Rekodi ya Kamusoko iliyomtoa Haruna Niyonzima
Kiungo wa Yanga, Mzimbabwe, Thabani Kamusoko.
Mohammed Mdose,
Dar es Salaam
MABAO ya kiungo wa Yanga, Mzimbabwe, Thabani Kamusoko, yamekuwa na maajabu ya aina yake na kutengeneza kastori f’lani ka kuvutia katika mechi za ligi kuu tangu kuanza kwa msimu huu, Septemba 12, mwaka huu.
Haruna Niyonzima.
Kamusoko ambaye alisajiliwa na Yanga mwanzoni mwa msimu huu akitokea timu ya FC Platinum ya Ligi Kuu ya Zimbabwe, katika mabao 30 ya Yanga mpaka sasa, yeye amefunga manne.
Katika mabao hayo yote...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi26 Dec
Haruna Niyonzima akubali kuuzwa
10 years ago
TheCitizen21 May
Yanga ready to sell Haruna Niyonzima
9 years ago
MillardAyo30 Dec
Majibu ya msemaji wa Simba Haji Manara kuhusu Simba kuhusishwa kumsajili Haruna Niyonzima (+Audio)
Siku moja baada ya klabu ya Dar Es Salaam Young African kutangaza maamuzi ya kuvunja mkataba na kiungo wake wa kimataifa wa Rwanda aliyekuwa anakipiga katika klabu hiyo Haruna Niyonzima. Mengi yameanza kuandikwa na kuulizwa eti klabu ya Simba inamnyatia staa huyo wa Rwanda? Hili ndio jibu la afisa habari wa Simba Haji Manara. “Haruna […]
The post Majibu ya msemaji wa Simba Haji Manara kuhusu Simba kuhusishwa kumsajili Haruna Niyonzima (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo514 Dec
Hii ndio scene iliyomtoa machozi Diamond kwenye video ya Utanipenda!
![12224632_1624698111126002_1129176434_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12224632_1624698111126002_1129176434_n-300x194.jpg)
Diamond Platnumz aliamua kuitumia familia nzima kwenye video ya wimbo wake mpya, Utanipenda!
Mchumba wake Zari, mwanae Tiffah, mama yake Sandra na mameneja wake Babu Tale na Said Fella wameonekana.
Hata hivyo scene ya mama yake inayomuonesha akienda kwa Jakaya Kikwete na kufukuzwa na pia kwa Said Fella na kufukuzwa pia ilimliza Diamond.
“Wakati hii scene inashutiwa sikuweza kabisa kukaa karibu, ijapokuwa ilikuwa ni uigizaji ila nikajikuta najiskia vibaya alivyokuwa anafukuzwa na...
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Kamusoko aibeba Yanga
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Kamusoko mtamu, we acha tu!
10 years ago
TheCitizen08 Aug
I’m ready for the challenge, says Yanga’s Kamusoko
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Ronaldo ajivunjia rekodi, aweka rekodi mpya
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mchezaji bora wa dunia mwaka 2014 na mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo (pichani)ameweka rekodi mpya katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA baada ya hapo jana kufunga goli 4 katika mchezo kati ya Real na Malmo.
Magoli ya Ronaldo yalifungwa katika dakika ya 39, 47, 50 na 58 na kufanikiwa kufikisha magoli 11 katika michezo ya makundi rekodi ambayo ilikuwa haijawahi kufikiwa na mchezaji yoyote.
Kabla ya kuweka rekodi hiyo mpya, Ronaldo alikuwa na...
9 years ago
Habarileo05 Jan
Kamusoko safi - Hans van Pluijm
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm amemwagia sifa kiungo mpya wa timu hiyo, Mzimbabwe Thabani Kamusoko kwa kuonesha kiwango kizuri katika mechi ya ufunguzi ya michuano ya Kombe la Mapinduzi.