Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gotze: Ni kama zali tu kwangu

Shujaa wa Ujerumani, Mario Gotze amesema kufunga bao pekee na  la ushindi katika fainali ya Kombe la Dunia ni kama bahati na zawadi yake katika msimu wake mgumu akiwa Bayern Munich.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kama zali tumewakosa

Mabingwa watetezi Azam na Simba wameshindwa kutambiana kwa sare ya bao 1-1, mchezo ulioingia doa baada ya kuumia kwa mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi.

 

9 years ago

Bongo5

Kitendo cha kupupuruka mwili nikawa kama AT kwangu itakuwa ni fedheha kubwa sana– Asema Msechu

Peter Msechu

Peter Msechu hana mpango wa kupungua mwili ili awaridhishe mashabiki ambao wamekuwa wakimsema kutokana na kujiachia sana mwili.

Peter Msechu

Muimbaji huyo wa ‘Nyota’ anaamini kuwa mwonekano alionao sasa ni moja ya utambulisho wake, hivyo akipungua mwili inaweza kuharibu ‘image’ yake. Mfano wa anachokimaanisha hapo ni kama Baghdad wa zamani na alivyo sasa unaweza kumsahau baada ya kupungua sana.

baghdad wa zamani na sasa
Kushoto Baghdad wa sasa, kulia wa zamani

“Mi ninachokiogopa kwenye maisha yangu ni kuwa model, sababu nadhani...

 

11 years ago

Mwananchi

Low: Nilimwambia Gotze amfunike Messi

Kocha wa timu ya taifa ya Ujerumani, Joachim Low alimwambia Mario Gotze kuionyesha dunia kwamba yeye ni bora kuliko Lionel Messi, dakika chache kabla ya kufunga bao la ushindi la fainali ya Kombe la Dunia juzi.

 

9 years ago

Mwananchi

Zali la Samatta lanukia Abuja

Tayari Shirikisho la Soka Afrika limetaja majina ya wachezaji watakaowania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa ujumla, mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wanaocheza soka ndani ya Afrika, mchezaji bora kijana wa Afrika, mchezaji bora anayechipukia, kocha bora Afrika, mkongwe bora wa soka Afrika, timu bora Taifa, timu bora ya Taifa kwa upande wa wanawake na klabu bora ya Afrika iliyofanya vizuri mwaka 2015.

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, ZALI WAKIPATA CHAKULA CHA USIKU

Mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari'  au 'The Boss Lady' (wa tatu kulia) akipata chakula cha usiku na wageni wake wakiongozwa na staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' (katikati) usiku wa kuamkia leo nchini Uganda. Diamond…

 

9 years ago

Bongo5

Mimi ni mkali ila sina zali tu – Jay Moe

Jaymoe

Ni muda mrefu tulikua hatujamskia Jay Moe, yule yule wa ‘Mvua na Jua’, yule yule wa ‘Kama unataka demu’, yule yule wa ‘Kimya Kimya’ na marehemu Ngwea, au kwa utambulisho wowote unaoufahamu wewe lakini ninayemzungumzia mimi ni Juma mchopanga.

Jaymoe

Jamaa amerudi na wimbo mpya ‘Hili Game’, kama alivyoahidi siku chache zilizopita kua anavunja ukimya wa miaka minne kabla mwaka haujaisha. Ametambulisha wimbo huo Jumatatu hii Dec 7.

Wote tunafahamu ugumu wa game ya muziki wa bongo, baadhi ya...

 

10 years ago

GPL

WAKATI DIAMOND AKIMTESA NA ZALI, WEMA AJIBU MAPIGO

Stori: SIFAEL PAUL
Habari ya mjini! Gumzo katika ulimwengu wa mastaa Bongo ni kitendo cha mkali wa muziki wa Kizazi Kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuendelea kujiachia na staa wa mrembo mwenye maskani yake nchini Uganda na Afrika Kusini ‘Sauz’, msanii Zarinah Hassan ‘Zari’ au ‘The Boss Lady’ huku aliyekuwa ‘kiburudisho’ wa jamaa huyo, Wema Isaac Sepetu...

 

5 years ago

Football News

Mario Gotze confirms he will leave Dortmund for nothing, could Klopp form reunion? - TBR - The Boot Room

Mario Gotze confirms he will leave Dortmund for nothing, could Klopp form reunion?  TBR - The Boot Room - Football NewsLiverpool morning headlines as Mario Gotze makes big announcement and Jordan Henderson praised  Liverpool EchoBorussia Dortmund's Mario Gotze confirms he will leave the Bundesliga club at the end of the season  Daily MailLiverpool's Mario Gotze transfer decision already made - and it has paid off  Mirror OnlineLauren wanted Mario Gotze at Arsenal last summer, now he is...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani