DAVIDO: SUALA LA KUOA SI LA KIPAUMBELE KWANGU
![](http://api.ning.com:80/files/aMLkUWs6eSPnDsn4EIUsFAuIAsBuHazjbTbcIiJ6l9BVVp5JJo*UBKkjtFBnUmM-i5JE*sRaCmlXQH896adAQBH27hWt4cRX/wpiddavidohishkncrewflyprivatejettokenyainstyle31.jpg?width=650)
Mwanamuziki maarufu wa Nigeria, David Adeleke. MWANAMUZIKI maarufu kijana wa Nigeria, David Adeleke ajulikanaye zaidi kama Davido, amesema hana haraka ya kuoa hivi sasa ambapo nadhari yake ameielekeza kwenye tasnia ya muziki ambayo ndiyo inampa riziki yake na kwamba hataki kujifungia katika ‘sanduku’ na ndoa. Davido aliyesema hayo hivi karibuni katika mahojiano na gazeti la Punch ambapo aliweka wazi kwamba bado...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/davidooo.jpg?width=650)
DAVIDO: FILAMU SASA, MWIKO KWANGU!
9 years ago
Bongo528 Sep
Davido asema hana mpango kabisa wa kuoa kwa sasa
10 years ago
Bongo511 Dec
Huu ni ushauri wa Chidi Benz kuhusiana na suala la Diamond na Davido
9 years ago
Bongo512 Nov
Davido Exposed: Tazama video 5 za Davido ambazo hakuwahi kuzitoa
![davido A](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/davido-A-300x194.jpg)
Mwezi uliopita kituo cha MTV Base kilimfanyia mahojiano staa wa Nigeria, Davido kwenye kipindi maalum kilichopewa jina la ‘Davido Exposed’, ambapo alitambulisha video 5 ambazo hakuwahi kuzitoa. Video hizo ni za nyimbo za kwenye album yake ya kwanza ‘O.B.O’.
Kama kipindi hicho kilikupita kupitia MTV Base hii ni nafasi yako nyingine ya kukitazama na kuziona video 5 za Davido ambazo hakuzitoa. Pia amezungumzia mambo mengine ikiwemo album yake mpya ambayo kwa sasa ameisogeza mpaka...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EDr-zswlq3MM-Rp67wqr*mrYOGPQNGD9Wr8GsNrsL5HM*0AvauqwOqZadCXifYJ4jQ7XG2LIFusr66AFXwgz4gU6k6JpXFO8/CHEKANAKITIME.jpg)
SITAKI SIASA NYUMBANI KWANGU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2ISsDccxAbIEkhgATfdmTGZ5RwTJm0C9HU0CDvZm--wIgR2uppcXT6Z5ZekIWfgLB8jUCk2h7-LTtOGfEm3IqB3/snura.jpg?width=650)
SNURA: 2014 MAJANGA KWANGU
11 years ago
Mwananchi15 Jul
Gotze: Ni kama zali tu kwangu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6aOMGtxdGe6JdIkLBTMikDRIo1Gpq3n4hewiy0SLEQBlXudmPlEWm8z7O2zZMvWisRvUm*DxnhxhYS1Fm9D9Fq-vMj8UfQPW/mamakanumbaFrolaMtegoa.jpg?width=650)
MAMA KANUMBA: KRISMASI KWANGU NI MBAYA
10 years ago
Vijimambo30 Jan
IYOBO: MIMBA YA ‘BABY’ NI FARAJA KWANGU
![](http://api.ning.com/files/f5QbJIEIZ4w*IOhhlvCdEqvEr24jmEgZgdzm-uZI-Z0Z41LeIvXCDZ-B9yjvP99L8Lwx4nrdgh6AaaovpcUwdwWSOMYnp7Yo/ant.jpg)
Na Imelda Mtema/AmaniDansa mahiri wa staa wa muziki Bongo na nje ya nchi, Nasibu Abdul ‘Diamond’ aitwaye Moses Iyobo, amefunguka kuwa hakuna kitu kinachompa faraja kubwa kama mimba ya mpenzi wake ambaye ni staa wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel.
Akizungumza na Amani hivi karibuni, Iyobo ambaye nyuma kidogo alipost picha katika mtandao wa kijamii wa Instagram na kutoa pongezi kwa mpenzi wake huyo kwa kumbebea ujauzito,...