Usajili wa Haruna Chanongo Yanga SC kizungumkuti
![](http://api.ning.com:80/files/Oi8IGTb-jSLadZhZCCCsa*MXs6brme5X50dc4I47mOm9aH8CBsMDwMNjfbRvYVbw9IFJAnBQE-71Dm3lQF2d2lwvqTxCeZxD/OIOO.jpg?width=650)
Mshambuliaji wa zamani wa Simba, Haruna Chanongo. Hans Mloli na Sweetbert Lukonge ISHU ya usajili wa mshambuliaji wa zamani wa Simba, Haruna Chanongo kutua Yanga, imechukua sura mpya baada ya juzi staa huyo kukaa mezani na uongozi wa Yanga lakini hakuna kilichokamilika mpaka jana jioni. Chanongo ambaye amemaliza msimu ulioisha hivi karibuni akiwa na Stand United akiitumikia kwa mkopo kutoka Simba, amekuwa akihusishwa kuwaniwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen21 May
Yanga ready to sell Haruna Niyonzima
10 years ago
Mtanzania27 May
Yanga yateka usajili
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
TIMU ya Yanga imeendelea kuteka soko la usajili nchini, baada ya jana mchana kuwanasa wachezaji wawili kwa mpigo, beki wa kushoto Mwinyi Haji Mngwali na kipa wa Kagera Sugar, Benedicto Tinocco.
Usajili wa wachezaji hao unaifanya timu hiyo kufikisha idadi ya wachezaji watatu iliyowasajili mpaka sasa baada ya Jumapili iliyopita kumsainisha winga Deus Kaseke aliyetoka Mbeya City.
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga, Jerry Muro, alilithibitishia...
11 years ago
BBCSwahili22 Jan
Usajili wa Okwi wazuiwa Yanga
10 years ago
Mwananchi06 Aug
USAJILI : Mzimbabwe atua Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5Qc51HeT8zJFn3ZlIoNJvdxNK4gM*TNzyGcAcxGYoLaSpqGFXBZGsem0sJ4TstqT5ug*UMxLgyKTS6sBWntlf4Uq/OKWI5.jpg)
USAJILI WA OKWI YANGA WAZUIWA
9 years ago
Mwananchi23 Nov
Usajili Yanga bado kiza
10 years ago
Mtanzania26 May
Usajili Yanga wazidi kutikisa
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
USAJILI mpya wa mabingwa wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga umezidi kutikisa kutokana na jindi klabu hiyo inavyosajili kiufundi.
Baada ya kuinasa saini ya kiungo mshambuliaji wa Mbeya City, Deus Kaseke ambaye anarithi mikoba ya Mrisho Ngassa aliyetimkia Afrika Kusini, klabu hiyo imeendelea na mipango mizito ya usajili wa wachezaji wengine wazawa na wale wa kimataifa ambao wanatarajiwa kutua nchini wiki hii kufanya majaribio.
Uongozi wa timu hiyo jana usiku...
10 years ago
Mwananchi25 May
USAJILI: Yanga, Simba yametimia
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Usajili wa Okwi: Yanga 4, Simba 3