Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATAALAMU WA KUKAGUA TIKETI KUTOKA MWANZA

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers Ltd, Eric Shigongo (wa nne kutoka kushoto waliosimama) pamoja na Meneja Mkuu wa Global Pubulishers, Abdallah Mrisho (wa tatu kutoka kulia waliosimama) wakiwa na wataalamu wa kukagua tiketi. (PICHA NA ISSA MNALLY/GPL)

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

RC ataka TFDA kukagua kiwanda haraka Mwanza

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Evarist Ndikilo amewataka viongozi wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Kanda ya Ziwa, kuharakisha kufanya ukaguzi Kiwanda cha Kutengeneza Dawa za Binadamu cha Prince Phamaceutical kilichopo jijini Mwanza ili kianze kufanya kazi.

 

10 years ago

Michuzi

MHE PINDA kukagua ujenzi wa kiwanja wa Ndege wa Mwanza

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarest Ndikilo (kulia) na Katibu wa CCM wa Mkoa wa Mwanza, Joyce Masunga baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza  leo August 22, 2014 ambako August 23, 2014 atakagua ujenzi wa uwanja wa ndege na baadaye anatarajiwa kuongoza  harambee  iliyoandaliwa na Mkapa Foundation. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu, Mh. Mizengo Pinda kesho, Jumamosi Agosti 23, 2014 anatarajiwa kukagua ujenzi wa kiwanja wa Ndege...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukarine kukagua misaada kutoka Urusi

Ukraine imesema walinzi wake wa mpakani watakagua misaada ya Urusi inayopelekwa nchini humo

 

10 years ago

BBCSwahili

Wataalamu kutoka Ulaya kuiongoza Azam FC

Azam FC sasa itakuwa chini ya Stewart Hall ambaye yupo jijini Dar es Salaam akisubiri kuwapokea wasaidizi wake.

 

11 years ago

Michuzi

DKT.MAGUFULI AENDELEA NA ZIARA MWANZA NA SINGIDA AZINDUA KIVUKO CHA MV.TEMESA NA KUKAGUA DARAJA LA MBUTU

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli ameendelea na ziara ya kikazi Jijini Mwanza ambapo leo amezindua kivuko cha MV.TEMESA kitakachofanya safari zake kutokea Luchele kupitia mwambao wa ziwa Victoria. Kivuko hiki kimetengenezwa/kimejengwa kwa gharama ya shilingi milioni 640 na ni kivuko pekee chenye mwedo kasi kuliko vyote Tanzania, kina uwezo wa kubeba tani 65. Wengine walioshiriki katika uzinduzi huo ni Mhandisi Mussa Iyombe (Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi), Mhandisi Evarist Ndikilo...

 

5 years ago

Michuzi

Wataalamu Kutoka Wizara Nne Yawasili kwa Mzee Kisangani

Timu ya wataalamu wakiwa ofisini kwa Mkuu wa Wilaya ya Ludewa. Katikati ni Mkuu wa Wilaya hiyo Andrea Tsere akifafanua jambo kwa Wajumbe wa Kamati. Wa nne kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati Prof. Silvester Mpanduji ambae ni Mkurugenzi Mkuu wa SIDO.Wajumbe wa Kamati wakinawa Maji na sababu kama sehemu ya kujikinga na COVID-19 kwenye Lango la kuingilia...

 

5 years ago

Michuzi

MAMLAKA ZA MAJI ZITUMIE WATAALAMU KUTOKA NDANI ILI KUPUNGUZA GHARAMA

Waziri wa Maji Prof Makame Mbarawa akizungunza na watendaji wa maji kutoka Mamlaka za  DAWASA na RUWASA wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi ya maji ndani ya Mji wa Kisarawe.

Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiMamlaka za maji nchini zimetakiwa kuanza kutumia wataalamu wa ndani katika ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo nchini.
Waziri wa Maji Prof Makame Mbarawa amesema sasa hivi mamlaka zote zinatakiwa zianze kutumia wataalamu kutoka ndani ili zipunguze gharama za ujenzi.
Amesema hayo...

 

10 years ago

Michuzi

Wataalamu wa Magonjwa ya Figo kutoka Hospitali ya Apollo India Watembelea Tanzania



Na Mwandishi Wetu, Dar Kwa miaka mingi upatikanaji wa wataalamu wa Afya na matibabu ya uhakika unakabiliwa na changamoto kuu mbili inayowakumba wagonjwa wengi Tanzania.Watanzaniawamekuwa wakisafiri nje ya nchi kupata matibabu ya Figo na magonjwa yanayohusiana na kibofu. Hivyo wataalamu wawili waliobobea katika magojwa ya Figo na Kibofu kutoka Hospitali za Apollo walitembelea nchini Tanzania wakishirikiana na madaktari kutoka Hospital ya Hindu Mandal ili kuwafanyia uchunguzi, kutoa tiba na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani