Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tumewakosa! Bahati yao

Si Yanga wala Simba. Hicho ndicho unachoweza kusema baada ya miamba hiyo ya soka nchini kutoka sare ya 0-0 jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Bahati yao Azam -Kerr

KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr amesema Azam walikuwa na bahati juzi ndio maana hawakuwafunga. Timu hizo zilicheza mechi ya Ligi Kuu kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam na kutoka sare ya mabao 2-2.

 

10 years ago

Mwananchi

Kama zali tumewakosa

Mabingwa watetezi Azam na Simba wameshindwa kutambiana kwa sare ya bao 1-1, mchezo ulioingia doa baada ya kuumia kwa mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi.

 

9 years ago

Michuzi

BALOZI SEFUE AWAAGIZA WATUMISHI WA UMMA KUVAA BEJI ZENYE MAJINA YAO WAWAPO KATIKA MAENEO YAO YA KAZI


  Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Ombeni Sefue akiwaonyesha waandishi wa Habari (hawapo pichani) beji yenye jina lake ambayo amewaagiza watumishi wa Umma kuivaa wanapokuwa katika maeneo yao ya kazi. Balozi Sefue alifanya mkutano na waandishi wa habari Ikulu jijini Dar es Salaam jana na kutoa taarifa ya Serikali kuhusu kesi ya Serious Fraud Office (SFO) dhidi ya Standard Bank.

 

11 years ago

Dewji Blog

Skylight Band wafanya uzinduzi rasmi wa nyimbo yao mpya ya Kariakoo pamoja na kutambulisha Studio yao mpya

skylight band 2

Meneja  wa Band ya Skylight Aneth Kushaba akielezea kwa kina uzinduzi Rasmi wa wimbo wao Mpya unaokwenda kwa jina la Kariakoo ambapo uzinduzi huo uliambatana na Video pamoja na Audio. Pia ametambulisha Rasmi Studio ya kurekodi Muziki ambapo sasa nyimbo zao watakuwa wanafanyia katika Studio yao.

skylight band

Kutoka kushoto ni mmoja wa waimbaji wa Skylight Band Sam Mapenzi, (katikati) ni Meneja wa Band hiyo Aneth Kushaba pamoja na Mwimbaji mwengine wa Skylight Band Joniko Flower wakiwa wanazungumza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake wenye bahati

Ni nadra kuona mwanamke akiwa mke na mama wa rais kama ilivyokuwa kwa Ngina Kenyata wa Kenya, na Barbara Bush wa Marekani.

 

10 years ago

GPL

SIMULIZI TAMU YA BAHATI BUKUKU-12

ILIPOISHIA:
Iliishia pale Bahati alipokuwa na kiu ya kuolewa, alipiga goti na kumuomba Mungu kwamba endapo atampa mume, basi awe mume aliyetoka kwake (Mungu). ENDELEA... Mwimbaji wa nyimbo za injili Bongo, Bahati Bukuku. Ikumbukwe kwamba siku nimezaliwa katika familia inayomjua Mungu, nimelelewa katika wokovu kwa kipindi chote cha maisha yangu, kwa hiyo hata kwenye suala zima la kuolewa nililiacha mikononi mwa Mungu. Siku...

 

9 years ago

Mtanzania

Drake: Serena hakuwa na bahati

DrakeNEW YORK, MAREKANI

NYOTA wa muziki kutoka nchini Canada, Aubrey Graham ‘Drake’, amesema bingwa wa tenisi duniani, Serena Williams, hakuwa na bahati katika hatua ya nusu fainali ya mchezo wa tenisi dhidi ya Roberta Vinci.

Inasemekana kuwa Drake anatoka na mwanadada huyo ambaye ametolewa katika michuano ya wazi ya US nchini Marekani.

“Serena alionyesha uwezo wake lakini hakuwa na bahati katika mchezo huo, wengi tulikuwa na matumaini kwamba anaweza kuingia hatua ya fainali, lakini haikuwa siku...

 

11 years ago

GPL

SIMULIZI TAMU YA BAHATI BUKUKU-9

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA
“Mungu, kwa nini hii inatokea kwangu? Kwa nini umeniacha niaibike? Kwa nini umeiacha aibu hii usoni mwangu?” nilimuuliza Mungu. Siku hiyo, nililia mno, sikujua kama katika yote aliyokuwa ameyafanya, yalikuwa ni njia moja ya kuniinua na kuniweka hapa nilipo sasa shuka nayo zaidi..... Mwimbaji mahili wa nyimbo za injili Bongo,Bahati Bukuku. AKATA TAMAA YA KUSOMA
Kama kulikuwa na watu...

 

10 years ago

GPL

SIMULIZI TAMU YA BAHATI BUKUKU-10

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA
“Sawa. Hakuna noma, Bongo Fleva kama Sister P au Taarab kama Khadija Kopa?”
“Hapana. Nataka kuimba nyimbo za Injili,”
“Nyimbo za Injili?”
“Ndiyo.”
“Mmmh!” aliguna Ezekiel.endelea nayo... Katika chuo kama hicho, kulikuwa na wanachuo waliokuwa wakisomea kozi mbalimbali.
Kulikuwa na wale ambao muda mwingi walikuwa bize na uandishi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani