DIAMOND MWANANGU USISUBIRI NIFE!
![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLac8fS4dnyWkMCiXPbjfpc1Q4SDhQzq5H-VBmZMCllMhtA7w*jfdoUIzA1YCngSr8ymz9LOOwqqJZ4XW9zPVJvmX/ijumaafrontcopy.gif?width=650)
Gladness Mallya na Gabriel Ng’osha Maskini! Wakati leo akiangusha pati ya nguvu na mpenzi wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ inayokwenda kwa jina la Zari All White Party kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Dar, baba mzazi wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Abdul Jumaa yu hoi kitandani huku akimtaka mwanaye huyo kuonesha msamaha wa kweli aliotangaza kwenye vyombo vya habari na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hcqb7DAu6uw40AsOMi5Opx-G3M4P5-aPwmRWdGml3JqkJZAD6OdBc9aT2TZlAGgjwvbwgNQYeQM5o6-5h7xjhGa/RisasiJumamosifrontpdf.jpg?width=650)
DIAMOND: BORA NIFE KULIKO KUMRUDIA WEMA
10 years ago
Vijimambo11 Apr
ALICHOKISEMA DIAMOND: BORA NIFE KULIKO KUMRUDIA WEMA
![](http://api.ning.com/files/sT-mI3qB-hd0YVE-1L3jrO35VuXlfCHa8GPFsghter64FISojx1YI8f9jEWQzHOXg3KQF*1lvwUKrNWc8ymR7uFBTIA7tm3r/diamond211.jpg?width=650)
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’.
Musa matejaKIAPO! Kuonesha kwamba hana mpango wa kurudi nyuma, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ amefungukia msimamo wake juu ya mwandani wake wa zamani, Wema Sepetu ‘Madam’ kwa kusema kuwa kamwe hawezi kumrudia tena, Risasi Jumamosi lina mkanda kamili.Licha ya Diamond kufunguka hayo, wawili hao wamekuwa na mapenzi ya vipindi, kuna wakati waliwahi kumwagana kisha kurudiana na hakuna aliyewahi kutoa tamko zito lakini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tmqA3rmqdga8AbjdcIV5PcHdIDD7djA5g3Y9N7B5q*dWKonkjC4nqlsxfkuN9T2J2oVPX2QIyLX2RSWDsXfWicmy4hYbVhXs/wwwwwwwww.jpg?width=650)
DIAMOND: SIITAJI JINSI YA MWANANGU
10 years ago
Vijimambo10 Jun
SUPER STAR DIAMOND AFUNGUKA LIVE: BORA NIFE KULIKO KUMRUDIA WEMA, WEMA NAYE AJIBU MASHAMBULIZI ILE MBAYA
![](http://api.ning.com/files/sT-mI3qB-hd0YVE-1L3jrO35VuXlfCHa8GPFsghter64FISojx1YI8f9jEWQzHOXg3KQF*1lvwUKrNWc8ymR7uFBTIA7tm3r/diamond211.jpg?width=650)
KIAPO! Kuonesha kwamba hana mpango wa kurudi nyuma, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ amefungukia msimamo wake juu ya mwandani wake wa zamani, Wema Sepetu ‘Madam’ kwa kusema kuwa kamwe hawezi kumrudia tena, Risasi Jumamosi lina mkanda kamili.
![](http://api.ning.com/files/sT-mI3qB-hd0YVE-1L3jrO35VuXlfCHa8GPFsghter64FISojx1YI8f9jEWQzHOXg3KQF*1lvwUKrNWc8ymR7uFBTIA7tm3r/diamond211.jpg?width=650)
9 years ago
Bongo517 Oct
Naogopa mwanangu asishuke kimuziki — Mama Diamond
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Usisubiri, muda wa kujiletea mabadiliko ni sasa
WATU wengi katika maisha wanasubiri muda fulani mambo yatatulia na watapata yale wanayoyataka, lakini ni vema ukatambua kuwa muda huo uliokuwa unausubiri ni sasa. ’The right time is now’ muda...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uqLqBDFuIfDJb1ItCXxbu3R57dIOvpeSFqxQtUgjx0l1-eLepoJnjYgW-NrZ7oHfWMiYckgDWNPPn8FBfcNtIHthhrqFg7Ai/Shamsa.jpg)
SHAMSA: BORA NIFE KULIKO KURUDIANA NA MUME WANGU
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Kwa Mwanangu Nitakayemzaa 37
ILIPOISHIA:
Baada ya Destiny kumaliza masomo yake ya uandishi wa habari katika Chuo cha Nothestern kilichopo huko Marekani, alikwenda kujiunga na Kampuni la Habari la Wend Production kwa ajili ya kupata uzoefu ambako huko alikabidhiwa kwa mwandishi wa habari mzoefu Criss Jacquiler.
Tambaa nayo…
KUTOKANA na mafunzo aliyoyapata kutoka kwa Criss Jacquiler, Destiny alijikuta akiipenda mno kazi ya uandishi wa habari ambapo baada ya muda wake wa masomo kumalizika alitakiwa kuondoka Marekani na...
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Kwa Mwanangu Nitakayemzaa – 38
ILIPOISHIA:
Destiny ameshafuzu kuwa mwandishi wa habari, yuko Kenya akitokea Marekani alikokuwa kimasomo tayari kuzianza harakati zake za kumbadilisha Mtima kijana aliyempenda sana, kwa upande wa kijana huyo na rafiki yake Abdulrahman walizidi kusababisha maafa makubwa kwa kufanya mauaji ya kutisha sehemu tofauti ndani ya nchi ya Somalia na Kenya.TAMBAA NAYO…
TUKIO walilofanya Mtima na Abdulrahman katika kituo cha kulelea watoto yatima kiitwacho Jerusalemu Disabled Children Cares (JDCC),...