Ni siku 100 tangu tetemeko litokee Nepal
Maelfu ya watu nchini Nepal bado wanaishi katika makao ya muda siku mia moja baada ya tetemeko kubwa kuikumba nchi hiyo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 May
Tetemeko lawaua watu 40 Nepal
Wakuu nchini Nepal sasa wamethibitisha kuwa idadi ya watu waliokufa kutokana na tetemeko jingine jipya lililotokea nchini humo, imepanda na kufikia zaidi ya watu 40
10 years ago
BBCSwahili07 May
Tetemeko la Nepal kabla na baada
Picha zinazoonyesha athari ya tetemeko lililokumba mji wa Kathmandu,Nepal pamoja na viunga vyake
10 years ago
BBCSwahili12 May
Tetemeko jipya Nepal laua watu 40
Tetemeko jipya lililotokea Nepal limeua zaidi ya watu 40.na helkopta ya kikosi cha majini ya Marekani,haijulikani iliko.
10 years ago
BBCSwahili12 May
Tetemeko kubwa latikisa Nepal tena
Tetemeko kubwa la ardhi limetikisa tena Nepal ,takriban majuma mawili tu tangu tetemeko lingine kubwa zaidi kusababisa vifo vya zaidi ya watu 8000.
10 years ago
BBCSwahili26 Apr
Tetemeko jingine lakumba mji wa Nepal
Kumeripotiwa tetemeko jingine lenye nguvu nchini Nepal siku moja baada ya tetemeko kubwa lililosabaisha vifo vya karibu watu 2000.
10 years ago
BBCSwahili25 Apr
Tetemeko kubwa la ardhi laikumba Nepal
Tetemeko kubwa la ardhi limekumba eneo lililo magharibi mwa Nepal.
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Tetemeko laua zaidi ya watu 3,600 Nepal
Watu zaidi ya 3,600 wameripotiwa kufa kutokana na tetemeko la ardhi nchini Nepal lililoikumba nchi hiyo Jumamosi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iad4jOhX0Z3kUrcMmYL*nsVfzQerIFc76aK4YCgqU6QfWMpZYOSjYZ1d8iZOQNay0oO0InFATgS32i9e26gzWVrXs6oupULH/EarthQuake.jpg?width=650)
WATU 560 WAUAWA KWA TETEMEKO LA ARDHI NCHINI NEPAL
Majengo yaliyoporomoshwa kwa tetemeko la ardhi nchini Nepal. Majeruhi baada ya kuokolewa wakati wa tetemeko hilo. Tetemeko kubwa la ardhi limekumba eneo lililo Magharibi mwa Nepal karibu na Mji Mkuu wa Kathmandu .Maafisa wa polisi wamethibitisha kuwa zaidi ya watu 560 wamefariki dunia huku wengi wakiwa hawajulikani waliko na kwamba huenda idadi hiyo ikaongezeka. Shirika la utafiti la Marekani limesema kuwa tetemeko hilo la...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiL2SEa5P68oV85LSjbm-2tnUQJQPB77fOhZh29LcJJZqaPGpWqEofjKpNaakmt6g1S5lF4yPD2QOy5ReiSMGZY7/wananchi.jpg?width=650)
TETEMEKO LA ARDHI LAIKUMBA TENA NEPAL NA KUUA WATU WANNE
Wananchi wa Kathmandu wakiwa nje ya nyumba zao baada ya tetemeko la ardhi la leo. TETEMEKO kubwa la ardhi katika vipimo vya richa 7.3 limeitikisa tena nchi ya Nepal leo ikiwa ni takribani majuma mawili tangu tetemeko la awali lililoua zaidi ya watu 8000. Wafanyakazi huko New Delhi, India wakiwa nje ya ofisi zao baada ya kutokea tetemeko la leo. Watafiti wanasema kuwa kitovu cha tetemeko hilo kilikuwa katika Mji wa Namche...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania