Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga ready to sell Haruna Niyonzima

The reigning Mainland champions, Young Africans, are considering cashing in on their Rwandan midfield maestro, Haruna Niyonzima.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Haruna Niyonzima akubali kuuzwa

Kiungo Haruna Niyonzima ameweka wazi kuwa hawezi kupingana na mpango wa uongozi wa klabu ya Yanga iliyopanga kumuuza.

 

9 years ago

Global Publishers

Rekodi ya Kamusoko iliyomtoa Haruna Niyonzima

02-Yanga+kiungoKiungo wa Yanga, Mzimbabwe, Thabani Kamusoko.

Mohammed Mdose,

Dar es Salaam

MABAO ya kiungo wa Yanga, Mzimbabwe, Thabani Kamusoko, yamekuwa na maajabu ya aina yake na kutengeneza kastori f’lani ka kuvutia katika mechi za ligi kuu tangu kuanza kwa msimu huu, Septemba 12, mwaka huu.

NIYONZIMANEW4Haruna Niyonzima.

Kamusoko ambaye alisajiliwa na Yanga mwanzoni mwa msimu huu akitokea timu ya FC Platinum ya Ligi Kuu ya Zimbabwe, katika mabao 30 ya Yanga mpaka sasa, yeye amefunga manne.

Katika mabao hayo yote...

 

9 years ago

MillardAyo

Majibu ya msemaji wa Simba Haji Manara kuhusu Simba kuhusishwa kumsajili Haruna Niyonzima (+Audio)

Siku moja baada ya klabu ya Dar Es Salaam Young African kutangaza maamuzi ya kuvunja mkataba na kiungo wake wa kimataifa wa Rwanda aliyekuwa anakipiga katika klabu hiyo Haruna Niyonzima. Mengi yameanza kuandikwa na kuulizwa eti klabu ya Simba inamnyatia staa huyo wa Rwanda? Hili ndio jibu la afisa habari wa Simba Haji Manara. “Haruna […]

The post Majibu ya msemaji wa Simba Haji Manara kuhusu Simba kuhusishwa kumsajili Haruna Niyonzima (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

GPL

Usajili wa Haruna Chanongo Yanga SC kizungumkuti

Mshambuliaji wa zamani wa Simba, Haruna Chanongo. Hans Mloli na
Sweetbert Lukonge
ISHU ya usajili wa mshambuliaji wa zamani wa Simba, Haruna Chanongo kutua Yanga, imechukua sura mpya baada ya juzi staa huyo kukaa mezani na uongozi wa Yanga lakini hakuna kilichokamilika mpaka jana jioni. Chanongo ambaye amemaliza msimu ulioisha hivi karibuni akiwa na Stand United akiitumikia kwa mkopo kutoka Simba, amekuwa akihusishwa kuwaniwa...

 

10 years ago

TheCitizen

Yanga stronger than ever, says Niyonzima

Young Africans midfield kingpin Haruna Niyonzima believes his team now has the firepower to mount a sustained assault on the Vodacom Premier League title.

 

9 years ago

Habarileo

Niyonzima aichefua Yanga

KOCHA wa Yanga, Hans Pluijm amesema amekasirishwa na kitendo cha mchezaji wake Haruna Niyonzima kuchelewa kuungana na wenzake kwa ajili ya michezo ya ligi huku akishindwa kabisa kutoa sababu zilizomfanya kuchelewa huko.

 

9 years ago

Habarileo

Niyonzima kwaheri Yanga

KLABU ya Yanga imetangaza kuvunja mkataba na mchezaji wake Haruna Niyonzima baada ya kudaiwa kuvunja sheria na taratibu za muajiri wake. Kwa mujibu wa taarifa ya Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga Jerry Muro kwa vyombo vya habari jana, Niyonzima pia atatakiwa kuilipa klabu hiyo dola za Marekani 71,175 kufidia gharama ambazo imezitumia katika kumuongezea mkataba wake mpaka mwaka 2017.

 

9 years ago

TheCitizen

Niyonzima happy with Yanga form

Young Africans midfield kingpin Haruna Niyonzima is impressed with the Jangwani Street heavyweights’ run of form that has seen them sit on top of the Vodacom Premier League table after five games into the new season.

 

9 years ago

Mtanzania

Niyonzima: Sitailipa Yanga chochote

harunaaNA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM

* Adaiwa sh. milioni 152 kwa kukiuka masharti ya mkataba wake

MCHEZAJI Haruna Niyonzima ambaye mkataba wake umevunjwa na klabu yake ya Yanga kwa kile kilichodaiwa kuchoshwa na tabia zake, amedai kuwa hatalipa kiasi cha Dola 71,175 (sawa na Sh milioni 152) kwani suala hilo halipo kwenye mkataba.

Uongozi wa Yanga jana ulitangaza kuvunja mkataba wa mchezaji huyo mahiri wa nafasi ya kiungo, lakini mbali na uamuzi huo klabu hiyo pia ilimtaka mchezaji huyo kuilipa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani