Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Drake: Serena hakuwa na bahati

DrakeNEW YORK, MAREKANI

NYOTA wa muziki kutoka nchini Canada, Aubrey Graham ‘Drake’, amesema bingwa wa tenisi duniani, Serena Williams, hakuwa na bahati katika hatua ya nusu fainali ya mchezo wa tenisi dhidi ya Roberta Vinci.

Inasemekana kuwa Drake anatoka na mwanadada huyo ambaye ametolewa katika michuano ya wazi ya US nchini Marekani.

“Serena alionyesha uwezo wake lakini hakuwa na bahati katika mchezo huo, wengi tulikuwa na matumaini kwamba anaweza kuingia hatua ya fainali, lakini haikuwa siku...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Drake akanusha uvumi kuwa amemchumbia Serena Williams

Kuliibuka uvumi kuwa rapper Drake amemchumbia mcheza tennis mahiri Serena Williams ambaye inaaminika kuwa wanauhusiano licha ya kuwa wao binafsi hawajathibitisha. Baada ya taarifa hiyo kusambaa mtandaoni jana, mwakilishi wa Drake aliiambia TMZ kuwa taarifa hizo hazina ukweli wowote. Jarida la OK liliandika story Alhamisi hii kuwa Drake alimchumbia Serena walipoenda Canada nyumbani kwao Drake, […]

 

10 years ago

Habarileo

Muasisi: Karume hakuwa fisadi

Hayati Abeid Amaan KarumeMUASISI wa Mapinduzi ya Zanzibar ambaye ni miongoni mwa wajumbe wa kamati ya watu 14 walioshiriki mapinduzi hayo mwaka 1964, Hamid Ameir (85) ameeleza siri ya mafanikio ya uongozi wa Hayati Abeid Amaan Karume na kushauri viongozi walio madarakani kuiga mfano wake.

 

10 years ago

Tanzania Daima

JWTZ: Diamond hakuwa na kibali

JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limesema kuwa mwanamuziki wa kizazi kipya, Nassib Abdul maarufu ‘Diamond Platinumz’, aliyetinga na sare za jeshi jukwaani kwenye tamasha la Fiesta, hakuwa na kibali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyerere hakuwa mwongo, mwoga, au mdanganyifu — 3

KATIKA makala iliyopita nilidokeza historia kidogo kuonesha jinsi gani Baba wa Taifa Mwalimu J. K. Nyerere hakuwa mwongo, mwoga au mdanganyifu kama baadhi ya watu wanataka tuamini. Nilionesha japo kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyerere hakuwa mwongo, mwoga au mdanganyifu — 2

KATIKA makala iliyopita, nilidokeza historia kidogo kuonyesha jinsi gani Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere hakuwa mwongo, mwoga au mdanganyifu kama baadhi ya watu wanavyotaka tuamini. Nilionyesha japo kwa mbali...

 

11 years ago

BBCSwahili

Pistorius hakuwa na miguu yake bandia

Mtaalamu wa mabomu katika kesi inayomkabili Oscar Pistorius, amesema kuwa mwanariadha huyo hakuwa amevaa miguu yake bandia alipomuua Reeva Steenkamp

 

10 years ago

Mwananchi

Mgonjwa wa Moshi hakuwa na ebola-Wizara

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema mgonjwa aliyekuwa akihisiwa kuwa na ebola mkoani Kilimanajro amethibitika kutokuwa na virusi vya ugonjwa huo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyerere hakuwa mwongo, mdanganyifu au mwoga

KUNA mengi ambayo mtu anaweza kusema kuhusu Nyerere; tena mengi tu ambayo unaweza kumwita na ukajisikia kwa kiasi fulani uko sahihi au ukajionea raha ndani ya moyo wako na utulivu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Jihad John hakuwa hivi kabla

Pamoja na Jihadi John kulaumiwa na dunia kwa matendo yake, bosi wake wa zamani amsifu,inagawa hakujua alicho nacho ndaniye.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani