Mwaka mmoja baada ya kuanzishwa; Halmashauri ya bumburi yafunga kiwanda cha chai
Baada ya kutangazwa kwamba Bumbuli itakuwa halmashauri inayojitegemea wananchi wengi walionekana kuwa na furaha wakiamini huenda hiyo ingesaidia kuharakisha maendeleo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKINANA AWATAKA WALIOSABABISHA HASARA KUFUNGWA KIWANDA CHA CHAI MPONDE, BUMBURI WAWAJIBISHWE HARAKA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rGp9IhbhxsU/VBTZPw1Yl3I/AAAAAAAGjeA/UMcrG5vMDUw/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
PINDA AONGOZA KIKAO CHA KUTATUA MGOGORO WA KIWANDA CHA CHAI CHA LUPONDE
![](http://3.bp.blogspot.com/-rGp9IhbhxsU/VBTZPw1Yl3I/AAAAAAAGjeA/UMcrG5vMDUw/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IBnh3HMz2iQ/VBTZQPyOqFI/AAAAAAAGjeE/oSAa-EOK-_o/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-zZm5M3lMGy0/VKkz8Cf2z3I/AAAAAAAAVKQ/7M1-gFxUR4M/s72-c/2.jpg)
WANANCHI WA KIJIJI CHA MPONDE WARUDISHIWA UMILIKI WA KIWANDA CHA CHAI
![](http://3.bp.blogspot.com/-zZm5M3lMGy0/VKkz8Cf2z3I/AAAAAAAAVKQ/7M1-gFxUR4M/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oUWk_jN_sw4/VKkz-AXIfSI/AAAAAAAAVKc/KSsPgN5pcz8/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-t8EzhjnGIuc/VKk0IvM7tUI/AAAAAAAAVKk/-yUVueYsfyU/s1600/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q_UGFAqiK0U/VKlyOBMUTzI/AAAAAAAAVK0/_ce_iuj8qGQ/s1600/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hTatP_zVjoM/VKlz9IqR0NI/AAAAAAAG7PI/5K6AotcREyU/s72-c/IMG_3947.jpg)
JK AKIREJESHA KIWANDA CHA CHAI CHA MPONDE LUSHOTO KWA WANANCHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-hTatP_zVjoM/VKlz9IqR0NI/AAAAAAAG7PI/5K6AotcREyU/s1600/IMG_3947.jpg)
Hayo ni Mafanikio ya...
10 years ago
Michuzi05 Jan
SERIKALI YAREJESHA KIWANDA CHA CHAI CHA MPONDE MIKONONI MWA WANANCHI.
10 years ago
Dewji Blog04 Jan
Rais Jakaya Kikwete akirejesha kiwanda cha Chai cha Mponde Lushoto kwa wananchi
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Bumbuli Mh. Januari Makamba wakati alipowasili jimboni humo katika wilaya ya Lushoto. akiwa katika ziara ya siku mbili ambapo amefanya mkutano wa hadhara katika kata ya Mponde na kuwataarifu wananchi na wakulima wa Chai kuhusu maagizo ya Rais Jakaya Kikwete juu ya kukirejesha kiwanda cha Chai cha Mponde kwa wananchi , Awali kiwanda hicho kilikuwa kinamilikiwa na Mwekezaji Yusuf Mulla na kilifungwa kutokana na...
10 years ago
Michuzi18 Aug
KUNDI LA BONGO DANSI LA SHEREHEKEA MWAKA MMOJA WA KUANZISHWA KWAKE NA VIJANA JAZZ
9 years ago
Mtanzania03 Dec
Serikali yafunga Kiwanda cha Urafiki
MAULI MUYENJWA NA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM
SERIKALI imekifunga Kiwanda cha Nguo cha Urafiki kutokana na mgomo wa wafanyakazi uliotokea jana wakiutaka uongozi kuwalipa malimbikizo ya madai yao ikiwamo mishahara.
Mkuu wa Wilaya wa Kinondoni, Paul Makonda, alitangaza kukifunga kiwanda hicho hadi Desemba 7 mwaka huu yatakapotolewa majibu ya kuridhisha kuhusu changamoto zilizosababisha mgomo huo.
Mgomo katika kiwanda hicho ulianza wiki kadhaa zilizopita ambako mkuu huyo wa wilaya aliuagiza...
9 years ago
StarTV30 Sep
 Lowassa aahidi kufungua kiwanda cha chai Mponde
Mgombea Urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA Edward Lowassa amesema wananchi wakimpa ridhaa ya kuwa Rais ndani ya miezi sita atahakikisha kiwanda cha chai cha Mponde kinafunguliwa na kuanza kuwanufaisha wakulima wa zao hilo.
Kiwanda cha chai cha Mponde kilifungwa baada ya wananchi kuingia kwenye mgogoro wa kimaslahi na aliyekuwa mwekezaji wa kiwanda hicho. Taarifa zaidi na mbonea Herman:
Lowassa alikutana na wananchi waliokuwa wakimsubiri ,lakini kabla ya kuzungumza na wananchi...