Sasa nipo teyari kuolewa- Jackline Wolper, Naamini kabisa huu sasa ni muda muafaka kwangu
Star wa filamu nchini Jackline Wolper amesema kuwa kwasasa yupo tayari kuolewa baada ya kupitia mambo mengi zikiwemo starehe za ujana ambazo wengi wanaokuwa kwenye ndoa huzikimbilia na kuvunja ndoa zao kwa kuwa hawakuzifanya kipindi wapo nje ya ndoa.
"Naamini kabisa huu sasa ni muda muafaka kwangu, niko tayari kabisa kuwa mke nimepitia vitu vingi ambavyo mara nyingi wengi wao huwa wanakimbilia kwenye ndoa wakiwa bado hawajavimaliza halafu mwisho wa siku wanazishindwa, mimi nishamaliza...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/92d27__wolper2bongoclan.co_.tz_.jpg)
WOLPER: MIMI NI FREEMASON KWA MUDA MREFU SASA!
9 years ago
Bongo Movies28 Aug
Uchaguzi 2015: Jackline Wolper Atangaza Kujiita ‘Jackline Lowassa’
Mastaa wa Bongo Movies, Jackline Wolper , Aunt Ezekiel na Shamsa Ford ambao wamekuwa wakimuunga mkono mgombea urasi wa UKAWA kupitia tiketi ya CHADEMA, Mh Edward Lowassa siku ya jana kwenye Mkutano wa Edward Lowassa na wanawake wa Dar es salaam kwenye ukumbi wa Millenium Tower, mbali na kuelezea kumuunga mkono mgombea huyo mastaa kumzawadia keki ya ‘Birthday’ ya kutimiza 62 ya kuzaliwa ya mgombea huyo.
Akiongea kwenye mkutano huo wolper alitangaza kuanzia jana atakuwa akiitwa Jackline...
9 years ago
Bongo510 Sep
Nacheka lakini sina furaha ila najua kabisa mpango wao kwangu ni kuniua kabisa nipotee — Ray C
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/davidooo.jpg?width=650)
DAVIDO: FILAMU SASA, MWIKO KWANGU!
10 years ago
Vijimambo13 Aug
DIAMOND SASA NIPO TAYARI KWA KIFO
![diamond mtoto](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/diamond-mtoto.png)
SIKU chache baada ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kupata binti na kumwita Latifah ‘Princess Tiffah’ na kuanza maisha mapya ya familia na mzazi mwenzake, Zarina Hassan ‘Zari’, nyota huyo anadaiwa kutoa ya moyoni kwa kusema kuwa sasa yupo tayari kwa kifo kwa vile ndoto yake kubwa ya kupata mtoto imekamilika na ana chata duniani.
KWANZA ANAMSHUKURU MUNGU
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JSct6ft9ycQ58e7sfU6Wzc4FxdWK7QvEfECX11g0Hh1DB47NnEdRDGCLsGKqS17rm1b*Z0RfMAZzuGweEYwuf3OtrUr6iXc5/rayc.jpg)
RAY C SASA ATAKA KUOLEWA NA MZEE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJPe*sjJcD37vWMe2zjrAo8eNqUpayJ2BXmlJ-OaM6CEFY9z0DN2CYLbCTPHgK6inUcrEFJ3CTqJm5GbirfsG9cP/WEWE8.jpg)
RAY: CHUCHU SASA NDO’ KILA KITU KWANGU
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-HeSlbMXlufc/Uk5ty-n3L6I/AAAAAAAARkk/OIdiGsNNJZA/s1600/547046_609881675729852_144418486_n.jpg?width=650)
KOLETA SASA NIPO TAYARI KUZAA BILA NDOA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2cgQuBR1Coip7hBoo2e1jhD0LPcTw9hpoYuuQmy0AfFgoqQ-sqyqRrZRHVXa6xL1eWpyJMXtB-mAvzjxICtHfCiigOBz7Oou/ORIGINALKOPA.jpg)
KHADIJA KOPA SASA YUPO TAYARI KUOLEWA TENA