MHE PINDA kukagua ujenzi wa kiwanja wa Ndege wa Mwanza
![](http://1.bp.blogspot.com/-KFDUYtm2pts/U_dk8mLhnTI/AAAAAAAGBeI/HZ8jf2d5SYU/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarest Ndikilo (kulia) na Katibu wa CCM wa Mkoa wa Mwanza, Joyce Masunga baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza leo August 22, 2014 ambako August 23, 2014 atakagua ujenzi wa uwanja wa ndege na baadaye anatarajiwa kuongoza harambee iliyoandaliwa na Mkapa Foundation. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu, Mh. Mizengo Pinda kesho, Jumamosi Agosti 23, 2014 anatarajiwa kukagua ujenzi wa kiwanja wa Ndege...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Pinda kukagua ujenzi bomba la gesi
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-R-ETGMHfbK0/Xu8kWBQxEHI/AAAAAAALuzQ/SLNj2pd5sZIG5ZiZVKMe5JI83Gg_SRy0ACLcBGAsYHQ/s72-c/3-26.jpg)
NDEGE ZA ABIRIA 200 KUTUA KIWANJA CHA DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-R-ETGMHfbK0/Xu8kWBQxEHI/AAAAAAALuzQ/SLNj2pd5sZIG5ZiZVKMe5JI83Gg_SRy0ACLcBGAsYHQ/s640/3-26.jpg)
Kazi ya upanuzi wa kiwanja cha ndege cha Dodoma ikiendelea. Mradi huo umefikia asilimia 30 na unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwezi Agosti mwaka huu.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/4-21.jpg)
Mafundi wa Kampuni ya CHICO wakiendelea na kazi ya upimaji katika Kiwanja cha Ndege cha Dodoma. Mradi huo utagharimu kiasi cha shilingi bilioni 3.5.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/1-34.jpg)
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akitoa maelekezo kwa Meneja wa Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS) Mkoa wa Dodoma, Mhandisi Leonard Chimagu, Meneja wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Vovp4T1uHu8/Xt-dmTYiB4I/AAAAAAALtMo/x53f2-IE67E3xD-DYST1WirLxBsKGgTpwCLcBGAsYHQ/s72-c/290.jpg)
UJENZI MRADI MKUBWA ENEO LA MAEGESHO YA NDEGE UWANJA WA NDEGE WAPAMBA MOTO ZANZIBAR
Harakati za umwagaji wa zege katika sehemu za kupakia na kushukia abiria ziko katika hatua nzuri chini ya wahandisi wa kampuni ya kimataifa ya CRJ kutoka nchini China wakisaidiwa na wahandisi na washauri wazalendo waliobobea kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere wa Dar es Salam.
Makamu wa Pili wa...
5 years ago
CCM BlogNDEGE ZA ABIRIA ZAIDI YA 200 KUTUA KIWANJA CHA DODOMA
Dodoma, Tanzania
Kukamilika kwa upanuzi wa mita 250 katika kiwanja cha ndege cha Dodoma kutaruhusu ndege kubwa zenye uwezo wa kubeba abiria zaidi ya 200 aina ya Airbus kuruka...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Pinda akataa kukagua jengo la zahanati
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, jana alikataa kukagua ujenzi wa kituo cha afya cha Mkonze katika Manispaa ya Dodoma, alipofanya ziara ya miradi ya maendeleo ya manispaa. Kwa mujibu wa ratiba...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y8bD62HksPhRQue2LeGOcdPaWxobK9vW-6U4ihqYy*e*yy9HAD6Z21wVWDG*yo*gi8jc-CSiXkjhV*PYm89Hc6BIkG08vDHV/Global.jpg?width=650)
WATAALAMU WA KUKAGUA TIKETI KUTOKA MWANZA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HK0yX5Vs2gI/Xl7CRmuEHjI/AAAAAAALgzE/oKZ3VfUaZCMIb3reewc1F2688ZBrPNStgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AA-2-768x512.jpg)
ASKARI ZIMAMOTO KIWANJA CHA NDEGE DODOMA KUJENGEWA UWEZO KATIKA KUKABILIANA NA MAJANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HK0yX5Vs2gI/Xl7CRmuEHjI/AAAAAAALgzE/oKZ3VfUaZCMIb3reewc1F2688ZBrPNStgCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AA-2-768x512.jpg)
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Pinda acharuka, akataa kukagua jengo la zahanati