Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MHE. PINDA AIPONGEZA GLOBAL KUFICHUA MAOVU

Stori: Joseph Shaluwa
WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Peter Pinda, ameipongeza Kampuni ya Global Publishers kwa kuripoti habari za uchunguzi zinazofichua maovu kwenye jamii.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MSEMAJI JESHI LA POLISI AIPONGEZA GLOBAL KWA KUFICHUA MAOVU

Msemaji wa jeshi la polisi nchini, SSP Advera Senso. MSEMAJI wa jeshi la polisi nchini SSP Advera Senso,  ametoa  pongezi  kubwa  kwa kampuni Global Publishers inayochapisha magazeti ya Uwazi, Championi, Amani, Risasi na Ijumaa kwa kile alichosema kuwa wamekuwa wakirejesha nidhamu na maadli kwa  watu ambao  wanaenda  kinyume  na maadili  ya kibinadamu. Akizungumza na mwandishi mwandamizi wa ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pinda aipongeza taasisi kwa kujitolea

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, ameipongeza taasisi ya Urafiki na Mshikamano ya Rehema kwa kujitolea katika shughuli mbalimbali za maendeleo ya jamii. Pinda alitoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki baada ya...

 

11 years ago

GPL

MKUU WA MKOA AIPONGEZA GLOBAL KUASISI HARAKATI ZA HOMA YA INI

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick (kulia) akipongezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo baada ya kuzindua Kampeni ya Homa ya Ini. Na Mwandishi Wetu
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick ameipongeza Kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd kwa kuwaza vizuri kisha kuamua kuanzisha harakati za kupambana na ugonjwa wa Homa ya Ini (Hepatitis B). Said Meck Sadick… ...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI WA KILIMO MHE JAPHET HASUNGA AMTEMBELEA WAZIRI MKUU MSAAFU MHE MIZENGO PINDA, NYUMBANI KWAKE JIJINI DODOMA

Waziri Mkuu Mstaafu ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa Mhe Mizengo Peter Pinda akimtembeza Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) kujionea mashamba ya zabibu alipozuru katika eneo la Zuzu leo tarehe 7 Aprili 2020 Jijini Dodoma. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)Waziri Mkuu Mstaafu ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa Mhe Mizengo Peter Pinda akisisitiza jambo wakati akizungumza na Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb)...

 

10 years ago

Vijimambo

MHE. PINDA KUFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA PSPF

Waziri Mkuu Mizengo Pinda, (Kushoto), akipatiwa maelezo na Mkurugenzi wa ukaguzi wa ndani, wa PSPF, Goddfrey Ngonyani, wakati alipotembelea banda la mfuko huo kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam jana. Kulia ni Meneja Mawasiliano, Mahusiano na Masoko, Costantina Martin. (Picha na Khalfan Said)
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Mizengo Kayanza Pinda anatarajiwa kufungua mkutano wa Nne wa Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa...

 

10 years ago

GPL

MHE. PINDA KUFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA PSPF

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Mizengo Kayanza Pinda. Na Mwandishi Wetu, Dodoma
WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Mizengo Kayanza Pinda anatarajiwa kufungua mkutano wa Nne wa Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF utakaofanyika tarehe  18 na 19 Februari 2015 katika Manispaa ya Dodoma. Kauli mbiu ya mkutano huo ni, ‘PSPF- chaguo lako sahihi’.
Taarifa iliyotolewa...

 

10 years ago

Michuzi

MHE PINDA kukagua ujenzi wa kiwanja wa Ndege wa Mwanza

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarest Ndikilo (kulia) na Katibu wa CCM wa Mkoa wa Mwanza, Joyce Masunga baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza  leo August 22, 2014 ambako August 23, 2014 atakagua ujenzi wa uwanja wa ndege na baadaye anatarajiwa kuongoza  harambee  iliyoandaliwa na Mkapa Foundation. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu, Mh. Mizengo Pinda kesho, Jumamosi Agosti 23, 2014 anatarajiwa kukagua ujenzi wa kiwanja wa Ndege...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani