Usisubiri, muda wa kujiletea mabadiliko ni sasa
WATU wengi katika maisha wanasubiri muda fulani mambo yatatulia na watapata yale wanayoyataka, lakini ni vema ukatambua kuwa muda huo uliokuwa unausubiri ni sasa. ’The right time is now’ muda...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziFANYENI KAZI KWA BIDII ILI MUWEZE KUJILETEA MABADILIKO YA KWELI KATIKA MAISHA YENU - MAMA SALMA KIKWETE
Rai hiyo imetolewa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwa nyakati tofauti na wananchi wa vijiji vya Ngunichile na Mbaya vilivyopo katika majimbo ya Nachingwea na Liwale (Pichni)waliohudhuria mkutano wa kampeni ya kuwanadi wagombea wa...
10 years ago
Bongo Movies25 Sep
Sasa nipo teyari kuolewa- Jackline Wolper, Naamini kabisa huu sasa ni muda muafaka kwangu
Star wa filamu nchini Jackline Wolper amesema kuwa kwasasa yupo tayari kuolewa baada ya kupitia mambo mengi zikiwemo starehe za ujana ambazo wengi wanaokuwa kwenye ndoa huzikimbilia na kuvunja ndoa zao kwa kuwa hawakuzifanya kipindi wapo nje ya ndoa.
"Naamini kabisa huu sasa ni muda muafaka kwangu, niko tayari kabisa kuwa mke nimepitia vitu vingi ambavyo mara nyingi wengi wao huwa wanakimbilia kwenye ndoa wakiwa bado hawajavimaliza halafu mwisho wa siku wanazishindwa, mimi nishamaliza...
10 years ago
BBCSwahili21 Jul
Mabadiliko ya muda wa kulala na saratani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLac8fS4dnyWkMCiXPbjfpc1Q4SDhQzq5H-VBmZMCllMhtA7w*jfdoUIzA1YCngSr8ymz9LOOwqqJZ4XW9zPVJvmX/ijumaafrontcopy.gif?width=650)
DIAMOND MWANANGU USISUBIRI NIFE!
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Mabadiliko sasa kuhamia CCM, bungeni
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Nchi inataka mabadiliko makubwa sasa!
RAIS wangu, sauti zinasikia kutoka kila kona ya nchi yetu, wananchi wanataka Tanzania waitakayo! Ni Tanzania ipi hiyo? Tuliyomo siyo Tanzania waitakayo. Wanadai mabadiliko sisi tungali uongozini. Je, tumewakinai na...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kh-uagKDtoM/U9uwkQ0md0I/AAAAAAAF8Rc/xX4hVH3C2Kk/s72-c/Screen+Shot+2014-08-01+at+6.20.22+PM.png)
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/92d27__wolper2bongoclan.co_.tz_.jpg)
WOLPER: MIMI NI FREEMASON KWA MUDA MREFU SASA!
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PoMEocBZxSA/Vlw-E2GTObI/AAAAAAAIJMw/7MhTJ9H_U2c/s72-c/Amb%2BMark%2BBradley%2BChildress.jpg)
Azma ya kuwa na kizazi kisicho na UKIMWI, muda wa vitendo ni sasa
![](http://4.bp.blogspot.com/-PoMEocBZxSA/Vlw-E2GTObI/AAAAAAAIJMw/7MhTJ9H_U2c/s400/Amb%2BMark%2BBradley%2BChildress.jpg)
Mwaka mmoja uliopita wakati wa maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani, niliandika makala kuhusu jitihada za kuwa na kizazi kisicho na UKIMWI nchini Tanzania. Toka wakati huo, kwa pamoja tumepiga hatua muhimu kuelekea katika kufikia azma hiyo, tukielekeza rasilimali na shughuli zetu kwenye maeneo yenye mahitaji zaidi nchini kote. Hata hivyo, bado tunahitajika kuongeza nguvu na kufanya zaidi. Bila ya kuongeza kasi...