Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwa Mwanangu Nitakayemzaa – 38

ILIPOISHIA:

Destiny ameshafuzu kuwa mwandishi wa habari, yuko Kenya akitokea Marekani alikokuwa kimasomo tayari kuzianza harakati zake za kumbadilisha Mtima kijana aliyempenda sana, kwa upande wa kijana huyo na rafiki yake Abdulrahman walizidi kusababisha maafa makubwa kwa kufanya mauaji ya kutisha sehemu tofauti ndani ya nchi ya Somalia na Kenya.TAMBAA NAYO…

TUKIO walilofanya Mtima na Abdulrahman katika kituo cha kulelea watoto yatima kiitwacho Jerusalemu Disabled Children Cares (JDCC),...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Kwa Mwanangu Nitakayemzaa 37

ILIPOISHIA:

Baada ya Destiny kumaliza masomo yake ya uandishi wa habari katika Chuo cha Nothestern kilichopo huko Marekani, alikwenda kujiunga na Kampuni la Habari la Wend Production kwa ajili ya kupata uzoefu ambako huko alikabidhiwa kwa mwandishi wa habari mzoefu Criss Jacquiler.
Tambaa nayo…

KUTOKANA na mafunzo aliyoyapata kutoka kwa Criss Jacquiler, Destiny alijikuta akiipenda mno kazi ya uandishi wa habari ambapo baada ya muda wake wa masomo kumalizika alitakiwa kuondoka Marekani na...

 

9 years ago

Global Publishers

Kwa Mwanangu Nitakayemzaa

ILIPOISHIA:

Huku Mtima na Abdulrahman wakiwa kwenye hali tete ya kuuawa na wanajeshi wa Kenya, Destiny alikuwa amemaliza masomo ya uandishi wa habari chuoni Notheastern, Marekani ambapo alitakiwa kusafiri hadi New York kwa ajili ya kupata ujuzi kwenye kampuni ya habari ya Wend Production.

Tambaa nayo…

MUDA ulipowadia alipanda ndege na kusafiri hadi jijini New York alikopokelewa uwanja wa ndege na mwanaume aliyejitambulisha kwa jina la Kenny Smith.

“Wend yuko wapi?” Ndilo swali la kwanza...

 

10 years ago

GPL

NAFANYA KAZI KWA NGUVU KWA AJILI YA MWANANGU - WIZKID

Mwanamuziki maarufu  wa Nigeria, Wizkid. Lagos Nigeria
MWANAMUZIKI  mwimbaji maarufu  wa Nigeria, Wizkid, amesema hataki maisha ya anasa ya kutumia fedha ovyo, bali anataka kuonyesha upendokwa watu wake, jambo ambalo linamlazimu kufanya kazi kwa nguvu. Wizkid akiwa na mwanaye.
Pamoja na kwamba ana mpango wa kuanzisha taasisi ya kuwasaidia watu wenye matatizo, mwimbaji huyo amesema hakuna kitu chenye thamani zaidi...

 

10 years ago

GPL

SHULENI KWA MWANANGU, KILA KITU KINGLEZA!

Yamenikuta  makubwa tena ya kujitakia, hilo lazima nikubali. Unajua nilikuwa naona wivu sana nikiwatembelea rafiki zangu na kukuta wana watoto tena wadogo hawajaanza hata darasa la kwanza, wanaongea Kingleza utadhani ndiyo wametoka Uingereza jana. Halafu kilichokuwa kinanipa wivu zaidi ni kuwa hawa rafiki zangu wengi tumetoka kijiji kimoja, nawajua mpaka wazazi wao, na najua kwenye ukoo wao hakuna anayejua Kingleza kabisaaa....

 

11 years ago

GPL

SAJENTI: SIMTOI MWANANGU KWA CHAZ BABA NG’O

Stori: Gladness Mallya
BAADA ya mkali wa Bongo Dansi kutoka Bendi ya Mashujaa, Charles Gabriel ‘Chaz Baba’ kudai ana mpango wa kumchukua mwanaye ili akaishi naye, hatimaye mzazi mwenzake, Husna Idd ‘Sajenti’,  amesema hawezi kumtoa mwanaye. Mkali wa Bongo Dansi kutoka Bendi ya Mashujaa, Charles Gabriel ‘Chaz Baba’ akiwa kwenye ofisi za Global Publishers. Akistorisha na paparazi wa...

 

10 years ago

GPL

MUME: MKE WANGU KANICHOMA KWA MAJI YA MOTO NA MWANANGU

Ni hali ya kusikitisha na kustaajabu kwa  jamii baada ya Tunu Kimaro kummwagia maji ya moto mumewe, William Mushi (32), mkazi wa Mabibo  jijini Dar es Salaam pamoja na mtoto wake mchanga. Tukio hilo la kikatili lilitokea Agosti 15, mwaka huu nyumbani kwake Mabibo jijini Dar es Salaam na lilishangaza majirani kutokana na Tunu kudaiwa kuchukuwa maji ya moto yaliyokuwa yanachemka na kuwamwagia bila huruma. Bw. William Mushi...

 

9 years ago

Bongo5

Mwanangu alifukuzwa shule kwa kumpiga mwenzie aliyemtania baba yake ni teja — Q Chief

Q Chief amedai kuwa aliumia mno pale mtoto wake alipofukuzwa shule baada ya kupigana na mwanafunzi mwenzake aliyemtania kuwa baba yake ni teja! Q-Chief alikuwa akizungumza na BBC Swahili hivi karibuni. Mtoto wa Q Chief “Siku moja mwanangu alikuja analia sana, akaniambia baba mwanafunzi mmoja amesema baba yake si teja tu. Nikamwambia kwahiyo ukafanyaje akaniambia […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Barabara za Nigeria : 'Mwanangu wa kiume alikufa kwa ajali ya gari- na sasa ninaongoza magari barabarani'

Mwanamke wa Kinigeria Monica Dongban-Mensem anafanya kampeni ya usalama wa barabarani baada ya mtoto wake wa kiume kufa katika ajali ya barabarani ambapo gari lililomgonga lilitoweka.

 

9 years ago

Mtanzania

Kim: Napenda mwanangu aitweEaston

kimNEW YORK, MAREKANI

MKE wa msanii wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, Kim Kardashian, amesema anapenda mtoto wake aje aitwe Easton tofauti na jina lingine.

Mtoto wake wa kwanza amepewa jina la North huku baba yake akiitwa West, hivyo watu wengi wakijiuliza jina la
mtoto ajaye ataitwa nani kati ya East au South, lakini mam huyo amesema angependa mtoto huyo aitwe Easton.

“Ningependa mtoto huyo aje aitwe Easton, lakini sina uhakika kama mume wangu atakubaliana na mimi.

“Sina uhakika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani