Dk. Slaa: Siko tayari kumsindikiza fisadi Ikulu
YAFUATAYO ni mahojiano kuhusu masuala mbalimbali kati ya Mwandishi Wetu, DEUS BUGAYWA na aliyekuw
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo13 Jun
‘Siko tayari kutetea maovu’
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesema hayuko tayari kusimama na kutetea serikali kama yako mambo maovu yanayobainishwa.
10 years ago
VijimamboLowasa kutangaza kuhamia CHADEMA Julai 26, Mwembe yanga ambako Dr Slaa alimtangaza kuwa Fisadi Papa...KAZI IPO!!
Zipo taarifa za uhakika kwamba Edward Lowasa, Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya ufisadi wa Richmond anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari Jumapili tarehe 26 Julai 2015 Jijini Dar es Salaam. Katika mkutano huo, Lowasa anatarajiwa kueleza mambo mengi juu ya mchakato wa uchaguzi ndani ya CCM uliopelekea jina lake kukatwa.Pia katika mkutano huo, Lowasa anatarajiwa kutangaza rasmi kujivua uanachama wake ndani ya CCM na kujiunga na CHADEMA ambapo baadaye jioni ataelekea viwanja vya...
10 years ago
Mtanzania02 Dec
Ikulu: Tupo tayari
Fredy Azzah na Esther Mbussi, Dar es Salaam
SIKU chache baada ya Bunge kuhitimisha mjadala wa uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow na kupitisha maazimio nane ikiwa ni pamoja na kuwawajibisha watendaji na wanasiasa waliohusika, Ikulu imesema itayafanyia kazi maazimio hayo kwa uzito mkubwa.
Hayo yalisemwa jana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, alipozungumza na MTANZANIA juu ya hatua iliyofikiwa katika kutekeleza maazimio yaliyofikiwa na Bunge.
Balozi...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-9Dpcenwt5Ug/VXE-eTVTs_I/AAAAAAAAUgU/QpvHtQqxbuE/s72-c/hamjamboo1.jpg)
DKT. SLAA, AENDELEA NA ZIARA YA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI, APIGA DEBE WANANCHI KUJIANDIKISHA TAYARI KWA UCHAGUZI MKUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-9Dpcenwt5Ug/VXE-eTVTs_I/AAAAAAAAUgU/QpvHtQqxbuE/s640/hamjamboo1.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar20 Sep
VIDEO: Chadema Yamvaa Bulembo Aliyesema CCM Haiko Tayari Kukabidhi IKULU Kwa Wapinzani
Sunday, September 20, 2015 KAULI ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Bulembo kwamba “CCM haitafanya makosa kukabidhi Ikulu kwa wapinzani” imezua mjadala. Bulembo alitoa kauli hiyo kwenye mkutano wa kampeni […]
The post VIDEO: Chadema Yamvaa Bulembo Aliyesema CCM Haiko Tayari Kukabidhi IKULU Kwa Wapinzani appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-xBLFndPJyOQ/VVQ6GEYIN6I/AAAAAAAAtwo/55_2WoYu1AU/s72-c/lusinde.jpg)
Vijembe Vya Kisiasa Vyatawala Bungeni......Lusinde Asema Dr Slaa Hafai Kuwa Rais Maana Ikulu Sio Wodi Ya Wagonjwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-xBLFndPJyOQ/VVQ6GEYIN6I/AAAAAAAAtwo/55_2WoYu1AU/s640/lusinde.jpg)
VIJEMBE vya kisiasa jana vilichukua sehemu kubwa ya mjadala wa Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu unaoendelea, ambapo mvutano mkubwa ulikuwa kati ya Serikali na vyama vya upinzani nani amechoka.
Akizungumza bungeni kwa vijembe, Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde (CCM), alisema hoja ya kambi rasmi ya upinzani kuwa Serikali imechoka, inawezekana ni kweli ila haikuwekwa vizuri.Alifafanua kuwa Serikali imefanya kazi kubwa ya kukopesha wanafunzi, kutoa huduma ya afya, kujenga barabara kusambaza...
10 years ago
Mtanzania10 Aug
Wasanii wa Bongo mnakoelekea siko
NA FESTO POLEA
WAKATI juhudi za kupata vazi la Taifa zikiendelea, kuna haja ya kuanzishwa mchakato wa kupata vazi la wasanii ili wawe wakilitumia wakiwa jukwaani.
Sina maana kwamba, wasanii hao wachaguliwe mavazi ya kuvaa wawapo stejini bali wawekewe kikomo cha mavazi, muda wa kuvaa, mazingira na hadhira iliyopo.
Naandika hili kwa kuwa kuna kila dalili ya wasanii wetu kufikia hatua ya kuiga aina ya mavazi wanayovaa wasanii wa Magharibi ambapo mara kwa mara huwa stejini nusu utupu akiwemo,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9OHZWcwyRATs4HKVwmonEt-8yOP7t9F-P79UVYgVrsBBBIkd6mB8ZaeWcG-Y-Gh-PTEbUwzfxH1XmzVk3HLcCyLN-QqqRVKb/johari.jpg?width=650)
JOHARI: NIKO RJ SIKO NA RAY
10 years ago
Mwananchi02 Jul
Lowassa: Nimechoka kuitwa fisadi