Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Xavi Hernandez aibeba Al Sadd

xavi_hernandez_1DOHA, QATAR

NYOTA wa zamani wa klabu ya Barcelona ambaye kwa sasa anakipiga klabu ya Al Sadd, Xavi Hernandez, ameanza vizuri katika klabu hiyo mpya baada ya kutoa pasi za mwisho katika mchezo wa Ligi dhidi ya Al-Mesaimeer.

Katika mchezo huo wa Ligi Kuu nchini Qatar, Xavi alitoa mchango mkubwa wa kuongeza mashambulizi huku akitoa pasi ya mwisho na klabu yake ikishinda mabao 4-0.

Hata hivyo, mchezaji huyo alishangaa kuona mashabiki wachache ambao walijitokeza katika uwanja huo ambao ulichukua...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Xavi Hernandez astaafu soka

Kiungo wa Barcelona na Spain Xavi Hernandez ametangaza kustaafu soka la kimataifa.

 

9 years ago

TheCitizen

Barcelona have not missed Messi, says Xavi Hernandez

Barcelona legend Xavi Hernandez says his old team has not missed the world’s best player Lionel Messi, ahead of this weekend’s first clash of the season with Real Madrid.

 

9 years ago

Mwananchi

Kamusoko aibeba Yanga

Bao la dakika za majeruhi la Mzimbabwe Thaban Kamusoko lilitosha kuipa Yanga ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya African Sports kwenye mchezo uliofanyika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga jana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard aibeba Liverpool FA

Nahodha wa Liverpool, Steven Gerrard ameibuka shujaa baada ya kufunga mabao 2-1 dhidi ya Wimbledon katika mchezo FA

 

10 years ago

Mwananchi

MECHI:Samata aibeba Taifa Stars

Mshambuliaji kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samata ameibuka shujaa baada ya kuifungia bao Taifa Stars ikilazimishwa sare 1-1 na Malawi katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza jana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Xavi kuihama Barcelona

Wachezaji wa klabu ya Barcelona watavalia jezi maalum katika mechi yao ya mwisho msimu huu ili kutoa heshima kwa kiungo wao wa kati Xavi ambaye anaondoka

 

11 years ago

Tanzania Daima

Licha ya kujiuzulu, Raza aibeba Mapinduzi Cup

ULE msemo wa wahenga usemao, ‘Baniani mbaya kiatu chake dawa,’ umeendelea kujidhihirisha visiwani hapa baada ya Kamati ya Kombe la Mapinduzi 2014 kumwangukia mdau maarufu wa michezo, Mohamed Raza, kuwakopesha...

 

10 years ago

Vijimambo

Samatta aibeba Stars ikitoka sare na Malawi 1-1

Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo imegawana pointi na timu ya Malawi baada ya sare ya bao 1-1 kwenye mchezo ambao umepigwa kunako Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.
Bao la Stars limefungwa na Mbwana Samatta akisawazisha bao baada ya kupokea pasi safi ya Ngassa kunako dakika ya 76.Malawi walipata bao katika dakika ya 4 kupitia kwa Esau Kanyenda kufatia mpira wa Kona baada ya Kipa Mwadini Ally akapangu mpra na kuangukia miguuni mwa mchezaji wa Malawi ambaye hakufanya makosa .
Katika...

 

9 years ago

Africanjam.Com

JAVIER "CHICHARITO" HERNANDEZ NAMED AGAIN BUNDESLIGA PLAYER OF THE MONTH

Bayer Leverkusen striker Javier "Chicharito" Hernandez has been named Bundesliga player of the month for December, the second consecutive month that the Mexican international has received the honour.
Hernandez scored five times for Leverkusen in December, or once every 52 minutes -- the best rate in the league.
Hernandez, 27, completed a hat trick in his side's 5-0 rout of Borussia Monchengladbach and added a goal each against Hertha Berlin and Ingolstadt.The former Manchester United man also...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani