Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taifa liombewe kukabili maovu

Askofu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini,  Dk Fredrick Shoo KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania(KKKT) Dayosisi ya Kaskazini, limeomba serikali kuchukua hatua za makusudi kudhibiti matukio yanayohatarisha amani na utulivu kwani kwa kuyafumbia macho masuala hayo ni kuliingiza taifa katika machafuko.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Walimu, DC wataka Bunge Maalum liombewe

WALIMU wilayani Kibaha mkoani Pwani, wameaomba wananchi kuwaombea wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba ili waweze kupitisha Katiba yenye maslahi kwa wananchi. Walieleza kuwa Katiba nzuri na yenye maslahi kwa wananchi, itasaidia kufanya nchi kuendelea kuwa na amani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Makinda ataka Bunge la Katiba liombewe

SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, amewaomba Watanzania kuliombea Bunge Maalumu la Katiba kwa kuwa lipo kwenye hali mbaya. Makinda alisema hayo mjini Dodoma jana wakati wa kutoa salamu katika ibada...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazazi wanaolea maovu

NENO paraganyika katika kamusi ya Kiswahili sanifu toleo la 1981, uk. 227 limeelezwa kuwa ni “fanya kuwa ovyo, vuruga, vilevile haribu, potosha, ondoa katika mpango makini au sahihi, tibua na...

 

9 years ago

Raia Mwema

Utamjuaje kiongozi mtenda maovu?

KWENYE kujibu hili inahusu zaidi falsafa ya kimaadili.

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Mwananchi

Ni makosa kulindana katika maovu

Hali bungeni Dodoma juzi Ijumaa haikuwa shwari. Haikuwa shwari kwa sababu baadhi ya wabunge walihisi kama kuna njama za kuigubika haki.

 

10 years ago

Habarileo

‘Siko tayari kutetea maovu’

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesema hayuko tayari kusimama na kutetea serikali kama yako mambo maovu yanayobainishwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mufti:''Twitter ni chanzo cha maovu''

Mtandao wa kijamii wa Twitter unaosifika sana miongoni mwa wanawake na wanaume nchini Saudi Arabia, umesemekana kuwa chanzo cha uovu.

 

11 years ago

GPL

MHE. PINDA AIPONGEZA GLOBAL KUFICHUA MAOVU

Stori: Joseph Shaluwa
WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Peter Pinda, ameipongeza Kampuni ya Global Publishers kwa kuripoti habari za uchunguzi zinazofichua maovu kwenye jamii.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani