ALICHOKISEMA DIAMOND: BORA NIFE KULIKO KUMRUDIA WEMA
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’.
Musa matejaKIAPO! Kuonesha kwamba hana mpango wa kurudi nyuma, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ amefungukia msimamo wake juu ya mwandani wake wa zamani, Wema Sepetu ‘Madam’ kwa kusema kuwa kamwe hawezi kumrudia tena, Risasi Jumamosi lina mkanda kamili.Licha ya Diamond kufunguka hayo, wawili hao wamekuwa na mapenzi ya vipindi, kuna wakati waliwahi kumwagana kisha kurudiana na hakuna aliyewahi kutoa tamko zito lakini...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hcqb7DAu6uw40AsOMi5Opx-G3M4P5-aPwmRWdGml3JqkJZAD6OdBc9aT2TZlAGgjwvbwgNQYeQM5o6-5h7xjhGa/RisasiJumamosifrontpdf.jpg?width=650)
DIAMOND: BORA NIFE KULIKO KUMRUDIA WEMA
10 years ago
Vijimambo10 Jun
SUPER STAR DIAMOND AFUNGUKA LIVE: BORA NIFE KULIKO KUMRUDIA WEMA, WEMA NAYE AJIBU MASHAMBULIZI ILE MBAYA
![](http://api.ning.com/files/sT-mI3qB-hd0YVE-1L3jrO35VuXlfCHa8GPFsghter64FISojx1YI8f9jEWQzHOXg3KQF*1lvwUKrNWc8ymR7uFBTIA7tm3r/diamond211.jpg?width=650)
KIAPO! Kuonesha kwamba hana mpango wa kurudi nyuma, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ amefungukia msimamo wake juu ya mwandani wake wa zamani, Wema Sepetu ‘Madam’ kwa kusema kuwa kamwe hawezi kumrudia tena, Risasi Jumamosi lina mkanda kamili.
![](http://api.ning.com/files/sT-mI3qB-hd0YVE-1L3jrO35VuXlfCHa8GPFsghter64FISojx1YI8f9jEWQzHOXg3KQF*1lvwUKrNWc8ymR7uFBTIA7tm3r/diamond211.jpg?width=650)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uqLqBDFuIfDJb1ItCXxbu3R57dIOvpeSFqxQtUgjx0l1-eLepoJnjYgW-NrZ7oHfWMiYckgDWNPPn8FBfcNtIHthhrqFg7Ai/Shamsa.jpg)
SHAMSA: BORA NIFE KULIKO KURUDIANA NA MUME WANGU
10 years ago
Bongo Movies19 Mar
Petitman: Bora Ninyang'anywe Mke Kuliko Kuachana na Wema Sepetu
Mfanyakazi wa kampuni ya Endless Fame, Petitman ambaye mara zote ameonekana kuwa karibu sana na bosi wake , Wema Sepetu amesema kamwe hawezi kuacha kuwa karibu na Wema eti kwa sababu Wema na Diamond wameachana, ukizingatia kuwa Pititman na Diamond ni mtu na shemeji yake. (Petitman amemuoa dada yake Diamond, Esma)
Kauli hiyo inaashiria kwamba Petitman yupo tayari kunyang'anywa mke endapo uhusiano wake na Wema Sepetu hautaipendeza familia ya Diamond kuliko kuvunja uhusiano na Wema Sepetu...
10 years ago
Vijimambo![](https://lh6.googleusercontent.com/-fB20VU6QCi8/VCZww_scN1I/AAAAAAAAHRg/FHEgLePizg4/s72-c/8.jpeg%20cursor:%20pointer;)
Diamond afunguka na kuhusu ishu ya kumtema Wema na kuhamia kwa Menina, hiki ndo alichokisema...
Diamond afunguka na kuhusu ishu ya kumtema Wema na kuhamia kwa Menina, hiki ndo alichokisema...
![](https://lh6.googleusercontent.com/-fB20VU6QCi8/VCZww_scN1I/AAAAAAAAHRg/FHEgLePizg4/8.jpeg%20cursor:%20pointer;)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLac8fS4dnyWkMCiXPbjfpc1Q4SDhQzq5H-VBmZMCllMhtA7w*jfdoUIzA1YCngSr8ymz9LOOwqqJZ4XW9zPVJvmX/ijumaafrontcopy.gif?width=650)
DIAMOND MWANANGU USISUBIRI NIFE!
10 years ago
Bongo Movies17 Mar
Hiki Ndicho Alichokisema Meninah Kuhusu Wema na Kajala
Mrembo na Staa wa Bongo Fleva, ambae nyota na jina lake lilianza kusikika Kupitia shindano la Bongo Star Search (BSS), Meninah La Diva amesema angekuwa na uwezo angewapatanisha mastaa wawili wa Bongo Movies , Wema Sepetu na Kajala Masanja ambao alisema kuwa anawependa sana.
Meninah aliyasema hayo leo alipokuwa akifanya mahojiano na mtangazaji Millard Ayo kwenye c kipindi cha Amplifaya, alipoulizwa kuwa angekuwa na uwezo angewapatanisha mastaa gani ambao wamegombana au hawaelewani kwa namna...