Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiswahili na janga la matumizi yake nchini

Hivi karibuni, nilikuwa nafuatilia kipindi cha ‘Lulu za Kiswahili’, kinachoendeshwa na kituo cha televisheni cha Taifa (TBC1).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Matumizi ya Kiswahili sanifu

Katika makala zangu zilizotangulia, nilijikita zaidi katika makosa yanayojitokeza katika magazeti ya Kiswahili ya kila siku. Baadhi ya waandishi wanaosoma makala zangu  wamefanikiwa kuepuka makosa waliozoea kufanya. Ni matumaini yangu kuwa na wewe msomaji wangu mgeni, unatakiwa kuwa na moyo wa kupenda kujiendeleza  ili ujiimarishe na kushamiri zaidi na uwe mfano wa kuigwa

 

9 years ago

Mwananchi

Matumizi sahihi ya Kiswahili

Ni kawaida kwa mwandishi kuandika makala zake ili kuielimisha, kuiburudisha au kuielekeza jamii  kwa lengo la kuleta mabadiliko. Ili kumwezesha kutekeleza jukumu hili kwa usahihi, mwandishi anapaswa kutumia lugha rahisi na inayozingatia misingi ya sarufi na fasihi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Matumizi ya Kiswahili kufundisha Tanzania

Mwezi uliopita, Tanzania ilitangaza mipango mipya ya kuimarisha upya mfumo wa elimu.

 

5 years ago

Michuzi

Serikali yasisitiza matumizi sahihi ya Kiswahili


Na Eleuteri Mangi, WHUSM, Dodoma.

Katika hali ya kawaida herufi huunda neno na maneno huunda sentensi nayo sentensi huunda kikundi cha maneno. Kwa kawaida neno ni tamko mojawapo miongoni mwa mengi ambalo mtu hulitamka katika mchakato wa mazungumzo unaopelekea iwepo misemo ambayo ni fungu la maneno yenye maana mahususi ili kutoa fundisho kwa jamii.

Kwa mantiki hiyo, semi ni maneno yanayozungumzwa na watu yanayoleta maana mahususi katika lugha inayozungumzwa katika eneo fulani. Kiswahili ikiwa...

 

9 years ago

StarTV

Matumizi Ya Kiswahili ZINDUKA yataka kitumike kwenye mijadala Afrika Mashariki

 

Jumuiko la makundi mbalimbali ya kijamii kutoka nchi za Afrika Mashariki kupitia umoja wao unaojulikana kama “ZINDUKA”,limekuja na mapendekezo ya kutaka matumizi rasmi ya lugha ya Kiswahili, katika mijadala na mikutano yote ya jumuiya ya Afrika mashariki.

Katika uwasilishwaji wa mapendekezo kutoka katika kusanyiko hilo la “ZINDUKA” lililokuwa likifanyika Jijini Arusha, ni kwamba Kiswahili hakijapewa uzito unaostahili ndani ya Afrika Mashariki.

Mmoja wa wasilishaji wa mapendekezo hayo...

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wa michezo nchini ‘janga la Taifa’

Wakati wa utawala wa Baba wa Taifa, Marehemu Julius Kambarage Nyerere, Tanzania iliingia kwenye rekodi ya mataifa tishio barani Afrika katika michezo.

 

10 years ago

Mwananchi

Ndoa za utotoni bado ni janga nchini

Wakati watoto wenzake wakijiandaa kwenda shule asubuhi, Julian Marwa (14) mkazi wa Kijiji cha Nyamwaga wilayani Tarime, Mara, yuko nyumbani akiandaa chai kwa ajili ya mume wake ambaye ni mtu mzima wa miaka 45.

 

10 years ago

Vijimambo

Janga:Bodaboda zinaua watatu kila siku nchini

Licha ya kutoa ajira kwa maelfu ya vijana wa Kitanzania na pia kupunguza tatizo la usafiri mijini litokanalo na foleni, usafiri wa pikipiki maarufu kama 'bodaboda' umeendelea kuua watu kimyakimya na kuwasababishia ulemavu wa kudumu maelfu ya manusura wa ajali za vyombo hivyo kila uchao.

Uchunguzi uliofanywa na NIPASHE umebaini kuwa mbali na vifo na ulemavu, bodaboda zimeathiri pia utoaji wa huduma katika hospitali zinazopokea majeruhi wa vyombo hivyo, kwani wodi zimefurika kupita kiasi na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Benki ya HSBC kupunguza matumizi yake

Mojawepo ya benki kubwa zaidi duniani ya HSBC imetangaza taratibu ya kutekeleza zoezi la kupunguza matumizi yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani