es Salaam Young African kutangaza maamuzi ya kuvunja mkataba na kiungo wake wa kimataifa wa Rwanda aliyekuwa anakipiga katika klabu hiyo Haruna Niyonzima. Mengi yameanza kuandikwa na kuulizwa eti klabu ya Simba inamnyatia staa huyo wa Rwanda? Hili ndio jibu la afisa habari wa Simba Haji Manara. “Haruna […]

The post Majibu ya msemaji wa Simba Haji Manara kuhusu Simba kuhusishwa kumsajili Haruna Niyonzima (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Bongo5

Hii ndio scene iliyomtoa machozi Diamond kwenye video ya Utanipenda!

12224632_1624698111126002_1129176434_n

Diamond Platnumz aliamua kuitumia familia nzima kwenye video ya wimbo wake mpya, Utanipenda!

Mchumba wake Zari, mwanae Tiffah, mama yake Sandra na mameneja wake Babu Tale na Said Fella wameonekana.

Hata hivyo scene ya mama yake inayomuonesha akienda kwa Jakaya Kikwete na kufukuzwa na pia kwa Said Fella na kufukuzwa pia ilimliza Diamond.

“Wakati hii scene inashutiwa sikuweza kabisa kukaa karibu, ijapokuwa ilikuwa ni uigizaji ila nikajikuta najiskia vibaya alivyokuwa anafukuzwa na...

 

9 years ago

Mwananchi

Kamusoko aibeba Yanga

Bao la dakika za majeruhi la Mzimbabwe Thaban Kamusoko lilitosha kuipa Yanga ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya African Sports kwenye mchezo uliofanyika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga jana.

 

9 years ago

Mwananchi

Kamusoko mtamu, we acha tu!

Kiungo wa Yanga, Thabani Kamusoko ‘rasta’ ameonyesha utaalamu uwanjani baada ya kupiga pasi 46 na kutengeneza bao la pili lililofungwa na Amissi Tambwe katika mechi dhidi Tanzania Prisons ambayo Yanga ilishinda 3-0 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam juzi.

 

10 years ago

TheCitizen

I’m ready for the challenge, says Yanga’s Kamusoko

The Zimbabwean says Yanga is the club where he can meet his footballing ambitions

 

9 years ago

Dewji Blog

Ronaldo ajivunjia rekodi, aweka rekodi mpya

IGxwi

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mchezaji bora wa dunia mwaka 2014 na mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo (pichani)ameweka rekodi mpya katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA baada ya hapo jana kufunga goli 4 katika mchezo kati ya Real na Malmo.

Magoli ya Ronaldo yalifungwa katika dakika ya 39, 47, 50 na 58 na kufanikiwa kufikisha magoli 11 katika michezo ya makundi rekodi ambayo ilikuwa haijawahi kufikiwa na mchezaji yoyote.

Kabla ya kuweka rekodi hiyo mpya, Ronaldo alikuwa na...

 

9 years ago

Habarileo

Kamusoko safi - Hans van Pluijm

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm amemwagia sifa kiungo mpya wa timu hiyo, Mzimbabwe Thabani Kamusoko kwa kuonesha kiwango kizuri katika mechi ya ufunguzi ya michuano ya Kombe la Mapinduzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani