Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muasisi: Karume hakuwa fisadi

Hayati Abeid Amaan KarumeMUASISI wa Mapinduzi ya Zanzibar ambaye ni miongoni mwa wajumbe wa kamati ya watu 14 walioshiriki mapinduzi hayo mwaka 1964, Hamid Ameir (85) ameeleza siri ya mafanikio ya uongozi wa Hayati Abeid Amaan Karume na kushauri viongozi walio madarakani kuiga mfano wake.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

MOblog inaunga na Watanzania wote kuadhimisha miaka 42 ya kifo muasisi wa Mapinduzi ya Zanzibar Sheikh Abeid Amani Karume

1972376_497943327001958_2234576527659900752_n

Watanzania leo wanakumbuka kifo cha aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Abeid Amani Karume aliyeuawa kwa kupigwa risasi siku hiyo mwaka 1972. 

MOblog inakutakia mapumziko mema na tuyaenzi yale yote mema aliyoyafanya Hayati Abeid Amani Karume likiwemo la kudumisha Muungano wetu.

 

5 years ago

Michuzi

KARUME DAY KUMBUKIZI YA MIAKA 48 YA KIFO CHA SHEIKH ABEID AMANI KARUME.



By MZEE WA ATIKALI  ✍️✍️✍️


1. USULI:

Jumanne ya leo, tarehe 7.4.2020, imetimia miaka 48 toka aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar, ndugu SHEIKH ABEID AMANI KARUME,  alipouawa kwa kumiminiwa risasi nane na Luteni HOMOUD MOHAMMED BARWAN katika Afisi Kuu ya Afro Shiraz Party, Kisiwandui, Zanzibar.

Kwa mujibu wa "The Public Holidays Act, Cap. 35 (RE 2002)", sikukuu za kitaifa nchini ziko 17 na mojawapo ya sikukuu hizo ni "KARUME DAY". Hivyo, leo ni siku ya mapumziko.

Je, Mwanamapinduzi huyu...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA KARUME AZINDUA MICHUANO YA KARUME CUP

Makamu Mwenyekiti wa Mpira wa Mikono Zanzibar (BAZA) Ramadhani Khamis Salmin akizungumza wakati wa ufunguzi huu wa michuano ya Kombe la Karume Cup uliofanyika katika viwanja vya Gymkhana Zanzibar na kushirikisha timu 17 za mchezo huo kwa Zanzibar 6 zikiwa za Wanawake na 11 za Wanaume. Mlezi wa Michuano ya Kombe la Karume Cup Mama Shadya Karume akitowa shukarani zake kwa Chama cha Mpira wa Mikono Zanzibar (BAZA) kufanikisha michuano hiyo kwa kipindi chote cha miaka 12 kwa kumuezi Mzee Abeid...

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa: Nimechoka kuitwa fisadi

>Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa jana aliwataka wanaomhusisha na ufisadi kuacha mara moja kwa sababu hakuna hata chembe ya ukweli katika tuhuma hizo.

 

9 years ago

Raia Tanzania

Mzee Makamba asema mgombea Ukawa fisadi

KATIBU Mkuu wa zamani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yussuf Makamba, amesema mgombea urais kwa tiketi ya Chadema kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ni fisadi, mwongo na hakerwi na umasikini wa Watanzania.

Amemtaka kujitokeza hadharani kukanusha kwamba yeye si fisadi na kwamba, alitaka kuondoka CCM mwaka 1995 na alimwandikia barua kueleza hayo.

Makamba alisema hayo jana, kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro, alipohutubia mkutano wa hadhara wa kampeni wa mgombea urais wa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Dk. Slaa: Siko tayari kumsindikiza fisadi Ikulu

YAFUATAYO ni mahojiano kuhusu masuala mbalimbali kati ya Mwandishi Wetu, DEUS BUGAYWA na aliyekuw

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Vijimambo

MBONA NI KAZI KIDOGO TU ILI MH LOWASSA ASIWE FISADI AU MWIZI,

1- Chadema wajitokeze mbele waseme wao ni wadanganyifu na Matapeli wa kisiasa.2- UKAWA wajitokeze na kusema ni kikundi cha walinda MAFISADI na sio wanao pambana na UFISADI.3- Chadema wajitokeze na kusema katika ile RIST OF SHAME ya watu 11 akiwemo na LOWASSA waliandika wakiwa WAMELEWA.4-UKAWA wajitokeze watwambie lini wameamua kuunga mkono serikali mbili za bwana LOWASSA.5- UKAWA wajitokeze watwambie wamejua ni kiasi gani cha Mapesa alichotumia LOWASSA wakati wa kusaka urais ndani ya CCM na...

 

10 years ago

Vijimambo

MUASISI WA TANU AAGWA MONDULI

Waziri mkuu wa zamani mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa na mkewe mama Regina Lowassa wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu mzee Lazaro ole Ngoilenya Laizer aliyefariki juzi na kuzikwa leo Alhamis kijijini kwake Ngarash Monduli.Mzee Ole Ngoilenya ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 120 alikuwa muasisi na kiongozi wa kwanza wa Chama Cha TAA na baadaye TANU wilayani Monduli wakati huo ikijulikana kama Maasai District.Pia ndiye alikuwa chachu kwa Mh Lowassa na wanasiasa wengine...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani