Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MOI yafurika majeruhi ajali za bodaboda

TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI) imesema imekuwa ikipokea asilimia kubwa ya wagonjwa walioumia vichwa na migongo, kutokana na ajali zinazosababishwa na pikipiki.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MOI: Hatuwakati miguu majeruhi


Kwa muda mrefu sasa, umekuwepo uvumi kwamba Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili(MOI), imekuwa ikiwakata viungo majeruhi wa ajali za bodaboda hasa madereva kama njia ya kuwakomesha.

Tuhuma hizo ambazo zimekanushwa vikali na taasisi hiyo, zilidai kuwa kutokana na majeruhi wa pikipiki kuongezeka, madaktari huamua kuwakata viungo kama miguu.

Matokeo yake, ikadaiwa kuwa baadhi ya ndugu na jamaa wa majeruhi hao huamua kuwapeleka majeruhi katika hospitali binafsi.
Hata hivyo, taasisi hiyo ilisema...

 

9 years ago

Mwananchi

Majeruhi wa bodaboda wajaza wodi Muhimbili

Kuongezeka kwa majeruhi wa ajali za bodaboda kumeifanya Taasisi ya Mifupa Muhimbili (Moi), kuzidiwa na wagonjwa hadi kulazimika kuwalaza wengine sakafuni.

 

10 years ago

Tanzania Daima

MOI : Bodaboda huumiza vichwa watu 600 kila mwezi

TAASISI ya Tiba ya Mifupa Muhimbili( MOI), imesema kwa mwezi inapokea wagonjwa 600 walioumia vichwa kutokana na ajali za Pikipiki. Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam jana,...

 

11 years ago

Mwananchi

Majeruhi asimulia chanzo cha ajali

Majeruhi wa basi la Burudani lililouwa watu 12 na kujeruhi wengine 93 katika Kijiji cha Taula, Kwedizinga wilayani Handeni, Tanga, wamesema chanzo cha ajali hiyo ni dereva kuendesha mwendo kasi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Majeruhi ajali ya basi na treni wasaidiwa

SERIKALI ya Mkoa wa Morogoro na wadau wengineo wametoa misaada mbalimbali zikiwemo fedha tasilimu kwa majeruhi wa ajali ya basi kugonga treni wanaotibiwa hospitali ya Mt. Francis wilayani hapa. Katika...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Balozi Seif awafariji majeruhi wa ajali ya gari

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi akimfariji Said Ali Juma mkazi wa Sogea, Unguja aliyelazwa chumba cha wagonjwa mahututi katika Hospitali ya Mnazimmoja, aliyepata ajali ya gari wakati akirejea kwenye mkutano […]

The post Balozi Seif awafariji majeruhi wa ajali ya gari appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Waliokufa, majeruhi ajali ya basi waanza kutambuliwa


NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
MAITI mbili kati ya nne za ajali ya basi la kampuni ya Air Bus iliyotokea juzi wilayani Gairo, zimetambuliwa.
Basi hilo lilipata ajali likiwa safarini kutoka Dar es Salaam kwenda Tabora.
Aidha, majeruhi 30 wa ajali hiyo bado wamelazwa katika hospitali za Berega na ya rufani ya mkoa wa Morogoro, wakipatiwa matibabu.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paul,  alisema jana ofisini kwake mjini hapa kuwa waliotambuliwa ni Amina Rashid (50), mkulima na mkazi wa...

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA MAJERUHI KATIKA AJALI YA BASI LA BURUDANI, KOROGWE

Hospitali ya wilaya ya Korogwe. Majeruhi wakipatiwa matibabu. Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo ( kushoto)…

 

11 years ago

GPL

PICHA ZA KWANZA ZA MAJERUHI KATIKA AJALI YA MAREHEMU TYSON

Mmoja wa majeruhi katika ajali, Gladis Chiduo 'Mc Ze Pompapomba'akiwa chini ya uangalizi wa nesi katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Morogoro akipatiwa matibabu. Gladis Chiduo 'Mc Ze Pompapomba' akiwa amepumzika baada ya kupatiwa matibabu. (…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani