‘Mkosamali acha kauli za kebehi’
SERIKALI imemtaka Mbunge wa Muhambwe, Felix Mkosamali (NCCRMageuzi) kuacha kauli za kebehi na kutembelea vyuo vya umma, kuona namna ambavyo serikali imeendelea kuboresha mazingira ya vyuo hivyo pamoja na kuwepo na mtiririko mdogo wa fedha katika bajeti kusudiwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Feb
Sh10 milioni kununulia mboga ni kebehi
10 years ago
Habarileo12 Mar
Mbowe ashangaa kebehi zinazotolewa kwa Polisi
MWENYEKITI wa taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ameshangaa kusikia maneno kutoka kwa baadhi ya viongozi ndani ya chama chake yenye mwelekeo wa kukebehi na kudharau jeshi la polisi na kuwataka wasihukumiwe vibaya, kwani wamepewa dhamana ya kulinda watu na mali zao.
11 years ago
TheCitizen13 Mar
Nothing personal, says Mkosamali
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Mkosamali atibua Bunge
MBUNGE wa Mhambwe, Felix Mkosamali (NCCR-Mageuzi), amezua mjadala mkali bungeni kwa kuishambulia Serikali ya CCM akidai kuwa mawaziri wake wamekuwa wakitoa majibu mepesi yasiyo na mashiko. Mkosamali alitoa kauli hiyo...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Mkosamali amlipua Mangula
MBUNGE wa Muhambwe mkoani hapa, Felix Mkosamali (NCCR Mageuzi), amemlipua Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Philip Mangula akidai kuwa ameondoka katika hoteli aliyofikia bila kulipa pango. Akihutubia mamia...
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Mkosamali atiwa mbaroni Kigoma
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Mkosamali apandishwa kizimbani Kigoma
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYmRH0kiiAr2i*TOXxdK9WLlsZbE4Og2E5lYO07RwcZZ3GZ6KTzLZjozxIbeLiVn-PRncLOvCtTkpu9Z3tCqa5nO/davina1.jpg)
DAVINA AKUNWA NA MHE. MKOSAMALI
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Mkosamali ailipua kamati ya Chenge