MOI : Bodaboda huumiza vichwa watu 600 kila mwezi
TAASISI ya Tiba ya Mifupa Muhimbili( MOI), imesema kwa mwezi inapokea wagonjwa 600 walioumia vichwa kutokana na ajali za Pikipiki. Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam jana,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo25 Oct
MOI yafurika majeruhi ajali za bodaboda
TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI) imesema imekuwa ikipokea asilimia kubwa ya wagonjwa walioumia vichwa na migongo, kutokana na ajali zinazosababishwa na pikipiki.
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Timka na Bodaboda Vodacom yabadili maisha ya wateja 600
“NI furaha kwa sababu tumetimiza azma yetu ya kubadili maisha ya Watanzania. Promosheni hii imewanufaisha takribani wateja 600 wakiwemo wa bodaboda na wa fedha taslimu zaidi ya sh milioni 200.”...
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Tetemeko laua zaidi ya watu 3,600 Nepal
9 years ago
Habarileo31 Dec
Bilioni 19/- kutolewa shuleni kila mwezi
KATIKA kutekeleza mpango wa utoaji elimu bure kwa shule za serikali za msingi na sekondari nchini, Serikali itapeleka moja kwa moja shuleni kutoka Hazina wastani wa Sh bilioni 18.77 kwa kila mwezi.
11 years ago
Habarileo07 Aug
Mamlaka za maji hupoteza bil. 2.5/- kila mwezi
MAMLAKA za Majisafi na Usafi wa Mazingira nchini, zinatajwa kupoteza takribani Sh bilioni 2.5 kila mwezi, kutokana na upotevu mkubwa wa maji yanayozalishwa na mamlaka hizo na ambayo hupotelea njiani kabla ya kufikia watumiaji.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cBMpM1U1kDE/XoDwzP0xDYI/AAAAAAALlgM/pdlPChtE8AgihH2aLGOIVCNw_E5ydcytQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7a3c8b641331m6uv_800C450.jpg)
WHO: Zaidi ya watu 2,600 wameambukizwa virusi vya corona barani Afrika
![](https://1.bp.blogspot.com/-cBMpM1U1kDE/XoDwzP0xDYI/AAAAAAALlgM/pdlPChtE8AgihH2aLGOIVCNw_E5ydcytQCLcBGAsYHQ/s640/4bv7a3c8b641331m6uv_800C450.jpg)
Tedros Adhanom Ghebreyesus ameviambia vyombo vya habari kwamba, idadi ya watu walioambukizwa virusi vya corona barani Afrika imefikia 2,650 na kwamba wagonjwa wasiopungua 49 miongoni mwao wameaga dunia.
Katibu Mkuu wa Shirika la Afya Duniani amesema kuwa, shirika hilo liko tayari kuzisaidia nchi zote za Afrika na kuongeza kuwa: Nchi zenye mifumo dhaifu ya...
10 years ago
Vijimambo04 Nov
Janga:Bodaboda zinaua watatu kila siku nchini
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Ajali-November4-2014.jpg)
Uchunguzi uliofanywa na NIPASHE umebaini kuwa mbali na vifo na ulemavu, bodaboda zimeathiri pia utoaji wa huduma katika hospitali zinazopokea majeruhi wa vyombo hivyo, kwani wodi zimefurika kupita kiasi na...
10 years ago
Bongo526 Feb
Matonya: Sasa hivi kila mwezi na ngoma mpya
11 years ago
Habarileo23 Jul
Rais aagiza ripoti za mahudhurio ya shule kila mwezi
RAIS Jakaya Kikwete ameagiza wakuu wa shule zote nchini kila mwezi watoe taarifa za mahudhurio ya wanafunzi kwa maofisa Elimu.