WEMA, ZARI JIONGEZE MWENYEWE!
![](http://api.ning.com/files/uw8ZJ9XBTbVHBAcCa6PrggD*Gn2G1IuN9kLVdUy0r9I-CF2cRMKyzxJlN3Zc-OCAoE5q9P8bYqp2jy-vDjpwDI5*lZbqd*Ny/ScreenShot20140616at4.15.25PM.png?width=650)
Staa wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ akipozi. Kumekuwa na maneno mengi juu ya nani mzuri kati ya staa wa Uganda, Zarinah Hassan ‘Zari’ au ‘The Boss Lady’ na Wema Isaac Sepetu ‘Madam’. Wema ametembea na Diamond na sasa Zari anadaiwa kuchukua uskani. Ijumaa Wikienda limechukua jukumu la kumaliza ubishi ambapo lilibandika swali hilo kwenye mitandao ya kijamii ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
10 years ago
Bongo Movies14 Dec
WEMA: Sitaki Mniingilie, Maisha Yangu Naamua Mwenyewe
Mwingizaji wa filamu, Wema Sepetu aliyasema hayo baada ya baadhi ya watu wanao m-follow mitandaoni kuanza kumtukana na kukosoa kila kitu anachokiweka eti kwasababu tu hawampendi.
Baada ya mamba haya kuendelea kwa mda kidogo, hasa baada ya yeye kuachana na aliekuwa mpenzi wake, Diamond Platnumz, hatimaye Wema aliwatolea uvivu na kuaonge meneno makali kuwa wote wasio mpenda wa ache kum-follow kwani hakuna wakumwambia nini akiweke au asikiweke mtandaoni na hayo ni maisha yake hakuna...
10 years ago
Bongo Movies23 Jan
Baada ya wake kukanusha, Wema Sepetu mwenyewe kaongea kuhusu ishu ya kumpeleka Diamond Polisi.
Baada ya hapo jana meneja wa mwigizaji Wema Sepetu, Martin Kadinda kukanusha habari za Wema kumpeleka polisi Diamond Platnumz ambae alikuwa mpezi wake. Kwa kutoweza kulipa kwa wakati deni la shilingi million 10. Leo Wema Sepetu amefunguka kuhusu swala hili katika mahojiano na Millard Ayo.
Wema ameyasema haya “Hii taarifa imenishtua sana maana asubuhi ya jana nimekuta kwenye gazeti wameandika nikashangaa yaani hapa nimekaa kwa sababu muda mwingi siendeshi mimi akaunti yangu ya twitter,...
10 years ago
Bongo Movies02 May
Wema, Zari Wakinukisha!
Kwa upande wa burudani wiki hii ilikuwa ni shoo ya mchumba wa Nasibu Abdul ‘Diamond’ Zarinah Hassan ‘Zari’ iitwayo Zari All White Party aliekinukisha usiku wa kuamkia leo kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar na ile ya Instagram Party ambayo ilimhusu mrembo Wema Sepetu aliyokinukisha jijini Mwanza ambapo mashabiki wa warembo hao warushiana maneno.
Kwa mujibu wa chanzo cha gazeti la Risasi kilidai kuwa Zari amepata sapoti kubwa kutoka kwa mpenzi wake wa sasa Diamond kwani walikuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wTFR6FHHG9Jaj7pw8wgwo5n2WBqdOjBjNdwyeR-i18otsCwX4fDQWTPLwzavL21gX2Ufd16Qfv8Zkk4*ONA031UVTEXjnHEZ/FRONTRISASIJUMAMOSI.gif?width=650)
WEMA, ZARI WATOANA JASHO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XP1HwsPGdbc3d80dzKVTl0oGSXI9M5ABikwJsiD54G8f70j1Hm2uS2GWnL9wdZzSgA2-BW5l1dhfyJwZEShRBoDCGh2Kb0GG/4.jpg?width=650)
WEMA MREMBO KULIKO ZARI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/h2SvCI1KJvMLjQ0ca6hs7Qk2XpmorEBydREbWlQ*UYuCdL6lgwLFsoZASdwJB4ByZpzZmJ8BDaFBsFrTBS-ECQTmobrUDkTD/FRONTRISASI.jpg)
WEMA AMTUSI SHEMEJI WA ZARI
10 years ago
Bongo Movies04 May
Eti Wema Mrembo Kuliko Zari!
Imebainika kuwa maneno ‘gold digger’ katika ulimwengu wa fursa yanamaanisha kuwa ni mtu anayeona fursa na kuzitumia katika ‘kufaiti’ kupata mafanikio (utajiri) kwenye maisha.
Ndivyo alivyo mwandani wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ ambaye humwambii kitu linapokuja suala la kuona fursa na kuzifanyia kazi.
Pamoja na sifa hiyo iliyomfanya Zari kuwa mmoja wa mastaa matajiri Afrika Mashariki lakini kwa mujibu wa mashabiki waliomuona ‘laivu’...
10 years ago
CloudsFM09 Feb
Wema ajiachia Sauz na ‘’mume’’ wa Zari
Kumekuwa na sintofahamu baada ya picha za Staa wa filamu za Kibongo,Wema Sepetu akiwa na aliyekuwa mume wa mpenzi wa sasa wa Diamond Platnumz,Zari,Ivan kusambaa mtandaoni wakiwa nchini Afrika Kusini.
Hiyo picha inamwonyesha wema akiwa na Ivan lakini inaonekana si picha rasmi mpango unaonekana ulikua wa siri sana kwani inaonekana kama imepigwa wahusika hawakuwa tayari.