Tetemeko laua zaidi ya watu 3,600 Nepal
Watu zaidi ya 3,600 wameripotiwa kufa kutokana na tetemeko la ardhi nchini Nepal lililoikumba nchi hiyo Jumamosi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 May
Tetemeko jipya Nepal laua watu 40
Tetemeko jipya lililotokea Nepal limeua zaidi ya watu 40.na helkopta ya kikosi cha majini ya Marekani,haijulikani iliko.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-zu0u45hyMeQ/VTz8BF4KVEI/AAAAAAABMok/16Z-feAYE5k/s72-c/9.jpg)
WATU ZAIDI YA 2,000 WAFARIKI DUNIA KUTOKANA NA TETEMEKO LA ARDHI NCHINI NEPAL
![](http://4.bp.blogspot.com/-zu0u45hyMeQ/VTz8BF4KVEI/AAAAAAABMok/16Z-feAYE5k/s1600/9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-G0Humwl8ILA/VTz7-fccgeI/AAAAAAABMnw/51Irpc8KmUs/s1600/10.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EjaqjaCeOrE/VTz7-u87UlI/AAAAAAABMn4/k7Bx94Kr6Zw/s1600/11.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z2fxpwZuWF4/VTz7-nx_suI/AAAAAAABMn0/tJlHg4hTdIo/s1600/12.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jVIBFOlVhUE/VTuzdzg4GkI/AAAAAAAHTP8/mGDaTKS0QYo/s72-c/27F9E8A300000578-3055045-image-a-20_1429959005077.jpg)
BREAKING NYUZZZZ...: ZAIDI YA WATU 900 WADAIWA KUPOTEZA KWA TETEMEKO LA ARDHI NCHINI NEPAL
![](http://3.bp.blogspot.com/-jVIBFOlVhUE/VTuzdzg4GkI/AAAAAAAHTP8/mGDaTKS0QYo/s1600/27F9E8A300000578-3055045-image-a-20_1429959005077.jpg)
Taarifa zinadai kuna uharibifu katika maeneo ya nje ya kitovu cha tetemeko hilo lenye ukubwa wa kipimo cha richter cha 7.9 maili 50 kutoka Pokhara mji wa pili kwa ukubwa nchini Nepal.
Tetetemeko hilo la ardhi ni kubwa kabisa kuwahi kuikumba nchi hiyo katika kipindi cha miaka 81...
10 years ago
BBCSwahili12 May
Tetemeko lawaua watu 40 Nepal
Wakuu nchini Nepal sasa wamethibitisha kuwa idadi ya watu waliokufa kutokana na tetemeko jingine jipya lililotokea nchini humo, imepanda na kufikia zaidi ya watu 40
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iad4jOhX0Z3kUrcMmYL*nsVfzQerIFc76aK4YCgqU6QfWMpZYOSjYZ1d8iZOQNay0oO0InFATgS32i9e26gzWVrXs6oupULH/EarthQuake.jpg?width=650)
WATU 560 WAUAWA KWA TETEMEKO LA ARDHI NCHINI NEPAL
Majengo yaliyoporomoshwa kwa tetemeko la ardhi nchini Nepal. Majeruhi baada ya kuokolewa wakati wa tetemeko hilo. Tetemeko kubwa la ardhi limekumba eneo lililo Magharibi mwa Nepal karibu na Mji Mkuu wa Kathmandu .Maafisa wa polisi wamethibitisha kuwa zaidi ya watu 560 wamefariki dunia huku wengi wakiwa hawajulikani waliko na kwamba huenda idadi hiyo ikaongezeka. Shirika la utafiti la Marekani limesema kuwa tetemeko hilo la...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiL2SEa5P68oV85LSjbm-2tnUQJQPB77fOhZh29LcJJZqaPGpWqEofjKpNaakmt6g1S5lF4yPD2QOy5ReiSMGZY7/wananchi.jpg?width=650)
TETEMEKO LA ARDHI LAIKUMBA TENA NEPAL NA KUUA WATU WANNE
Wananchi wa Kathmandu wakiwa nje ya nyumba zao baada ya tetemeko la ardhi la leo. TETEMEKO kubwa la ardhi katika vipimo vya richa 7.3 limeitikisa tena nchi ya Nepal leo ikiwa ni takribani majuma mawili tangu tetemeko la awali lililoua zaidi ya watu 8000. Wafanyakazi huko New Delhi, India wakiwa nje ya ofisi zao baada ya kutokea tetemeko la leo. Watafiti wanasema kuwa kitovu cha tetemeko hilo kilikuwa katika Mji wa Namche...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MBWepqRiGa0/VT43vjPY-JI/AAAAAAAHTjo/bmg0KKHRxLo/s72-c/1.jpg)
IDADI YA WATU WALIOFARIKI DUNIA KWENYE TETEMEKO LA ARDHI NEPAL YAZIDI KUONGEZEKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-MBWepqRiGa0/VT43vjPY-JI/AAAAAAAHTjo/bmg0KKHRxLo/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BWqcKpOZBz4/VT43wEsk7OI/AAAAAAAHTjw/-GGFjblnPFE/s1600/2.jpg)
katika tetemeko la ardhi mjini Kathmand nchini Nepal.Kwa msaada wa mtandaoMAMLAKA ya nchini Nepal imesema kuwa zaidi ya watu 3300 wamesemekana kufairki dunia kutokana na Tetemeko kubwa la ardhi lililotokea jumamosi katika mji wa Kathmandu nchini humo.Waokoaji wanchi hiyo wamesema wanaendelea kuchunguza...
10 years ago
BBCSwahili07 May
Tetemeko la Nepal kabla na baada
Picha zinazoonyesha athari ya tetemeko lililokumba mji wa Kathmandu,Nepal pamoja na viunga vyake
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cBMpM1U1kDE/XoDwzP0xDYI/AAAAAAALlgM/pdlPChtE8AgihH2aLGOIVCNw_E5ydcytQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7a3c8b641331m6uv_800C450.jpg)
WHO: Zaidi ya watu 2,600 wameambukizwa virusi vya corona barani Afrika
![](https://1.bp.blogspot.com/-cBMpM1U1kDE/XoDwzP0xDYI/AAAAAAALlgM/pdlPChtE8AgihH2aLGOIVCNw_E5ydcytQCLcBGAsYHQ/s640/4bv7a3c8b641331m6uv_800C450.jpg)
Tedros Adhanom Ghebreyesus ameviambia vyombo vya habari kwamba, idadi ya watu walioambukizwa virusi vya corona barani Afrika imefikia 2,650 na kwamba wagonjwa wasiopungua 49 miongoni mwao wameaga dunia.
Katibu Mkuu wa Shirika la Afya Duniani amesema kuwa, shirika hilo liko tayari kuzisaidia nchi zote za Afrika na kuongeza kuwa: Nchi zenye mifumo dhaifu ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania