Tumewakosa! Bahati yao
Si Yanga wala Simba. Hicho ndicho unachoweza kusema baada ya miamba hiyo ya soka nchini kutoka sare ya 0-0 jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo14 Dec
Bahati yao Azam -Kerr
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr amesema Azam walikuwa na bahati juzi ndio maana hawakuwafunga. Timu hizo zilicheza mechi ya Ligi Kuu kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam na kutoka sare ya mabao 2-2.
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Kama zali tumewakosa
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JjlrjOWX1qc/Vl7Knas61FI/AAAAAAADDIg/vlG__SBzO3M/s72-c/OTH_3308.jpg)
BALOZI SEFUE AWAAGIZA WATUMISHI WA UMMA KUVAA BEJI ZENYE MAJINA YAO WAWAPO KATIKA MAENEO YAO YA KAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-JjlrjOWX1qc/Vl7Knas61FI/AAAAAAADDIg/vlG__SBzO3M/s640/OTH_3308.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-D0qj5GQeaI4/Vl7KmA7BGHI/AAAAAAADDIY/e9jKFKxGbiM/s640/OTH_3304.jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Ombeni Sefue akiwaonyesha waandishi wa Habari (hawapo pichani) beji yenye jina lake ambayo amewaagiza watumishi wa Umma kuivaa wanapokuwa katika maeneo yao ya kazi. Balozi Sefue alifanya mkutano na waandishi wa habari Ikulu jijini Dar es Salaam jana na kutoa taarifa ya Serikali kuhusu kesi ya Serious Fraud Office (SFO) dhidi ya Standard Bank.
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
Skylight Band wafanya uzinduzi rasmi wa nyimbo yao mpya ya Kariakoo pamoja na kutambulisha Studio yao mpya
![skylight band 2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/skylight-band-2.jpg)
Meneja wa Band ya Skylight Aneth Kushaba akielezea kwa kina uzinduzi Rasmi wa wimbo wao Mpya unaokwenda kwa jina la Kariakoo ambapo uzinduzi huo uliambatana na Video pamoja na Audio. Pia ametambulisha Rasmi Studio ya kurekodi Muziki ambapo sasa nyimbo zao watakuwa wanafanyia katika Studio yao.
![skylight band](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/skylight-band.jpg)
Kutoka kushoto ni mmoja wa waimbaji wa Skylight Band Sam Mapenzi, (katikati) ni Meneja wa Band hiyo Aneth Kushaba pamoja na Mwimbaji mwengine wa Skylight Band Joniko Flower wakiwa wanazungumza...
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Wanawake wenye bahati
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vYFBfoh8eSrX0OEQWlVJdgWhrLxFf4VLW3xBx*aeRucLtVYYf9uhxpNo6XV9VUiv7bXsHSY59NXgCFyZ58LD-uiyoZtKXmSY/BAHATI.jpg?width=650)
SIMULIZI TAMU YA BAHATI BUKUKU-12
9 years ago
Mtanzania14 Sep
Drake: Serena hakuwa na bahati
NEW YORK, MAREKANI
NYOTA wa muziki kutoka nchini Canada, Aubrey Graham ‘Drake’, amesema bingwa wa tenisi duniani, Serena Williams, hakuwa na bahati katika hatua ya nusu fainali ya mchezo wa tenisi dhidi ya Roberta Vinci.
Inasemekana kuwa Drake anatoka na mwanadada huyo ambaye ametolewa katika michuano ya wazi ya US nchini Marekani.
“Serena alionyesha uwezo wake lakini hakuwa na bahati katika mchezo huo, wengi tulikuwa na matumaini kwamba anaweza kuingia hatua ya fainali, lakini haikuwa siku...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cwh76f0JjbmxFNFRwEG3JhmJas9v2Bjv1oeSYK6mmDzTrBygUjLHlQ4baAZqlmYh6i7obbX0f-xArykrHMcT*snDyJEkEJee/15.jpg?width=650)
SIMULIZI TAMU YA BAHATI BUKUKU-9
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxY-QGfaq48Y-FyAySBtHOCtUNb2WuyyYT2xmQGQIAVShGjI8pQlV24SPlvY8wwYaJtlAYVrRbRhPU1LL9aUaj3x/bahati.jpg?width=650)
SIMULIZI TAMU YA BAHATI BUKUKU-10