SHULENI KWA MWANANGU, KILA KITU KINGLEZA!
![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLRCNLZsPGrL1nTj5tb9jvXJCsZWAAzHWN*Cka3pFN-0QL5jeAFD7skyHrjk0KbT08KNdhsu1sXVAXTUfWTCxu35/CHEKANAKITIME.jpg)
Yamenikuta makubwa tena ya kujitakia, hilo lazima nikubali. Unajua nilikuwa naona wivu sana nikiwatembelea rafiki zangu na kukuta wana watoto tena wadogo hawajaanza hata darasa la kwanza, wanaongea Kingleza utadhani ndiyo wametoka Uingereza jana. Halafu kilichokuwa kinanipa wivu zaidi ni kuwa hawa rafiki zangu wengi tumetoka kijiji kimoja, nawajua mpaka wazazi wao, na najua kwenye ukoo wao hakuna anayejua Kingleza kabisaaa....
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
Kwa nini ujifanye unajua kila kitu?
BINADAMU tumeumbwa kwa kila mmoja wetu kuwa na uwezo wake binafsi tofauti na mwingine, kiakili, kifikra, kipesa na kiutendaji. Utofauti huu ndio unaotufanya tuendelee kuishi na kuheshimiana hapa duniani. Lakini...
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Mtei: Rais Magufuli asiige kila kitu kutoka kwa Nyerere
9 years ago
Bongo518 Dec
Cyrill adai video na ngoma kali sio kila kitu kwa muziki wa sasa
![kamikaze](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/kamikaze-300x194.jpg)
Staa wa muziki Cyrill Kamikaze, amesema muziki wa sasa sio tu kufanya video kali na ngoma kali ili uweze kutoboa, bali unahitaji kutumia ubunifu zaidi kukidhi viwango vyenye ubora na kufikia soko la kimataifa.
Rapper huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Afica Radio kuwa watu wengi wanafikiri ukiwa na video nzuri ndio unafanikiwa.
“Unaweza ukawa na video kali halafu usihit, muziki ni zaidi ya chupa kali, ukirudishwa miaka fulani nyuma, ngoma kali ndio ilikuwa inahit, lakini sasa...
9 years ago
Habarileo31 Dec
Bilioni 19/- kutolewa shuleni kila mwezi
KATIKA kutekeleza mpango wa utoaji elimu bure kwa shule za serikali za msingi na sekondari nchini, Serikali itapeleka moja kwa moja shuleni kutoka Hazina wastani wa Sh bilioni 18.77 kwa kila mwezi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxUWhj8CVoa-AbXZBShdUB1CPoCoOO0duzXL7rdRyZrRIKmSrfw8HdlVBhp1y10ghB1H8nfCKe0yH*gGnawnoUYrAJV-gQ0O/FRONTAMANI.jpg?width=650)
FLORA AKOMBA KILA KITU
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
Ngeleja: Hatupingi kila kitu
MAKAMU Mwenyekiti wa Kamati namba tisa ya Bunge Maalum, William Ngeleja, amesema hawapingi kila kitu kilichomo kwenye Rasimu iliyotolewa na Tume ya Mabiliko ya Katiba. Ngeleja, amewataka watanzania wasikubali kupotoshwa...
9 years ago
Bongo Movies23 Nov
Dude Alizwa Kila Kitu
YAMEMKUTA! Mwigizaji maarufu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amelizwa kila kitu kwenye gari lake baada ya wezi kuvunja kioo na kufanya uharibifu mkubwa kisha kutokomea na vitu hivyo.
Tukio hilo lililomchanganya Dude lilijiri nyumbani kwake, Kiwalani jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo jamaa hao waliruka fensi na kuvunja kioo cha nyuma kisha kutoa vitu muhimu kwenye gari hilo aina ya Toyota Mark II.
“Ukweli sasa hivi nikisikia kelele za mwizi hata niwe naendesha gari, nitapaki na kwenda kutoa...
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Lissu: Wanaokubaliana kila kitu ni kondoo
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Tundu Lissu, amesema katika mchakato wa kuandika Katiba ni lazima kuwa na mawazo yanayokinzana, kwa kuwa hiyo ndiyo demokrasia. Lissu ambaye pia ni Mbunge...