Mkosamali ailipua kamati ya Chenge
Mbunge wa Muhambwe (NCCR –Mageuzi), Felix Mkosamali amesema Kamati ya Bajeti ya Bunge haina kazi ya kufanya badala yake imegeuka pango la ufisadi na kupendekeza ifutwe mara moja kwa kuwa inawachanganya wabunge huku ikitafuna fedha za walipa kodi bila huruma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Kamati za Bunge zawagwaya kina Chenge, Ngeleja
10 years ago
Vijimambo08 Jan
KASHFA YA ESCROW ZAMNG’OA CHENGE RASMI...ATANGAZA KUACHIA NAFASI YA UWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA BAJETI
![PIX 3.](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/PIX-3.-1024x780.jpg)
WAKATI Watanzania wakisubiri hatima ya Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ambaye Rais Jakaya Kikwete alisema anamuweka kiporo kutokana na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Andrew Chenge, ametangaza rasmi kuachia nafasi hiyo.
Bunge lililopita baada ya kujadili ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuhusu miamala iliyofanyika kwenye Akaunti ya Tegeta...
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Mbowe ailipua Serikali kuhusu bandari bubu nchini
10 years ago
GPLCHENGE, CHENGE, CHENGE TENA?
11 years ago
TheCitizen13 Mar
Nothing personal, says Mkosamali
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Mkosamali atibua Bunge
MBUNGE wa Mhambwe, Felix Mkosamali (NCCR-Mageuzi), amezua mjadala mkali bungeni kwa kuishambulia Serikali ya CCM akidai kuwa mawaziri wake wamekuwa wakitoa majibu mepesi yasiyo na mashiko. Mkosamali alitoa kauli hiyo...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Mkosamali amlipua Mangula
MBUNGE wa Muhambwe mkoani hapa, Felix Mkosamali (NCCR Mageuzi), amemlipua Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Philip Mangula akidai kuwa ameondoka katika hoteli aliyofikia bila kulipa pango. Akihutubia mamia...
10 years ago
Habarileo27 May
‘Mkosamali acha kauli za kebehi’
SERIKALI imemtaka Mbunge wa Muhambwe, Felix Mkosamali (NCCRMageuzi) kuacha kauli za kebehi na kutembelea vyuo vya umma, kuona namna ambavyo serikali imeendelea kuboresha mazingira ya vyuo hivyo pamoja na kuwepo na mtiririko mdogo wa fedha katika bajeti kusudiwa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYmRH0kiiAr2i*TOXxdK9WLlsZbE4Og2E5lYO07RwcZZ3GZ6KTzLZjozxIbeLiVn-PRncLOvCtTkpu9Z3tCqa5nO/davina1.jpg)
DAVINA AKUNWA NA MHE. MKOSAMALI