Janga:Bodaboda zinaua watatu kila siku nchini
Licha ya kutoa ajira kwa maelfu ya vijana wa Kitanzania na pia kupunguza tatizo la usafiri mijini litokanalo na foleni, usafiri wa pikipiki maarufu kama 'bodaboda' umeendelea kuua watu kimyakimya na kuwasababishia ulemavu wa kudumu maelfu ya manusura wa ajali za vyombo hivyo kila uchao.
Uchunguzi uliofanywa na NIPASHE umebaini kuwa mbali na vifo na ulemavu, bodaboda zimeathiri pia utoaji wa huduma katika hospitali zinazopokea majeruhi wa vyombo hivyo, kwani wodi zimefurika kupita kiasi na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Tumwogope Mungu kwa matendo yetu kila siku na kila wakati!
11 years ago
Habarileo15 Jun
Madereva wa bodaboda watatu wafa kwa ajali
MADEREVA watatu wa bodaboda wamekufa katika matukio matatu tofauti yaliyohusisha ajali za barabarani.
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Kutembea kwa dakika 20 kila siku, huongeza siku za kuishi
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
MOI : Bodaboda huumiza vichwa watu 600 kila mwezi
TAASISI ya Tiba ya Mifupa Muhimbili( MOI), imesema kwa mwezi inapokea wagonjwa 600 walioumia vichwa kutokana na ajali za Pikipiki. Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam jana,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VPg5mfbP4jM/VItKivkz9nI/AAAAAAAG220/wW-lycZGS0k/s72-c/bunj.jpg)
shangingi lapigwa kiberiti baada ya kugonga na kuuwa madereva watatu wa bodaboda jijini Dar es salaam leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-VPg5mfbP4jM/VItKivkz9nI/AAAAAAAG220/wW-lycZGS0k/s1600/bunj.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ev5cfhE_-wM/VItLDUP3eRI/AAAAAAAG23A/CbdTrISMjfk/s1600/bunju%2B2.png)
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Kiswahili na janga la matumizi yake nchini
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Ndoa za utotoni bado ni janga nchini
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Viongozi wa michezo nchini ‘janga la Taifa’
10 years ago
Habarileo12 May
Ajifungua watatu, siku 3 hospitali 2
MKAZI wa kijiji cha Kisalala, Kata ya Laela wilayani Sumbawanga katika mkoa wa Rukwa, Lydia Shazi (29) amejifungua watoto watatu wote wa kiume kwa siku tofauti na hospitali mbili tofauti.