Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFDA Yafunga Kiwanda Bubu Kagera

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

TFDA yafunga ‘supamaketi’ 29

Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) imefunga maduka makubwa (supermarkets) 29 kwa makosa ya kufanya biashara bila vibali mpaka pale yatakapotimiza masharti ya sheria.

 

11 years ago

Mwananchi

TFDA yafunga machinjio kwa uchafu Mbeya

Zikiwa zimebakia siku chache kusherehekea Sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya, Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imefunga Machinjio ya Mbalizi Mbeya Vijijini na Uyole, yanayomilikiwa na Jiji la Mbeya kwa madai ya kukithiri kwa uchafu.

 

10 years ago

Mwananchi

NEMC yafunga kiwanda Moro

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limekifungia Kiwanda cha Nguo 21st Century cha Morogoro kwa kosa la kutiririsha majitaka yenye kemikali katika Mto Ruvu, ambao ni chanzo kikubwa cha maji kwa matumizi mbalimbali.

 

9 years ago

Mtanzania

Serikali yafunga Kiwanda cha Urafiki

makondaMAULI MUYENJWA NA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM

SERIKALI imekifunga Kiwanda cha Nguo cha Urafiki kutokana na mgomo wa wafanyakazi uliotokea jana wakiutaka uongozi kuwalipa malimbikizo ya madai yao ikiwamo mishahara.

Mkuu wa Wilaya wa Kinondoni, Paul Makonda, alitangaza kukifunga kiwanda hicho hadi Desemba 7 mwaka huu yatakapotolewa majibu ya kuridhisha kuhusu changamoto zilizosababisha mgomo huo.

Mgomo katika kiwanda hicho ulianza wiki kadhaa zilizopita ambako mkuu huyo wa wilaya aliuagiza...

 

10 years ago

Habarileo

TBS yafunga kiwanda cha chumvi Bagamoyo

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limefunga kwa muda usiojulikana kiwanda cha kuzalisha chumvi cha mjini hapa, Sea Salt Limited kutokana na udanganyifu na uzalishaji wa chumvi chafu, yenye kiwango kidogo cha madini joto.

 

11 years ago

Mwananchi

Wizara, TFDA wavutana kuhusu kiwanda

>Wingu la utata umetanda kuhusu kufunguliwa kwa Maabara ya Kutengeneza Chanjo ya Ugonjwa wa Kuku wa Kideri baada ya Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) kueleza kuwa hakijakidhi kiwango huku Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi ikieleza kuwa kina sifa ya kuanza uzalishaji.

 

9 years ago

Habarileo

NEMC yafunga kiwanda cha kusindika punda Dom

BARAZA la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limefungia na kukitoza faini ya Sh milioni 200 kiwanda cha kusindika nyama ya punda cha Huwacheng kilichopo katika Kata ya Kizota, mjini hapa.

 

11 years ago

Mwananchi

RC ataka TFDA kukagua kiwanda haraka Mwanza

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Evarist Ndikilo amewataka viongozi wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Kanda ya Ziwa, kuharakisha kufanya ukaguzi Kiwanda cha Kutengeneza Dawa za Binadamu cha Prince Phamaceutical kilichopo jijini Mwanza ili kianze kufanya kazi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwaka mmoja baada ya kuanzishwa; Halmashauri ya bumburi yafunga kiwanda cha chai

Baada ya kutangazwa kwamba Bumbuli itakuwa halmashauri inayojitegemea wananchi wengi walionekana kuwa na furaha wakiamini huenda hiyo ingesaidia kuharakisha maendeleo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani