Matumizi sahihi ya Kiswahili
Ni kawaida kwa mwandishi kuandika makala zake ili kuielimisha, kuiburudisha au kuielekeza jamii kwa lengo la kuleta mabadiliko. Ili kumwezesha kutekeleza jukumu hili kwa usahihi, mwandishi anapaswa kutumia lugha rahisi na inayozingatia misingi ya sarufi na fasihi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gFubjzDw5Xg/Xk_jUGanFzI/AAAAAAALesU/yHUPLq7wlh0DDYM5EBg5AavvKaHueFn2QCLcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
Serikali yasisitiza matumizi sahihi ya Kiswahili
Na Eleuteri Mangi, WHUSM, Dodoma.
Katika hali ya kawaida herufi huunda neno na maneno huunda sentensi nayo sentensi huunda kikundi cha maneno. Kwa kawaida neno ni tamko mojawapo miongoni mwa mengi ambalo mtu hulitamka katika mchakato wa mazungumzo unaopelekea iwepo misemo ambayo ni fungu la maneno yenye maana mahususi ili kutoa fundisho kwa jamii.
Kwa mantiki hiyo, semi ni maneno yanayozungumzwa na watu yanayoleta maana mahususi katika lugha inayozungumzwa katika eneo fulani. Kiswahili ikiwa...
10 years ago
Habarileo28 Nov
Asisitiza matumizi ya takwimu sahihi
WATANZANIA wametakiwa kutumia takwimu sahihi kuanzia ngazi ya vijiji kwa lengo la kutathmini mipango ya maendeleo huku wakionywa kutotumia takwimu zisizo sahihi kwani zitasababisha matokeo yasiyo sahihi na kuathiri jamii.
10 years ago
Habarileo20 Mar
‘Elimisheni jamii matumizi sahihi ya maji’
MAMLAKA za majisafi na usafi wa mazingira nchini zimetakiwa kutumia maadhimisho ya Wiki ya Maji kuelimisha watumiaji wa huduma hizo matumizi sahihi ya maji kukabili ongezeko la Ankara za maji.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LQF_AnDlAkQ/VOYTPzihe0I/AAAAAAAHEmw/4T8Qy0s3cdo/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
SERIKALI YASISITIZA MATUMIZI YA TAKWIMU SAHIHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-LQF_AnDlAkQ/VOYTPzihe0I/AAAAAAAHEmw/4T8Qy0s3cdo/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-27x6KcTgjRg/VOYTPCei3wI/AAAAAAAHEms/TEZMvGCtRpk/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
Serikali yasisitiza matumizi ya takwimu sahihi
Kaimu Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Ofisi Bw. Michael Madembwe akizungumza na wazalishaji na watumiaji wa takwimu leo jijini Dar es salaam. Warsha hiyo imewakutanisha wadau hao kutoka maeneo mbalimbali nchini, kubadilishana uzoefu na kuangalia changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika usambazaji na ukusanyaji wa takwimu nchini.
Na Aron Msigwa
SERIKALI imetoa wito kwa watafiti na wataalam kutoka vyuo vikuu, taasisi za elimu na mashirika binafsi kushiriki kikamilifu kuhamasisha jamii...
11 years ago
Michuzi16 Jul
Mafundisho: Matumizi sahihi ya Facebook kwa Wafanyabiashara
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/uhI4RXBiuKKeG9gM2jJYYBpKuJqKIsvUDPeg2aov2MqB8CvJmQNwDcfg-F8XBXtxuQnzxep0nd9a-sL2ww0LOktoFwMRsaK1SbPAMpvaBL9mNrK2UnwBvpbMXKHg=s0-d-e1-ft#http://www.dudumizi.com/images/Facebook-for-Small-Business-dudumizi.jpg)
Kwa kulitambua hilo, Dudumizi Technologies LTD inakuletea mafunzo juu ya njia na namna sahihi za kutumia Facebook kukuza na kuboresha Biashara.
Mafunzo haya yatakuwa ya wiki mbili, bila kukuchosha (tukitambua muda ni kitu muhimu kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeLMmnFDcZSVyJywUp2KfKp6fZACYUib7gofOJ9VodKxQHoyrc342XfjyvP3n9xMhsPCw7tjctc93x6JKGGolVdF/CHEKANAKITIME.jpg?width=650)
MATUMIZI SAHIHI YA SIMU KWA WENYE MICHEPUKO
10 years ago
GPLWASANII WASISITIZWA MATUMIZI SAHIHI YA MITANDAO YA KIJAMII
9 years ago
GPLMWANASHERIA WA WIZARA YA MAWASILIANO ASISITIZA MATUMIZI SAHIHI YA MITANDAO