Kiswahili na janga la matumizi yake nchini
Hivi karibuni, nilikuwa nafuatilia kipindi cha ‘Lulu za Kiswahili’, kinachoendeshwa na kituo cha televisheni cha Taifa (TBC1).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi02 Nov
Matumizi ya Kiswahili sanifu
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Matumizi sahihi ya Kiswahili
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Matumizi ya Kiswahili kufundisha Tanzania
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gFubjzDw5Xg/Xk_jUGanFzI/AAAAAAALesU/yHUPLq7wlh0DDYM5EBg5AavvKaHueFn2QCLcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
Serikali yasisitiza matumizi sahihi ya Kiswahili
Na Eleuteri Mangi, WHUSM, Dodoma.
Katika hali ya kawaida herufi huunda neno na maneno huunda sentensi nayo sentensi huunda kikundi cha maneno. Kwa kawaida neno ni tamko mojawapo miongoni mwa mengi ambalo mtu hulitamka katika mchakato wa mazungumzo unaopelekea iwepo misemo ambayo ni fungu la maneno yenye maana mahususi ili kutoa fundisho kwa jamii.
Kwa mantiki hiyo, semi ni maneno yanayozungumzwa na watu yanayoleta maana mahususi katika lugha inayozungumzwa katika eneo fulani. Kiswahili ikiwa...
9 years ago
StarTV30 Nov
Matumizi Ya Kiswahili ZINDUKA yataka kitumike kwenye mijadala Afrika Mashariki
Jumuiko la makundi mbalimbali ya kijamii kutoka nchi za Afrika Mashariki kupitia umoja wao unaojulikana kama “ZINDUKA”,limekuja na mapendekezo ya kutaka matumizi rasmi ya lugha ya Kiswahili, katika mijadala na mikutano yote ya jumuiya ya Afrika mashariki.
Katika uwasilishwaji wa mapendekezo kutoka katika kusanyiko hilo la “ZINDUKA” lililokuwa likifanyika Jijini Arusha, ni kwamba Kiswahili hakijapewa uzito unaostahili ndani ya Afrika Mashariki.
Mmoja wa wasilishaji wa mapendekezo hayo...
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Viongozi wa michezo nchini ‘janga la Taifa’
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Ndoa za utotoni bado ni janga nchini
10 years ago
Vijimambo04 Nov
Janga:Bodaboda zinaua watatu kila siku nchini
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Ajali-November4-2014.jpg)
Uchunguzi uliofanywa na NIPASHE umebaini kuwa mbali na vifo na ulemavu, bodaboda zimeathiri pia utoaji wa huduma katika hospitali zinazopokea majeruhi wa vyombo hivyo, kwani wodi zimefurika kupita kiasi na...
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Benki ya HSBC kupunguza matumizi yake