DAVIDO: FILAMU SASA, MWIKO KWANGU!
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/davidooo.jpg?width=650)
Lagos, Nigeria STAA wa Pop nchini Nigeria anayetamba na Wimbo wa Dodo, Davido, ameweka wazi msimamo wake wa kutotaka kuigiza filamu tena. Hivi karibuni staa huyo aliweka historia mpya ya kufanya vizuri kwenye moja ya filamu za Nigeria Nollywood aliyoigiza yenye jina la John Zerebe ikiandaliwa na binamu yake, Ikey Ojeogwu, Davido amesema kuwa, John Zerebe itakuwa ndiyo filamu yake ya kwanza na ya mwisho kwake kuigiza. Ameongeza...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aMLkUWs6eSPnDsn4EIUsFAuIAsBuHazjbTbcIiJ6l9BVVp5JJo*UBKkjtFBnUmM-i5JE*sRaCmlXQH896adAQBH27hWt4cRX/wpiddavidohishkncrewflyprivatejettokenyainstyle31.jpg?width=650)
DAVIDO: SUALA LA KUOA SI LA KIPAUMBELE KWANGU
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Filamu ya ‘Mwiko’ yanukia sokoni
MUVI mpya ya kitanzania inayokwenda kwa jina la ‘Mwiko’ inatarajiwa kuingia sokoni mwanzoni mwa mwezi ujao, ikiwa imekusanya nyota kibao wanaotikisa katika tasnia hiyo. Mkurugenzi wa OJM Film Company, Omary...
10 years ago
Bongo Movies25 Sep
Sasa nipo teyari kuolewa- Jackline Wolper, Naamini kabisa huu sasa ni muda muafaka kwangu
Star wa filamu nchini Jackline Wolper amesema kuwa kwasasa yupo tayari kuolewa baada ya kupitia mambo mengi zikiwemo starehe za ujana ambazo wengi wanaokuwa kwenye ndoa huzikimbilia na kuvunja ndoa zao kwa kuwa hawakuzifanya kipindi wapo nje ya ndoa.
"Naamini kabisa huu sasa ni muda muafaka kwangu, niko tayari kabisa kuwa mke nimepitia vitu vingi ambavyo mara nyingi wengi wao huwa wanakimbilia kwenye ndoa wakiwa bado hawajavimaliza halafu mwisho wa siku wanazishindwa, mimi nishamaliza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJPe*sjJcD37vWMe2zjrAo8eNqUpayJ2BXmlJ-OaM6CEFY9z0DN2CYLbCTPHgK6inUcrEFJ3CTqJm5GbirfsG9cP/WEWE8.jpg)
RAY: CHUCHU SASA NDO’ KILA KITU KWANGU
10 years ago
CloudsFM23 Jan
SHAMSA FORD:FILAMU YA ‘I HATE MY WIFE’ ILIKUWA NI NGUMU SANA KWANGU KUIGIZA,KWA SABABU YA KUIGIZA KICHAWI.
Msanii wa filamu za Kibongo,Shemsa Ford amefunguka kati ya filamu iliyompa wakati mgumu wakiwa ‘’location’ ni filamu ya I hate my wife kwani aliigiza kama mke mchawi anayemroga mumewe.
’Yaani kati ya filamu iliyonipa wakati mgumu kuigiza ni wakati naigiza filamu ya I hate my wife kutokana na kuigiza kama mchawi mshabiki walijua kuwa ndiyo tabia yangu lakini pia kuvaa uhusika wa kiuchawi ni ngumu sana’’alisema Shemsa Ford.
9 years ago
Bongo513 Oct
Davido aigiza kwa mara ya kwanza kwenye filamu mpya ya Nollywood, tazama Trailer
9 years ago
Bongo528 Sep
Davido asema hana mpango kabisa wa kuoa kwa sasa
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FQTe2HT0CeI/VOGO12m-tWI/AAAAAAAHD50/7I8CrNUdSh0/s72-c/unnamed%2B(62).jpg)
FILAMU YA C.P.U IPO SOKONI SASA
![](http://1.bp.blogspot.com/-FQTe2HT0CeI/VOGO12m-tWI/AAAAAAAHD50/7I8CrNUdSh0/s1600/unnamed%2B(62).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uBgfvgBC9Zs/VOGO1zhWmqI/AAAAAAAHD5w/XEl3qI0BdOU/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
Sinema...
9 years ago
Bongo512 Nov
Davido Exposed: Tazama video 5 za Davido ambazo hakuwahi kuzitoa
![davido A](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/davido-A-300x194.jpg)
Mwezi uliopita kituo cha MTV Base kilimfanyia mahojiano staa wa Nigeria, Davido kwenye kipindi maalum kilichopewa jina la ‘Davido Exposed’, ambapo alitambulisha video 5 ambazo hakuwahi kuzitoa. Video hizo ni za nyimbo za kwenye album yake ya kwanza ‘O.B.O’.
Kama kipindi hicho kilikupita kupitia MTV Base hii ni nafasi yako nyingine ya kukitazama na kuziona video 5 za Davido ambazo hakuzitoa. Pia amezungumzia mambo mengine ikiwemo album yake mpya ambayo kwa sasa ameisogeza mpaka...