Mbowe ashangaa kebehi zinazotolewa kwa Polisi
MWENYEKITI wa taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ameshangaa kusikia maneno kutoka kwa baadhi ya viongozi ndani ya chama chake yenye mwelekeo wa kukebehi na kudharau jeshi la polisi na kuwataka wasihukumiwe vibaya, kwani wamepewa dhamana ya kulinda watu na mali zao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo19 Sep
Mbowe abanwa Polisi kwa saa 4
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, jana alitii amri ya kuripoti Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, Dar es Salaam, alikohojiwa kwa saa 4 na dakika 18, huku akiongozana na jopo la mawakili sita.
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Polisi yawatawanya wafuasi wa Mbowe kwa mabomu
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-D1d2QWTP5sk/VBrIBBUlAHI/AAAAAAAGkQU/wCiGoioDz2M/s72-c/IMG_9743.jpg)
FREEMAN MBOWE AFIKA MAKAO MAKUU YA JESHI LA POLISI KWA MAHOJIANO
![](http://4.bp.blogspot.com/-D1d2QWTP5sk/VBrIBBUlAHI/AAAAAAAGkQU/wCiGoioDz2M/s1600/IMG_9743.jpg)
11 years ago
MichuziMBOWE ASHIKILIWA KWA MUDA NA JESHI LA POLISI IRINGA, AACHIWA KWA KOSA LA KUZIDISHA MUDA KWENYE MKUTANO WAO WA HADHARA.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-D1d2QWTP5sk/VBrIBBUlAHI/AAAAAAAGkQU/wCiGoioDz2M/s72-c/IMG_9743.jpg)
MWENYEKITI WA CHADEMA,FREEMAN MBOWE AFIKA MAKAO MAKUU YA JESHI LA POLISI KWA MAHOJIANO LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-D1d2QWTP5sk/VBrIBBUlAHI/AAAAAAAGkQU/wCiGoioDz2M/s1600/IMG_9743.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bBI483X57FE/VBrFvS5T5YI/AAAAAAAGkO4/T7SK0Lu5RDI/s1600/DSCF9030.jpg)
11 years ago
Michuzi18 Jun
uuzaji wa hisa za kampuni ya 'Swala Energy' zinazotolewa kwa mara ya kwanza kwa shilingi 500 kwa hisa.
5 years ago
MichuziDC ZAINABU KAWAWA AWAPA SOMO TASAF KUSIMAMIA FEDHA ZINAZOTOLEWA KWA KAYA MASIKINI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Xu5Xg-4Fdh8/VAWTHnh2cSI/AAAAAAAGbI0/8AcKgHs4bto/s72-c/4.jpg)
WITO WATOLEWA KWA JAMII KUTOPUUZA TAARIFA ZINAZOTOLEWA NA MAMLAKA YA HALI YA HEWA NCHINI
Wito huo umetolewa leo na Mkuu wa mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, wakati akifungua warsha ya siku mbili kwa wanahabari iliyoandaliwa na Mamlaka ya Hali hewa nchini (TMA).
Bendera ametoa wito huo siku mbili kabla ya TMA kutoa utabili wake wa hali ya hewa wa msimu wa Oktoba mpaka Desemba mwaka huu. Bendera alisema kuwa TMA imekuwa...
10 years ago
Dewji Blog10 Feb
Mwanahabari Frank kibiki awataka vijana kufanya kazi kwa bidii na kutumia fursa zinazotolewa na serikali
Mwanahabari Frank Kibiki akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.
Na Mwandishi wetu, Iringa
MWANAHABARI Frank Kibiki, aliyewahi kuwa Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) ngazi ya wilaya kwa zaidi ya miaka 10.
Akizungumza na mtandao huu mwanahabari Frank Kibiki, alisema kuwa vijana wengi wamekuwa wakibweteka kwa kutojituma kufanya kazi na kuendelea kuilaumu serikali.
“Eti asubuhi unawakuta vijana wamekaa kwenye vijiwe wakizungumza siasa na kucheza mabao wakati...