Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Acha unyonge, jiongeze tuyajenge

Baba yenu nilikuwa livu. Siku mbili tatu, nikawa napimana ubavu na mapapaa wa kitaa changu, mbona walikoma na mimi? Nilijiongeza mpaka wakajua labda nahusika na mambo ya Tegeta Escrow, kumbe mikwara tu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kikwete: Unyonge CCM basi

>Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa, Rais Jakaya Kikwete amewataka wanachama wa chama hicho kuacha unyonge na kusema uvumilivu una kikomo chake.

 

11 years ago

Mwananchi

Kuanzia sasa unyonge basi. Inatisha!

Wengi tulishangazwa na hatukuamini tuliposikia kauli ya Baba Mkuu pale alipowaambia CCM kuwa sasa unyonge basi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Unyonge wa Liverpool wa miaka 30 EPL wafikia kikomo

Subira vuta kheri - Subira ya liverpool ya miaka 30 ili kushinda kombe la ligi ya England imetimia baada ya klabu ya Manchester City kupoteza 2-1 dhidi ya Chelsea na hivyobasi kuwathibitisha The Reds kuwa mabingwa wapya wa ligi hiyo.

 

10 years ago

GPL

WEMA, ZARI JIONGEZE MWENYEWE!

Staa wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ akipozi. Kumekuwa na maneno mengi juu ya nani mzuri kati ya staa wa Uganda, Zarinah Hassan ‘Zari’ au ‘The Boss Lady’ na Wema Isaac Sepetu ‘Madam’. Wema ametembea na Diamond na sasa Zari anadaiwa kuchukua uskani. Ijumaa Wikienda limechukua jukumu la kumaliza ubishi ambapo lilibandika swali hilo kwenye mitandao ya kijamii ya...

 

10 years ago

GPL

SHOGA: JIONGEZE ILI KUMPA RAHA MUMEO!

Awali ya yote napenda kukusalimu na kukutakia afya njema maana naelewa mwanamke anapoumwa mambo mengi hudorora yakiwemo malezi ya familia.Baada ya kusema hayo, ngoja nirejee kwenye jambo muhimu nililokuandalia linalohusu mwanamke kujiongeza kwa mumewe na siyo kupita huku na huko kuchonga umbeya. Kujiongeza ninakokuzungumzia ni kuwa mbunifu wakati wa kula chakula cha usiku maana pamoja na kumfulia nguo, kumpikia, kumfanyia mambo...

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yatangaza washindi wa droo ya nne ya “Jiongeze na Mshiko”

Airtel Tanzania imetanga washindi  wa droo yake ya nne ya promosheni  ya "Jiongeze na Mshiko"  katika ofisi za makao makuu ya Airtel zilipo Morocco jijini Dar Es Salaam, ambapo wateja wanaweza kushinda zawadi ya fedha kila wiki ya shilingi tatu , milioni  moja na mwisho wa promosheni mteja ataweza kuondoka na kitita cha shilingi milioni 50.
Akiongea wakati wa droo hiyo, Afisa uhusiano na matukio wa Airtel  Dangio Kaniki alisema leo tunatangaza washindi wawili wa  promosheni ya "Jiongeze na...

 

9 years ago

Michuzi

AIRTEL YAPATA WASHINDI WATANO WA PROMOSHENI YA JIONGEZE NA MSHIKO

 Afisa huduma za ziada wa Airtel bwana Fabian Felician akiongea na mshindi aliyepatikana wakati wa kuchezesha droo ya tano ya wiki ya promosheni ya "Jiongeze na Mshiko" ambapo wateja wawili wa Airtel kutoka mikoa ya Manyara na Bukoba walipatikana (kushoto) ni mkaguzi kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha bwana Bakari Majid (kushoto) droo hii imechezwa jana katika makao makuu ya Airtel Moroco jijini Dar es saalam.Afisa huduma za ziada wa Airtel, bwana Fabian Felician (kulia) akimkabidhi...

 

9 years ago

Michuzi

WASHINDI WA SHINDANO LA “JIONGEZE NA MSHIKO” WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO

 Afisa mauzo wa Airtel Fabian Felician (kulia) akimzawadia shilingi million tatu, Bwana Ezekiel Mashita  kutoka Dar Es Salaam baada ya kuwa mshindi katika droo ya kumi na moja ya promosheni ya “Jiongeze na Mshiko”. Meneja mauzo wa Airtel bwana Pascal Bikomagu.(kulia)  akimpongeza bwana Oswald Marandu (kushoto) kutoka Kilimanjaro, baada ya kuibuka mshindi   katika droo ya kumi na moja ya promosheni ya “Jiongeze na Mshiko” na kujishindia shilingi milioni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani