Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Siko tayari kutetea maovu’

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesema hayuko tayari kusimama na kutetea serikali kama yako mambo maovu yanayobainishwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Dk. Slaa: Siko tayari kumsindikiza fisadi Ikulu

YAFUATAYO ni mahojiano kuhusu masuala mbalimbali kati ya Mwandishi Wetu, DEUS BUGAYWA na aliyekuw

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Mwananchi

Maalim Seif: Nipo tayari kufa kutetea wapigakura

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amesema yupo tayari kufa kwa kutetea misingi ya haki na utawala wa sheria katika kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu.

 

10 years ago

Mtanzania

Wasanii wa Bongo mnakoelekea siko

DSCN7737babay jayLINNNDSCN8002NA FESTO POLEA

WAKATI juhudi za kupata vazi la Taifa zikiendelea, kuna haja ya kuanzishwa mchakato wa kupata vazi la wasanii ili wawe wakilitumia wakiwa jukwaani.

Sina maana kwamba, wasanii hao wachaguliwe mavazi ya kuvaa wawapo stejini bali wawekewe kikomo cha mavazi, muda wa kuvaa, mazingira na hadhira iliyopo.

Naandika hili kwa kuwa kuna kila dalili ya wasanii wetu kufikia hatua ya kuiga aina ya mavazi wanayovaa wasanii wa Magharibi ambapo mara kwa mara huwa stejini nusu utupu akiwemo,...

 

11 years ago

GPL

JOHARI: NIKO RJ SIKO NA RAY

Stori: Shakoor Jongo MUIGIZAJI wa ‘long time’ katika tasnia ya filamu Bongo, Brandina Chagula ‘Johari’ juzi kati amefunguka kuwa kwa sasa hayuko na aliyekuwa akidaiwa kuwa ni mpenzi wake, Vicent Kigosi ‘Ray’ ila yuko katika Kampuni ya RJ ambayo wanashirikiana kisanii zaidi. Muigizaji wa Tasnia ya filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’ Akizungumza na Ijumaa katika hoteli ya...

 

10 years ago

Vijimambo

WATOTO ZAIDI YA ELFU KUMI HUZALIWA NA SIKO SELI KILA MWAKA NCHINI‏

Mratibu wa Mradi wa MDOTS unoafanya utafiti wa tiba ya ugonjwa wa siko seli (Sickle Cell) katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dkt. Robert Mongi (kulia) akifafanua jambo kwa baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania waliofika hospitalini hapo kukabidhi msaada wa simu 150 aina ya ZTE zitakazotumiwa na wagonjwa wa siko seli kujirekodi na kutuma video wakati wakimeza dawa za ugonjwa huo na kuzituma katika hospitali hiyo kila watumiapo dawa hizo kwa ajili ya kujua kama wanafuata matumizi...

 

10 years ago

Michuzi

WATOTO ZAIDI YA ELFU KUMI HUZALIWA NA SIKO SELI KILA MWAKA NCHINI

Mratibu wa Mradi wa MDOTS unoafanya utafiti wa tiba ya ugonjwa wa siko seli (Sickle Cell) katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dkt. Robert Mongi (kulia) akifafanua jambo kwa baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania waliofika hospitalini hapo kukabidhi msaada wa simu 150 aina ya ZTE zitakazotumiwa na wagonjwa wa siko seli kujirekodi na kutuma video wakati wakimeza dawa za ugonjwa huo na kuzituma katika hospitali hiyo kila watumiapo dawa hizo kwa ajili ya kujua kama wanafuata matumizi...

 

10 years ago

GPL

WATOTO ZAIDI YA ELFU KUMI HUZALIWA NA SIKO SELI KILA MWAKA NCHINI‏

Mratibu wa Mradi wa MDOTS unoafanya utafiti wa tiba ya ugonjwa wa siko seli (Sickle Cell) katika  Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dkt. Robert Mongi (kulia) akifafanua jambo kwa baadhi ya wafanyakazi  wa Vodacom Tanzania waliofika hospitalini hapo kukabidhi msaada wa simu 150 aina ya ZTE zitakazotumiwa na wagonjwa wa siko seli  kujirekodi na kutuma video wakati wakimeza dawa za ugonjwa huo na kuzituma katika hospitali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazazi wanaolea maovu

NENO paraganyika katika kamusi ya Kiswahili sanifu toleo la 1981, uk. 227 limeelezwa kuwa ni “fanya kuwa ovyo, vuruga, vilevile haribu, potosha, ondoa katika mpango makini au sahihi, tibua na...

 

10 years ago

Habarileo

Taifa liombewe kukabili maovu

Askofu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini,  Dk Fredrick Shoo KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania(KKKT) Dayosisi ya Kaskazini, limeomba serikali kuchukua hatua za makusudi kudhibiti matukio yanayohatarisha amani na utulivu kwani kwa kuyafumbia macho masuala hayo ni kuliingiza taifa katika machafuko.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani