Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sh10 milioni kununulia mboga ni kebehi

Vyombo vya habari jana viliandika kuhusu mahojiano baina ya Sekretarieti ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma na viongozi wawili wa umma, Andrew Chenge na Profesa Anna Tibaijuka ambao wametuhumiwa kukiuka maadili katika sakata la uchotwaji fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Nyumba yaungua, Sh10 milioni zateketea

Nyumba iliyopo Mtaa wa Chama cha Biblia, Kitunda Relini, Wilaya ya Ilala, imeteketea kwa moto sambamba na kuunguza fedha taslimu Sh10 milioni zililokuwamo ndani.

 

10 years ago

GPL

TANZANIA YETU NA VIONGOZI WENYE MILIONI 10 ZA MBOGA

Waziri wa zamani wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Anna Tibaijuka. VIONGOZI wamekuwa mstari wa mbele kuitangaza nchi hii kuwa ni maskini, na kwamba huyo ni adui wa kwanza kupambana naye akifuatiwa na ujinga na maradhi. Kwa fikra ungedhani wanachokisema wanakimaanisha, kumbe hali haiko hivyo! Sitakosea nikisema umaskini wanaouzungumzia pengine ni wa wananchi siyo wa Tanzania kwa sababu nchi hii haijapata kuwa maskini wakati...

 

5 years ago

Michuzi

Benki ya I & M yachangia Matenki maalumu kwa Wizara ya afya yenye thamani ya Sh10 milioni

Afisa Mtendaji Mkuu wa benki ya I&M, Bw. Baseer Mohammed (wa pili kulia) akizungumza mbele ya Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Abel Makubi wakati akikabidhi msaada wa matanki maalum ya kuoshea mikono (handwashing tanks) pampja na sabuni zake kwa Wizara ya Afya vyenye thamani ya Sh10 milioni. Wakisikiliza kulia ni Mkuu wa Idara ya Wateja wa rejareja wa Benki ya I&M, Bi Lilian Mtali na kushoto Bi Angelina Ngalula Mwenyekiti TPSF.Mkuu wa Idara ya wateja wa rejareja wa benki ya I&M, Lilian Mtali...

 

11 years ago

Michuzi

Mh. Chiza akagua bustani ya mboga mboga katika banda la Magereza,Sabasaba

Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Eng. Christopher Chiza akiangalia kilimo cha mazao yenye thamani kubwa, mboga aina ya bilinganya alipotembelea shamba la mfano katika Banda la Jeshi la Magereza katika Viwanja vya maonyesho ya Kimataifa ya Biashara, Kilwa Road, Jijini Dar es Salaam, Juzi, kulia kwake ni Afisa Mwandamizi wa Jeshi hilo Bwana Uswege Mwakahesya (Picha kwa Hisania ya WKCU).

 

11 years ago

Michuzi

Wakulima Mbeya Waneemeka na Elimu ya uzalishaji wa Mboga Mboga kutoka TAHA

Mh. Dr. Christine Ishengoma Mkuu wa Mkoa wa Iringa akipokea taarifa kuhusu mfumo wa taarifa za masoko kutoka TAHA unavyofanya kazi zake kutoka kwa Cyrila Antony Afisa wa MasokoMkuu wa mkoa wa Iringa  Mh. Dr. Christine Ishengoma akisikiliza maelezo kutoka kwa Mtaalamu wa kilimo wa TAHA Bw Ringo kuhusu uzalishaji wa zao la nyanya Elimu ikiendelea kutolewa.PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

11 years ago

GPL

WAKULIMA MBEYA WANEEMEKA NA ELIMU YA UZALISHAJI WA MBOGA MBOGA KUTOKA TAHA‏

Mh. Dr. Christine Ishengoma Mkuu wa Mkoa wa Iringa akipokea taa rifa kuhusu mfumo wa taarifa za masoko kutoka TAHA…

 

10 years ago

Mwananchi

Lushoto kukipa nguvu kilimo cha mboga mboga

Wilaya ya Lushoto, mkoani Tanga wakulima wa mboga mboga wametakiwa kuzitumia mvua zinazonyesha kwa kulima kuhifadhi maji ili kuwasaidia wakati wa kiangazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani