Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TBS yafunga kiwanda cha chumvi Bagamoyo

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limefunga kwa muda usiojulikana kiwanda cha kuzalisha chumvi cha mjini hapa, Sea Salt Limited kutokana na udanganyifu na uzalishaji wa chumvi chafu, yenye kiwango kidogo cha madini joto.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Serikali yafunga Kiwanda cha Urafiki

makondaMAULI MUYENJWA NA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM

SERIKALI imekifunga Kiwanda cha Nguo cha Urafiki kutokana na mgomo wa wafanyakazi uliotokea jana wakiutaka uongozi kuwalipa malimbikizo ya madai yao ikiwamo mishahara.

Mkuu wa Wilaya wa Kinondoni, Paul Makonda, alitangaza kukifunga kiwanda hicho hadi Desemba 7 mwaka huu yatakapotolewa majibu ya kuridhisha kuhusu changamoto zilizosababisha mgomo huo.

Mgomo katika kiwanda hicho ulianza wiki kadhaa zilizopita ambako mkuu huyo wa wilaya aliuagiza...

 

10 years ago

Habarileo

NEMC yafunga kiwanda cha kusindika punda Dom

BARAZA la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limefungia na kukitoza faini ya Sh milioni 200 kiwanda cha kusindika nyama ya punda cha Huwacheng kilichopo katika Kata ya Kizota, mjini hapa.

 

10 years ago

Habarileo

TBS yafungia kiwanda cha juisi

Nembo ya TBS.SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) imekifungia kiwanda cha Devideic cha mjini Morogoro kwa muda usiojulikana kuendelea na uzalishaji wa juisi aina ya Into.

 

10 years ago

Mwananchi

TBS yakifungia kiwanda cha juisi

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limekifunga kiwanda kidogo cha kutengeneza juisi aina ya Into Orange, kinachomilikiwa na kampuni ya Devideic cha mjini Morogoro, baada ya kubaini bidhaa hizo zina vimelea vya wadudu.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwaka mmoja baada ya kuanzishwa; Halmashauri ya bumburi yafunga kiwanda cha chai

Baada ya kutangazwa kwamba Bumbuli itakuwa halmashauri inayojitegemea wananchi wengi walionekana kuwa na furaha wakiamini huenda hiyo ingesaidia kuharakisha maendeleo.

 

10 years ago

Mwananchi

TBS yateketeza chumvi tani moja na nusu

Shirika  la Viwango Tanzania TBS limeteketeza  chumvi ya tani 1.5 yenye thamani ya shilingi 500,000 kutoka kampuni ya Seasalt baada ya kugundulika kutokidhi viwango .

 

10 years ago

Mwananchi

NEMC yafunga kiwanda Moro

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limekifungia Kiwanda cha Nguo 21st Century cha Morogoro kwa kosa la kutiririsha majitaka yenye kemikali katika Mto Ruvu, ambao ni chanzo kikubwa cha maji kwa matumizi mbalimbali.

 

9 years ago

Michuzi

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI YAFUNGA SHULE ZA AWALI HADI KIDATO CHA SITA KWA SIKU 30 KUIHAMI NCHI NA CORONA, YAFUNGA PIA MIKUSANYIKO YA SIASA NA MICHEZO



Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana kuhusu hatua za awali zilizochukuliwa na Serikali kutokana na kuwepo nchini virusi vya ugonjwa wa Corona. 





DAR ES SALAAM, Tanzania
Serikali imezifunga shule za awali hadi kidato cha sita kwa siku 30 na pia kuzuia mikusanyiko yoyote ikiwemo ya siasa na michezo ili kuihami nchi na ugonjwa wa Corona ambao umethibishwa kuingia nchini kufuatia kupatikana kwa mgonjwa mmoja wa ugonjwa huo hapa nchini.

Hatua hizo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani