WEMA MREMBO KULIKO ZARI
![](http://api.ning.com:80/files/XP1HwsPGdbc3d80dzKVTl0oGSXI9M5ABikwJsiD54G8f70j1Hm2uS2GWnL9wdZzSgA2-BW5l1dhfyJwZEShRBoDCGh2Kb0GG/4.jpg?width=650)
IMELDA MTEMA Kumbe! Imebainika kuwa maneno ‘gold digger’ katika ulimwengu wa fursa yanamaanisha kuwa ni mtu anayeona fursa na kuzitumia katika ‘kufaiti’ kupata mafanikio (utajiri) kwenye maisha. Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ Ndivyo alivyo mwandani wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ ambaye humwambii kitu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies04 May
Eti Wema Mrembo Kuliko Zari!
Imebainika kuwa maneno ‘gold digger’ katika ulimwengu wa fursa yanamaanisha kuwa ni mtu anayeona fursa na kuzitumia katika ‘kufaiti’ kupata mafanikio (utajiri) kwenye maisha.
Ndivyo alivyo mwandani wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ ambaye humwambii kitu linapokuja suala la kuona fursa na kuzifanyia kazi.
Pamoja na sifa hiyo iliyomfanya Zari kuwa mmoja wa mastaa matajiri Afrika Mashariki lakini kwa mujibu wa mashabiki waliomuona ‘laivu’...
10 years ago
Vijimambo10 Jun
SUPER STAR DIAMOND AFUNGUKA LIVE: BORA NIFE KULIKO KUMRUDIA WEMA, WEMA NAYE AJIBU MASHAMBULIZI ILE MBAYA
![](http://api.ning.com/files/sT-mI3qB-hd0YVE-1L3jrO35VuXlfCHa8GPFsghter64FISojx1YI8f9jEWQzHOXg3KQF*1lvwUKrNWc8ymR7uFBTIA7tm3r/diamond211.jpg?width=650)
KIAPO! Kuonesha kwamba hana mpango wa kurudi nyuma, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ amefungukia msimamo wake juu ya mwandani wake wa zamani, Wema Sepetu ‘Madam’ kwa kusema kuwa kamwe hawezi kumrudia tena, Risasi Jumamosi lina mkanda kamili.
![](http://api.ning.com/files/sT-mI3qB-hd0YVE-1L3jrO35VuXlfCHa8GPFsghter64FISojx1YI8f9jEWQzHOXg3KQF*1lvwUKrNWc8ymR7uFBTIA7tm3r/diamond211.jpg?width=650)
10 years ago
GPLZARI ATUPIA PICHA YA MREMBO ALIYEJICHORA JINA LA DIAMOND KWENYE NIDO
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5QcJ4G3FmL8xV3Nr9fuOPAmeNpksrsUJdeDtcYs5puldR7yBKRvBrMpUmFYdUmS0NvfotXd2GZN*Wz8Aras-Ag8r/wema2.jpg)
MUONEKANO MPYA WA MREMBO WEMA SEPETU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hcqb7DAu6uw40AsOMi5Opx-G3M4P5-aPwmRWdGml3JqkJZAD6OdBc9aT2TZlAGgjwvbwgNQYeQM5o6-5h7xjhGa/RisasiJumamosifrontpdf.jpg?width=650)
DIAMOND: BORA NIFE KULIKO KUMRUDIA WEMA
10 years ago
Vijimambo11 Apr
ALICHOKISEMA DIAMOND: BORA NIFE KULIKO KUMRUDIA WEMA
![](http://api.ning.com/files/sT-mI3qB-hd0YVE-1L3jrO35VuXlfCHa8GPFsghter64FISojx1YI8f9jEWQzHOXg3KQF*1lvwUKrNWc8ymR7uFBTIA7tm3r/diamond211.jpg?width=650)
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’.
Musa matejaKIAPO! Kuonesha kwamba hana mpango wa kurudi nyuma, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ amefungukia msimamo wake juu ya mwandani wake wa zamani, Wema Sepetu ‘Madam’ kwa kusema kuwa kamwe hawezi kumrudia tena, Risasi Jumamosi lina mkanda kamili.Licha ya Diamond kufunguka hayo, wawili hao wamekuwa na mapenzi ya vipindi, kuna wakati waliwahi kumwagana kisha kurudiana na hakuna aliyewahi kutoa tamko zito lakini...
10 years ago
Bongo Movies02 May
Wema, Zari Wakinukisha!
Kwa upande wa burudani wiki hii ilikuwa ni shoo ya mchumba wa Nasibu Abdul ‘Diamond’ Zarinah Hassan ‘Zari’ iitwayo Zari All White Party aliekinukisha usiku wa kuamkia leo kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar na ile ya Instagram Party ambayo ilimhusu mrembo Wema Sepetu aliyokinukisha jijini Mwanza ambapo mashabiki wa warembo hao warushiana maneno.
Kwa mujibu wa chanzo cha gazeti la Risasi kilidai kuwa Zari amepata sapoti kubwa kutoka kwa mpenzi wake wa sasa Diamond kwani walikuwa...
10 years ago
Bongo Movies19 Mar
Petitman: Bora Ninyang'anywe Mke Kuliko Kuachana na Wema Sepetu
Mfanyakazi wa kampuni ya Endless Fame, Petitman ambaye mara zote ameonekana kuwa karibu sana na bosi wake , Wema Sepetu amesema kamwe hawezi kuacha kuwa karibu na Wema eti kwa sababu Wema na Diamond wameachana, ukizingatia kuwa Pititman na Diamond ni mtu na shemeji yake. (Petitman amemuoa dada yake Diamond, Esma)
Kauli hiyo inaashiria kwamba Petitman yupo tayari kunyang'anywa mke endapo uhusiano wake na Wema Sepetu hautaipendeza familia ya Diamond kuliko kuvunja uhusiano na Wema Sepetu...