Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tetemeko la Nepal kabla na baada

Picha zinazoonyesha athari ya tetemeko lililokumba mji wa Kathmandu,Nepal pamoja na viunga vyake

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Tetemeko lawaua watu 40 Nepal

Wakuu nchini Nepal sasa wamethibitisha kuwa idadi ya watu waliokufa kutokana na tetemeko jingine jipya lililotokea nchini humo, imepanda na kufikia zaidi ya watu 40

 

10 years ago

BBCSwahili

Tetemeko kubwa la ardhi laikumba Nepal

Tetemeko kubwa la ardhi limekumba eneo lililo magharibi mwa Nepal.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tetemeko jipya Nepal laua watu 40

Tetemeko jipya lililotokea Nepal limeua zaidi ya watu 40.na helkopta ya kikosi cha majini ya Marekani,haijulikani iliko.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tetemeko kubwa latikisa Nepal tena

Tetemeko kubwa la ardhi limetikisa tena Nepal ,takriban majuma mawili tu tangu tetemeko lingine kubwa zaidi kusababisa vifo vya zaidi ya watu 8000.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tetemeko jingine lakumba mji wa Nepal

Kumeripotiwa tetemeko jingine lenye nguvu nchini Nepal siku moja baada ya tetemeko kubwa lililosabaisha vifo vya karibu watu 2000.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ni siku 100 tangu tetemeko litokee Nepal

Maelfu ya watu nchini Nepal bado wanaishi katika makao ya muda siku mia moja baada ya tetemeko kubwa kuikumba nchi hiyo

 

10 years ago

BBCSwahili

Tetemeko laua zaidi ya watu 3,600 Nepal

Watu zaidi ya 3,600 wameripotiwa kufa kutokana na tetemeko la ardhi nchini Nepal lililoikumba nchi hiyo Jumamosi

 

10 years ago

GPL

WATU 560 WAUAWA KWA TETEMEKO LA ARDHI NCHINI NEPAL

Majengo yaliyoporomoshwa kwa tetemeko la ardhi nchini Nepal. Majeruhi baada ya kuokolewa wakati wa tetemeko hilo. Tetemeko kubwa la ardhi limekumba eneo lililo Magharibi mwa Nepal karibu na Mji Mkuu wa Kathmandu .Maafisa wa polisi wamethibitisha kuwa zaidi ya watu 560 wamefariki dunia huku wengi wakiwa hawajulikani waliko na kwamba huenda idadi hiyo ikaongezeka. Shirika la utafiti la Marekani limesema kuwa tetemeko hilo la...

 

10 years ago

GPL

TETEMEKO LA ARDHI LAIKUMBA TENA NEPAL NA KUUA WATU WANNE

Wananchi wa Kathmandu wakiwa nje ya nyumba zao baada ya tetemeko la ardhi la leo. TETEMEKO kubwa la ardhi katika vipimo vya richa 7.3 limeitikisa tena nchi ya Nepal leo ikiwa ni takribani majuma mawili tangu tetemeko la awali lililoua zaidi ya watu 8000. Wafanyakazi huko New Delhi, India wakiwa nje ya ofisi zao baada ya kutokea tetemeko la leo. Watafiti wanasema kuwa kitovu cha tetemeko hilo kilikuwa katika Mji wa Namche...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani