KUNDI LA BONGO DANSI LA SHEREHEKEA MWAKA MMOJA WA KUANZISHWA KWAKE NA VIJANA JAZZ
Baadhi ya wana Bongo Dansi wakiwa katika picha ya pamoja na bendi ya vijana jazz wakati wa kusherehekea mwaka mmoja wa kundi hilo tangia lianzishwe kwenye mtandao wa kijamii wa facebook ambapo kundi hilo mpaka sasa lina wanachama 3,086 mashabiki wa bendi mbalimbali wa muziki wa dansi nchini. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gKrg6_wx760/U_Tt-sWoe3I/AAAAAAAAk8w/ZqEhzc7TUQs/s72-c/unnamed.jpg)
HATIMAYE BONGO DANSI YATIMIZA MWAKA MMOJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-gKrg6_wx760/U_Tt-sWoe3I/AAAAAAAAk8w/ZqEhzc7TUQs/s1600/unnamed.jpg)
BONGO DANSI ni kundi linalopatikana kwenye mtandao wa Facebook (kama Facebook Group) lenye lengo ya kujadili na kuinua muziki wa dansi wa Tanzania sambamba na kuwaunganisha wadau mbalimbali wa tasnia ya muziki wa dansi Tanzania wakiwemo washabiki, wanamuziki, waandishi wa habari, mameneja na wamiliki wa bendi. Mpaka sasa kundi ...
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Mwaka mmoja baada ya kuanzishwa; Halmashauri ya bumburi yafunga kiwanda cha chai
10 years ago
GPLVIJANA WA JOGGING WASHEREHEKEA KUTIMIZA MWAKA MMOJA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-a0hB1YznKjw/VYB-qzRiBTI/AAAAAAAHgFg/79Z3bwzmIhk/s72-c/unnamed%2B%252866%2529.jpg)
Vijana waridhishwa na mswada uliopitishwa bungeni wa kuanzishwa baraza la vijana la Taifa
Vijana wameridhishwa na mswada uliopitishwa bungeni wa kuanzishwa baraza la vijana la Taifa na kudai kuwa hiyo ndio njia mojawapo vijana wanaweza kuendeleza shughuli zao za maendeleo .
Wamedai kuwa katika mswada huo vijana wanangazi zao za uongozi kutoka vijijini hadi kitaifa na hali hiyo inakuwa ni rahisi vijana kuwa na uwezo wa kuelezea changamoto zinazowakabili .
Kauli hiyo imetolewa jijini Dar es salaam na shirika la Restless Development Tanzania – ICS) ...
10 years ago
MichuziTHT KUADHIMISHA MIAKA 10 TANGU KUANZISHWA KWAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-6AX5LP_0FIc/VLe4NtIA2kI/AAAAAAABNlA/xvwcWsqX5fE/s1600/3.3.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
9 years ago
StarTV07 Jan
TRA yafanikiwa kuvuka lengo tangu kuanzishwa kwake
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa mara ya kwanza imefanikiwa kuvuka lengo la makusanyo ya kodi tangu kuanzishwa mamlaka hiyo mwaka 1996.
TRA imevuka lengo kwa kukusanya Shilingi trilioni moja, milioni 400, laki mbili na elfu 20 kwa Desemba 2015, ikiwa ni zaidi ya ongezeko la wastani wa Shilingi bilioni 490 kwa mwezi.
Ongezeko hilo la makusanyo ya kodi ni zaidi ya Shilingi milioni 900 zilizokusanywa kwa kipindi cha miezi mitano, kati ya Julai na Novemba mwaka jana.
Kaimu Kamishna Mkuu wa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TUw2p8o3Aw8/VdL9vAcIQaI/AAAAAAAHx-k/utt1emr6pVI/s72-c/18th%2B1.jpg)
Benki ya Exim Tanzania yaadhimisha miaka 18 ya kuanzishwa kwake.
![](http://1.bp.blogspot.com/-TUw2p8o3Aw8/VdL9vAcIQaI/AAAAAAAHx-k/utt1emr6pVI/s640/18th%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-KN_t508BOaY/VdL9t3u7gzI/AAAAAAAHx-Y/l7MTc71tEDc/s640/18th%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yVdcjoxl-qQ/VH28kPporXI/AAAAAAACvss/NBZMBpxhUmI/s72-c/1.jpg)
CLOUDS FM YASHEREHEKEA KUTIMIZA MIAKA 15 TANGU KUANZISHWA KWAKE.
![](http://2.bp.blogspot.com/-yVdcjoxl-qQ/VH28kPporXI/AAAAAAACvss/NBZMBpxhUmI/s1600/1.jpg)
Globu ya Jamii inaitakia kheri na fanaka Clouds FM katika kusherehekea miaka 15 tangu kuzaliwa kwake.
![](http://3.bp.blogspot.com/-DjjcZlnX_50/VH28sZpMMmI/AAAAAAACvuk/ZkLywZZngO0/s1600/9.jpg)
9 years ago
MichuziMICHUZI BLOG YAADHIMISHA MIAKA KUMI YA KUANZISHWA KWAKE