TFDA Yafunga Kiwanda Bubu Kagera
![](http://img.youtube.com/vi/AmUfdhdR4So/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 Apr
TFDA yafunga ‘supamaketi’ 29
11 years ago
Mwananchi17 Dec
TFDA yafunga machinjio kwa uchafu Mbeya
10 years ago
Mwananchi21 Feb
NEMC yafunga kiwanda Moro
9 years ago
Mtanzania03 Dec
Serikali yafunga Kiwanda cha Urafiki
MAULI MUYENJWA NA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM
SERIKALI imekifunga Kiwanda cha Nguo cha Urafiki kutokana na mgomo wa wafanyakazi uliotokea jana wakiutaka uongozi kuwalipa malimbikizo ya madai yao ikiwamo mishahara.
Mkuu wa Wilaya wa Kinondoni, Paul Makonda, alitangaza kukifunga kiwanda hicho hadi Desemba 7 mwaka huu yatakapotolewa majibu ya kuridhisha kuhusu changamoto zilizosababisha mgomo huo.
Mgomo katika kiwanda hicho ulianza wiki kadhaa zilizopita ambako mkuu huyo wa wilaya aliuagiza...
10 years ago
Habarileo02 Jan
TBS yafunga kiwanda cha chumvi Bagamoyo
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limefunga kwa muda usiojulikana kiwanda cha kuzalisha chumvi cha mjini hapa, Sea Salt Limited kutokana na udanganyifu na uzalishaji wa chumvi chafu, yenye kiwango kidogo cha madini joto.
11 years ago
Mwananchi08 Mar
Wizara, TFDA wavutana kuhusu kiwanda
9 years ago
Habarileo16 Aug
NEMC yafunga kiwanda cha kusindika punda Dom
BARAZA la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limefungia na kukitoza faini ya Sh milioni 200 kiwanda cha kusindika nyama ya punda cha Huwacheng kilichopo katika Kata ya Kizota, mjini hapa.
11 years ago
Mwananchi15 Apr
RC ataka TFDA kukagua kiwanda haraka Mwanza
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Mwaka mmoja baada ya kuanzishwa; Halmashauri ya bumburi yafunga kiwanda cha chai