Benki ya I & M yachangia Matenki maalumu kwa Wizara ya afya yenye thamani ya Sh10 milioni
![](https://1.bp.blogspot.com/-l6MqmyQRz90/XvJR5N0b-jI/AAAAAAALvGQ/Sxlgp5Xqxak3TubP3D8H6DU1tO-xhQf4ACLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot%2B2020-06-23%2Bat%2B22.00.29.png)
Afisa Mtendaji Mkuu wa benki ya I&M, Bw. Baseer Mohammed (wa pili kulia) akizungumza mbele ya Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Abel Makubi wakati akikabidhi msaada wa matanki maalum ya kuoshea mikono (handwashing tanks) pampja na sabuni zake kwa Wizara ya Afya vyenye thamani ya Sh10 milioni. Wakisikiliza kulia ni Mkuu wa Idara ya Wateja wa rejareja wa Benki ya I&M, Bi Lilian Mtali na kushoto Bi Angelina Ngalula Mwenyekiti TPSF.
Mkuu wa Idara ya wateja wa rejareja wa benki ya I&M, Lilian Mtali...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziTICTS YAKABIDHI VIFAA VYA THAMANI YA MILIONI 182/- KWA WIZARA YA AFYA, MGANGA MKUU WA SERIKLI ATOA SHUKRANI KWA SEKTA BINAFSI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6vGV49bZLlU/XnJDCQoueyI/AAAAAAALkRM/goTTODmA4cwkgFSc9dz1_JuXbDwpxgiCQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B3.24.56%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
JIJI LA DODOMA LAKABIDHI MAGARI YENYE THAMANI YA SH MILIONI 345 KWA WATAALAMU WAKE WA MIPANGO MIJI
HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma limekabidhi magari matatu kwa Idara ya Mipango Miji kwa ajili ya kurahisisha shughuli za wataalamu wake katika kudhibiti ujenzi holela kwenye jiji hilo.
Hayo yamefanyika ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu, Mhe Kassim Majaliwa la kusimamia utekelezaji wa mpango kabambe wa Jiji la Dodoma.
Akizungumza wakati wa kukabidhi magari hayo, Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amesema magari hayo yamegharimu kiasi cha Sh...
10 years ago
MichuziWLF YAKABIDHI NYUMBA ZENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 156 KWA AJILI YA WATUMISHI WA AFYA KATIKA KITUO CHA AFYA NGURUKA WILAYANI UVINZA
5 years ago
MichuziAirtel Tanzania yachangia sh. 700 milioni kwa wafanyakazi wa sekta ya afya dhidi ya mapambano ya COVID-19
(kushoto) mfano wa hundi ya shilingi milioni saba (TZS 700,000,000) ukiwa ni mchango wa Airtel Tanzania kuunga mkono serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye mapambano dhidi ya virusi vya covid-19 (corona). Mchango uliotolewa na Airtel utatumika kununua vifaa kinga vitakavyosambazwa nchi nzima ili vitumike na...
10 years ago
MichuziMAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE TANZANIA (TAA), YATOA MSAADA WA MADAWATI YENYE THAMANI YA SH.MILIONI 10 KWA SHULE YA MSINGI YOMBO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aRNM6bufP6o/XtkPHMM2l9I/AAAAAAAEHgE/6CAuHjFjFzwiO8GWkrK1OrSnqdlRNSdKACLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
Benki ya Exim yatangaza likizo ya malipo ya mikopo yenye thamani ya Shilingi bilioni 160 kwa wateja wake ili kuwanusuru na athariza janga la COVID - 19.
![](https://1.bp.blogspot.com/-aRNM6bufP6o/XtkPHMM2l9I/AAAAAAAEHgE/6CAuHjFjFzwiO8GWkrK1OrSnqdlRNSdKACLcBGAsYHQ/s320/download.png)
Benki ya Exim imetangaza msamaha wa likizo ya malipo ya mikopo kwa wateja wake wakubwa, wa kati na wadogo walipo katika sekta zilizo athirika zaidi kiuchumi kutokana na athari za mlipuko wa ugonjwa wa virus vya Corona (COVID 19). Hatua hiyo ni sehemu ya juhudi zinazoendelea kuchukuliwa na benki hiyo katika kuwasaidia kifedha wateja wake...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FZraeCs44pk/VYe6N-vU9XI/AAAAAAAHiZI/5EzBPe5eTg4/s72-c/MKUBWA%2BMWENGE.png)
MWENGE KUZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA SH. MILIONI 1.2 MUFINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-FZraeCs44pk/VYe6N-vU9XI/AAAAAAAHiZI/5EzBPe5eTg4/s320/MKUBWA%2BMWENGE.png)
Taarifa ya Ofisi ya habari na mawasiliano ya halmashauri ya Mufindi kwa vyombo vya habari imefafanua kuwa, vyanzo vya fedha zilizotumika kukamilisha miradi hiyo vimegawanyika katika sehemu kuu nne, ambapo...
10 years ago
Bongo502 Mar
Mtangazaji wa Times FM aporwa iPhone 6 ya dhahabu yenye thamani ya shilingi milioni 3.8
10 years ago
MichuziWANANCHI LUVUYO NA MBUNGE WAJENGA BARABARA YENYE THAMANI YA TSH MILIONI 52