Bilioni 19/- kutolewa shuleni kila mwezi
KATIKA kutekeleza mpango wa utoaji elimu bure kwa shule za serikali za msingi na sekondari nchini, Serikali itapeleka moja kwa moja shuleni kutoka Hazina wastani wa Sh bilioni 18.77 kwa kila mwezi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo01 Mar
Vyeti vya kuzaliwa kutolewa shuleni
WAKALA wa Usajili, Ufilisi na Udhamini Tanzania (RITA) ameanzisha mpango wa uandikishaji na utoaji vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wanaoanzia umri wa miaka sita hadi 18 katika shule zote za msingi na sekondari nchini. Hatua hiyo inatokana na kubaini kuwa ni asilimia 23 tu ya Watanzania nchini ndio waliosajiliwa na kupewa vyeti vya kuzaliwa.
5 years ago
MichuziWaziri Biteko: Sekta ya Madini inaongoza kwa ukuaji wa uchumi nchini,makusanyo yamepaa kutoka Bilioni 39/- hadi Bilioni 58/- kwa mwezi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLRCNLZsPGrL1nTj5tb9jvXJCsZWAAzHWN*Cka3pFN-0QL5jeAFD7skyHrjk0KbT08KNdhsu1sXVAXTUfWTCxu35/CHEKANAKITIME.jpg)
SHULENI KWA MWANANGU, KILA KITU KINGLEZA!
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2LJvH_3PeLE/XvhPoYqXctI/AAAAAAALvwE/FhvquxW4FhwJoo6xFBuz8Z5Q06SiJYVJACLcBGAsYHQ/s72-c/CRDB%2BAGM.jpg)
Wanahisa Benki ya CRDB kupata ongezeko la asilimia 112.5 la Gawio, Shilingi bilioni 44.4 kutolewa
![](https://1.bp.blogspot.com/-2LJvH_3PeLE/XvhPoYqXctI/AAAAAAALvwE/FhvquxW4FhwJoo6xFBuz8Z5Q06SiJYVJACLcBGAsYHQ/s640/CRDB%2BAGM.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya CRDB, Dkt. Ally Laay...
11 years ago
Habarileo07 Aug
Mamlaka za maji hupoteza bil. 2.5/- kila mwezi
MAMLAKA za Majisafi na Usafi wa Mazingira nchini, zinatajwa kupoteza takribani Sh bilioni 2.5 kila mwezi, kutokana na upotevu mkubwa wa maji yanayozalishwa na mamlaka hizo na ambayo hupotelea njiani kabla ya kufikia watumiaji.
11 years ago
Habarileo23 Jul
Rais aagiza ripoti za mahudhurio ya shule kila mwezi
RAIS Jakaya Kikwete ameagiza wakuu wa shule zote nchini kila mwezi watoe taarifa za mahudhurio ya wanafunzi kwa maofisa Elimu.
10 years ago
Bongo526 Feb
Matonya: Sasa hivi kila mwezi na ngoma mpya
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
MOI : Bodaboda huumiza vichwa watu 600 kila mwezi
TAASISI ya Tiba ya Mifupa Muhimbili( MOI), imesema kwa mwezi inapokea wagonjwa 600 walioumia vichwa kutokana na ajali za Pikipiki. Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam jana,...
11 years ago
Mwananchi26 Jun
‘Kila jaji anapaswa kusikiliza mashauri 220 kwa mwezi’