Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyerere hakuwa mwongo, mwoga, au mdanganyifu — 3

KATIKA makala iliyopita nilidokeza historia kidogo kuonesha jinsi gani Baba wa Taifa Mwalimu J. K. Nyerere hakuwa mwongo, mwoga au mdanganyifu kama baadhi ya watu wanataka tuamini. Nilionesha japo kwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Nyerere hakuwa mwongo, mwoga au mdanganyifu — 2

KATIKA makala iliyopita, nilidokeza historia kidogo kuonyesha jinsi gani Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere hakuwa mwongo, mwoga au mdanganyifu kama baadhi ya watu wanavyotaka tuamini. Nilionyesha japo kwa mbali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyerere hakuwa mwongo, mdanganyifu au mwoga

KUNA mengi ambayo mtu anaweza kusema kuhusu Nyerere; tena mengi tu ambayo unaweza kumwita na ukajisikia kwa kiasi fulani uko sahihi au ukajionea raha ndani ya moyo wako na utulivu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Heri masikini jasiri kuliko tajiri mwoga

USWAHIBA walionao watendaji wa serikali na wafanyabiashara wakubwa (matajiri) hapa nchini kinaweza kuwa kigezo kikubwa cha kudumaza maendeleo ya nchi na kukosa uwiano wa mapato kati ya walionacho na wale wasiokuwa...

 

11 years ago

Habarileo

Zitto akerwa kuitwa mwongo, ‘kulipuka’ bungeni

 Kabwe ZittoMBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, amesema anatarajia kuwasilisha maelezo binafsi kuhusu, kauli ya Mwanasheria Mkuu aliyoitoa juzi bungeni dhidi yake na kumuita muongo kuhusu suala la kuwa na orodha ya watu wanaodaiwa kuficha fedha nje ya nchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwanamume akiwa wodi ya wazazi ni sawa na askari mwoga aliyeenda vitani

Kulingana na desturi za Kiafrika, mjamzito anapopatwa na uchungu, mama, dada au shangazi huwa ni watu muhimu wanaomsindikiza hospitali kwenda kujifungua.

 

10 years ago

Vijimambo

UMOJA WA MATAIFA WATOA MWONGO DHIDI YA UWINDAJI HARAMU WA TEMBO AFRIKA


Na Mwandishi Maalu, New York
Ofisi ya Umoja wa Mataifa inayohusika na Madawa ya Kulevya na Uhalifu mwingine ( UNODC) Novemba 13 imetangaza mwongozo ambao utachangia katika juhudi zinazoendelea za kukabiliana na mauaji holela ya tembo na biashara haramu ya pembe za ndovu hususani Afrika.

UNODC imetoa mwongozo huo kwa kile inachosema, ni kuongezeka kwa biashara hiyo ambayo sasa makundi ya kihalifu yanajihusisha kwa kasi, jambo linalotishia kutoweka kabisa kwa mnyama huyo....

 

11 years ago

Michuzi

BAN KI MOON AZINDUA MWONGO WA NISHATI KWA WOTE (2014-2024 )

Na Mwandishi Maalum, New York   Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, jana alhamisi amezindua rasmi mwongo wa Nishati Endelevu kwa wote (SE4ALL) wakati wa mkutano unaohudhuriwa na wajumbe zaidi wa 1,000 wakiwamo zaidi ya mawaziri 20 wa Nishati 20 wafanyabishara, mashirika ya kimataifa yakiwamo ya fedha na Asasi zisizokuwa za kiserikali. Ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano huu ulioanza Juni 4 na utamalizika Juni 6, unaongozwa na Waziri wa ...

 

10 years ago

Habarileo

Muasisi: Karume hakuwa fisadi

Hayati Abeid Amaan KarumeMUASISI wa Mapinduzi ya Zanzibar ambaye ni miongoni mwa wajumbe wa kamati ya watu 14 walioshiriki mapinduzi hayo mwaka 1964, Hamid Ameir (85) ameeleza siri ya mafanikio ya uongozi wa Hayati Abeid Amaan Karume na kushauri viongozi walio madarakani kuiga mfano wake.

 

9 years ago

Mtanzania

Drake: Serena hakuwa na bahati

DrakeNEW YORK, MAREKANI

NYOTA wa muziki kutoka nchini Canada, Aubrey Graham ‘Drake’, amesema bingwa wa tenisi duniani, Serena Williams, hakuwa na bahati katika hatua ya nusu fainali ya mchezo wa tenisi dhidi ya Roberta Vinci.

Inasemekana kuwa Drake anatoka na mwanadada huyo ambaye ametolewa katika michuano ya wazi ya US nchini Marekani.

“Serena alionyesha uwezo wake lakini hakuwa na bahati katika mchezo huo, wengi tulikuwa na matumaini kwamba anaweza kuingia hatua ya fainali, lakini haikuwa siku...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani