Matonya: Sasa hivi kila mwezi na ngoma mpya
Matonya hataki tena kukaa kimya muda mrefu bila kuachia wimbo mpya. Sasa amepanga kuachia ngoma kila mwezi. Akiongea na E-News ya EATV msanii huyo amesema amesikia kilio cha mashabiki wake kuwa wanamiss kazi zake. “Sasa hivi nipo kikazi zaidi, mwanzo nilikuwa nimetingwa na majukumu binafsi na shughuli za hapa na pale,” alisema. “Nashukuru sasa hivi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo518 Dec
Cyrill adai video na ngoma kali sio kila kitu kwa muziki wa sasa

Staa wa muziki Cyrill Kamikaze, amesema muziki wa sasa sio tu kufanya video kali na ngoma kali ili uweze kutoboa, bali unahitaji kutumia ubunifu zaidi kukidhi viwango vyenye ubora na kufikia soko la kimataifa.
Rapper huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Afica Radio kuwa watu wengi wanafikiri ukiwa na video nzuri ndio unafanikiwa.
“Unaweza ukawa na video kali halafu usihit, muziki ni zaidi ya chupa kali, ukirudishwa miaka fulani nyuma, ngoma kali ndio ilikuwa inahit, lakini sasa...
10 years ago
Vijimambo
HAPO SASA MPAKA KIELEWEKE NGOMA UWANJANI KILA MTU NA KAULI MBIU YAKE KICHWANI

10 years ago
CloudsFM06 Mar
Tundaman,Matonya wamaliza ‘bifu’,kufanya ngoma pamoja.
Ndipo Husna alipomuuliza kuwa kama akitokea Matonya kwa muda huo...
11 years ago
Michuzi.jpg)
TAHADHARI: AINA MPYA YA UHALIFU MTANDAO INAYO ENDELEA KUKUA KWA KASI HIVI SASA.
.jpg)
10 years ago
Bongo512 Mar
Matonya ataja sababu za kwanini ngoma zake hazihit kama zamani
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Kila mwamba ngoma akivutia kwake, mwisho ngoma hupasuka
11 years ago
Michuzi25 Jul
10 years ago
Bongo Movies01 May