WASHINDI WA SHINDANO LA “JIONGEZE NA MSHIKO” WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO
Afisa mauzo wa Airtel Fabian Felician (kulia) akimzawadia shilingi million tatu, Bwana Ezekiel Mashita kutoka Dar Es Salaam baada ya kuwa mshindi katika droo ya kumi na moja ya promosheni ya “Jiongeze na Mshiko”.
Meneja mauzo wa Airtel bwana Pascal Bikomagu.(kulia) akimpongeza bwana Oswald Marandu (kushoto) kutoka Kilimanjaro, baada ya kuibuka mshindi katika droo ya kumi na moja ya promosheni ya “Jiongeze na Mshiko” na kujishindia shilingi milioni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
WASHINDI WA SHINDANO LA APPSTAR WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO
Mshindi wa kwanza wa shindano la AppStar tabaka la wabunifu waliobobea Roman Mbwasi akielezea jambo wakati wa shughuli ya kukabidhi zawadi kwa washindi hao iliyofanyika makao makuu ya Vodacom Tanzania mwishoni mwa wiki hii. Katikati ni Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Abigail Ambweni, akimsikiliza kwa makini pamoja na mshindi wa kwanza katika tabaka la wabunifu chipukizi, George Machibya (kulia) Shindano hilo linaendeshwa na...
11 years ago
GPLWASHINDI WA CHEMSHA BONGO YA BRAZIL WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO
Mhariri wa Gazeti la Championi Jumatano, Phillip Nkini (kulia) akimkabidhi Said Muhammed Muba zawadi yake ya dekoda na dishi. Ofisa Mauzo wa Azam TV, Shah Seffu Mrisho (kulia) akimkabidhi Allen John Muhuma zawadi ya TV na dekoda.…
11 years ago
Michuzi
Washindi wa promosheni ya WEKA UPEWE ya NBC wakabidhiwa zawadi zao


11 years ago
MichuziWashindi wa promosheni ya 'Fua Upae mpaka Dudai' wakabidhiwa zawadi zao
11 years ago
Michuzi
washindi wa droo ya nane ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti wakabidhiwa zawadi zao


11 years ago
MichuziWashindi wawili wa droo ya winda safari ya Brazili na Serengeti wakabidhiwa zawadi zao
10 years ago
MichuziWASHINDI WA MASHINDANO YA DR MWAKA SPORTS XTRA NDONDO CUP 2014 WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO.
10 years ago
Michuzi
Airtel yatangaza washindi wa droo ya nne ya “Jiongeze na Mshiko”
Airtel Tanzania imetanga washindi wa droo yake ya nne ya promosheni ya "Jiongeze na Mshiko" katika ofisi za makao makuu ya Airtel zilipo Morocco jijini Dar Es Salaam, ambapo wateja wanaweza kushinda zawadi ya fedha kila wiki ya shilingi tatu , milioni moja na mwisho wa promosheni mteja ataweza kuondoka na kitita cha shilingi milioni 50.
Akiongea wakati wa droo hiyo, Afisa uhusiano na matukio wa Airtel Dangio Kaniki alisema leo tunatangaza washindi wawili wa promosheni ya "Jiongeze na...
Akiongea wakati wa droo hiyo, Afisa uhusiano na matukio wa Airtel Dangio Kaniki alisema leo tunatangaza washindi wawili wa promosheni ya "Jiongeze na...
10 years ago
MichuziAIRTEL YAPATA WASHINDI WATANO WA PROMOSHENI YA JIONGEZE NA MSHIKO
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania