Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC ataka TFDA kukagua kiwanda haraka Mwanza

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Evarist Ndikilo amewataka viongozi wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Kanda ya Ziwa, kuharakisha kufanya ukaguzi Kiwanda cha Kutengeneza Dawa za Binadamu cha Prince Phamaceutical kilichopo jijini Mwanza ili kianze kufanya kazi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wizara, TFDA wavutana kuhusu kiwanda

>Wingu la utata umetanda kuhusu kufunguliwa kwa Maabara ya Kutengeneza Chanjo ya Ugonjwa wa Kuku wa Kideri baada ya Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) kueleza kuwa hakijakidhi kiwango huku Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi ikieleza kuwa kina sifa ya kuanza uzalishaji.

 

9 years ago

Michuzi

9 years ago

Habarileo

Mbowe ataka siku zaidi kukagua taarifa za BVR

MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema siku tatu zilizotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) kwa waliojiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura katika mfumo wa (BVR) kuhakiki taarifa zao kuwa hazitoshi.

 

10 years ago

GPL

KINANA AWATAKA WALIOSABABISHA HASARA KUFUNGWA KIWANDA CHA CHAI MPONDE, BUMBURI WAWAJIBISHWE HARAKA‏

 Katibu Mkuu wa CCM, akiwapungia wananchi mikono alipowasili kwenye mkutano wa hadhara katika Kata ya Mponde, Jimbo la Bunburi, ambapo aliwahakikishia wananchi kulitafutia ufumbuzi tatizo la kufungwa kwa kiwanda cha chai cha Mponde wilayani Lushoto,Mkoani Tanga. Kinana aliwataka viongozi wote wa CCM na Serikali waliohusika kufungwa kwa kiwanda hicho na kuwasababishia adha wananchi kuwajibika wenyewe au kuwajibishwa.…
...

 

11 years ago

GPL

WATAALAMU WA KUKAGUA TIKETI KUTOKA MWANZA

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers Ltd, Eric Shigongo (wa nne kutoka kushoto waliosimama) pamoja na Meneja Mkuu wa Global Pubulishers, Abdallah Mrisho (wa tatu kutoka kulia waliosimama) wakiwa na wataalamu wa kukagua tiketi. (PICHA NA ISSA MNALLY/GPL)

 

10 years ago

TheCitizen

LAKE ZONE: Mwanza notorious for fake goods: TFDA

>Tanzania Food and Drugs Authority (TFDA) has declared Mwanza as the most affected region in counterfeit goods, illicit drugs and expired food smuggled through the porous border in Lake Victoria.

 

10 years ago

Michuzi

MHE PINDA kukagua ujenzi wa kiwanja wa Ndege wa Mwanza

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarest Ndikilo (kulia) na Katibu wa CCM wa Mkoa wa Mwanza, Joyce Masunga baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza  leo August 22, 2014 ambako August 23, 2014 atakagua ujenzi wa uwanja wa ndege na baadaye anatarajiwa kuongoza  harambee  iliyoandaliwa na Mkapa Foundation. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu, Mh. Mizengo Pinda kesho, Jumamosi Agosti 23, 2014 anatarajiwa kukagua ujenzi wa kiwanja wa Ndege...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kiwanda cha Sayona Mwanza chalalamikiwa

UONGOZI wa kiwanda cha kutengeneza nondo cha Sayona Steel Ltd kilichopo Misungwi mkoani Mwanza um

Christopher Gamaina

 

11 years ago

Michuzi

DKT.MAGUFULI AENDELEA NA ZIARA MWANZA NA SINGIDA AZINDUA KIVUKO CHA MV.TEMESA NA KUKAGUA DARAJA LA MBUTU

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli ameendelea na ziara ya kikazi Jijini Mwanza ambapo leo amezindua kivuko cha MV.TEMESA kitakachofanya safari zake kutokea Luchele kupitia mwambao wa ziwa Victoria. Kivuko hiki kimetengenezwa/kimejengwa kwa gharama ya shilingi milioni 640 na ni kivuko pekee chenye mwedo kasi kuliko vyote Tanzania, kina uwezo wa kubeba tani 65. Wengine walioshiriki katika uzinduzi huo ni Mhandisi Mussa Iyombe (Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi), Mhandisi Evarist Ndikilo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani