Kwa Mwanangu Nitakayemzaa
ILIPOISHIA:
Huku Mtima na Abdulrahman wakiwa kwenye hali tete ya kuuawa na wanajeshi wa Kenya, Destiny alikuwa amemaliza masomo ya uandishi wa habari chuoni Notheastern, Marekani ambapo alitakiwa kusafiri hadi New York kwa ajili ya kupata ujuzi kwenye kampuni ya habari ya Wend Production.
Tambaa nayo…
MUDA ulipowadia alipanda ndege na kusafiri hadi jijini New York alikopokelewa uwanja wa ndege na mwanaume aliyejitambulisha kwa jina la Kenny Smith.
“Wend yuko wapi?” Ndilo swali la kwanza...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Kwa Mwanangu Nitakayemzaa 37
ILIPOISHIA:
Baada ya Destiny kumaliza masomo yake ya uandishi wa habari katika Chuo cha Nothestern kilichopo huko Marekani, alikwenda kujiunga na Kampuni la Habari la Wend Production kwa ajili ya kupata uzoefu ambako huko alikabidhiwa kwa mwandishi wa habari mzoefu Criss Jacquiler.
Tambaa nayo…
KUTOKANA na mafunzo aliyoyapata kutoka kwa Criss Jacquiler, Destiny alijikuta akiipenda mno kazi ya uandishi wa habari ambapo baada ya muda wake wa masomo kumalizika alitakiwa kuondoka Marekani na...
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Kwa Mwanangu Nitakayemzaa – 38
ILIPOISHIA:
Destiny ameshafuzu kuwa mwandishi wa habari, yuko Kenya akitokea Marekani alikokuwa kimasomo tayari kuzianza harakati zake za kumbadilisha Mtima kijana aliyempenda sana, kwa upande wa kijana huyo na rafiki yake Abdulrahman walizidi kusababisha maafa makubwa kwa kufanya mauaji ya kutisha sehemu tofauti ndani ya nchi ya Somalia na Kenya.TAMBAA NAYO…
TUKIO walilofanya Mtima na Abdulrahman katika kituo cha kulelea watoto yatima kiitwacho Jerusalemu Disabled Children Cares (JDCC),...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-HoKvkav3swXta8D*rumBVsiziFbvOx7-1ZIswUJjySzJFWXAQ4JSCzXmLMz7Ur0rAcPGbhpolrzCJOLNHRn-pjF6AmmVI*x/STARBOY_S35.jpg?width=650)
NAFANYA KAZI KWA NGUVU KWA AJILI YA MWANANGU - WIZKID
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLRCNLZsPGrL1nTj5tb9jvXJCsZWAAzHWN*Cka3pFN-0QL5jeAFD7skyHrjk0KbT08KNdhsu1sXVAXTUfWTCxu35/CHEKANAKITIME.jpg)
SHULENI KWA MWANANGU, KILA KITU KINGLEZA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8QhgTtdtP-Kfh72FN-Y9-rdFjNIC1Kol1T4BrMhdllyVnwyHyNjNrx2g8PT2jjfQVq5G1D-Q8FtVsl-FgaOM4ob/CHAZ.gif?width=650)
SAJENTI: SIMTOI MWANANGU KWA CHAZ BABA NG’O
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0Q*ReSH68Ob5zw141IjOJMG0IflAfwNt3nxCnbrMJa41NdugvfmH1DcPisx-X8USU9B35s7jTBbPN5ULHWwffWN/MUME.jpg)
MUME: MKE WANGU KANICHOMA KWA MAJI YA MOTO NA MWANANGU
9 years ago
Bongo528 Aug
Mwanangu alifukuzwa shule kwa kumpiga mwenzie aliyemtania baba yake ni teja — Q Chief
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Barabara za Nigeria : 'Mwanangu wa kiume alikufa kwa ajali ya gari- na sasa ninaongoza magari barabarani'
9 years ago
Mtanzania19 Oct
Kim: Napenda mwanangu aitweEaston
NEW YORK, MAREKANI
MKE wa msanii wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, Kim Kardashian, amesema anapenda mtoto wake aje aitwe Easton tofauti na jina lingine.
Mtoto wake wa kwanza amepewa jina la North huku baba yake akiitwa West, hivyo watu wengi wakijiuliza jina la
mtoto ajaye ataitwa nani kati ya East au South, lakini mam huyo amesema angependa mtoto huyo aitwe Easton.
“Ningependa mtoto huyo aje aitwe Easton, lakini sina uhakika kama mume wangu atakubaliana na mimi.
“Sina uhakika...