Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kama zali tumewakosa

Mabingwa watetezi Azam na Simba wameshindwa kutambiana kwa sare ya bao 1-1, mchezo ulioingia doa baada ya kuumia kwa mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Gotze: Ni kama zali tu kwangu

Shujaa wa Ujerumani, Mario Gotze amesema kufunga bao pekee na  la ushindi katika fainali ya Kombe la Dunia ni kama bahati na zawadi yake katika msimu wake mgumu akiwa Bayern Munich.

 

10 years ago

Mwananchi

Tumewakosa! Bahati yao

Si Yanga wala Simba. Hicho ndicho unachoweza kusema baada ya miamba hiyo ya soka nchini kutoka sare ya 0-0 jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

Zali la Samatta lanukia Abuja

Tayari Shirikisho la Soka Afrika limetaja majina ya wachezaji watakaowania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa ujumla, mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wanaocheza soka ndani ya Afrika, mchezaji bora kijana wa Afrika, mchezaji bora anayechipukia, kocha bora Afrika, mkongwe bora wa soka Afrika, timu bora Taifa, timu bora ya Taifa kwa upande wa wanawake na klabu bora ya Afrika iliyofanya vizuri mwaka 2015.

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, ZALI WAKIPATA CHAKULA CHA USIKU

Mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari'  au 'The Boss Lady' (wa tatu kulia) akipata chakula cha usiku na wageni wake wakiongozwa na staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' (katikati) usiku wa kuamkia leo nchini Uganda. Diamond…

 

10 years ago

GPL

WAKATI DIAMOND AKIMTESA NA ZALI, WEMA AJIBU MAPIGO

Stori: SIFAEL PAUL
Habari ya mjini! Gumzo katika ulimwengu wa mastaa Bongo ni kitendo cha mkali wa muziki wa Kizazi Kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuendelea kujiachia na staa wa mrembo mwenye maskani yake nchini Uganda na Afrika Kusini ‘Sauz’, msanii Zarinah Hassan ‘Zari’ au ‘The Boss Lady’ huku aliyekuwa ‘kiburudisho’ wa jamaa huyo, Wema Isaac Sepetu...

 

9 years ago

Bongo5

Mimi ni mkali ila sina zali tu – Jay Moe

Jaymoe

Ni muda mrefu tulikua hatujamskia Jay Moe, yule yule wa ‘Mvua na Jua’, yule yule wa ‘Kama unataka demu’, yule yule wa ‘Kimya Kimya’ na marehemu Ngwea, au kwa utambulisho wowote unaoufahamu wewe lakini ninayemzungumzia mimi ni Juma mchopanga.

Jaymoe

Jamaa amerudi na wimbo mpya ‘Hili Game’, kama alivyoahidi siku chache zilizopita kua anavunja ukimya wa miaka minne kabla mwaka haujaisha. Ametambulisha wimbo huo Jumatatu hii Dec 7.

Wote tunafahamu ugumu wa game ya muziki wa bongo, baadhi ya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray: Napata Wasiwasi Kama Tunaweza Kumpata Rais Kama Kikwete

Napata kigugumizi na mgagasuko mkubwa sana ndani ya kilindi cha moyo wangu, kama tutaweza kumpata Rais atakaye tuthamini kama wewe baba yetu, Mh. Rais Jakaya Mrisho Kikwete.

Wewe ni kiongozi wa mfano wa kuigwa na hao watakaokupokea kijiti chako, nimeilewa sana hotuba yako siku ya leo (jana) hasa pale uliposema Bongo Fleva na Bongo Movie wameitangaza sana nchi yako ya Tanzania kimataifa na kusahau hata yale machungu unayoyapataga kwenye soka tutakukumbuka sana rais wetu

Vicent Kigosi “Ray”...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani